Vera Sidika na Hamisa Mobetto hamjui kuimba fanyeni kitu kingine!!!

Vera Sidika na Hamisa Mobetto hamjui kuimba fanyeni kitu kingine!!!

Kwa mfano Hamisa ana mkaribia msanii gani kwenye uimbaji?hahahahah
Kumaribia kwenye kigezo gani? yeye ni peculiar , that is the beauty of it! Hataki kijilinganisha na mtu. Wale wanaotaka kumuiga mtu ndio hao wanaodondoka vibaya sana unaytakiwa uwe wewe!
 
Its nit about shabiki. Sikiliza maudhui au ninyi mnapenda nyimbo kama Nyegezi hebu niambie maudhuli ya Nyegezi lkinganisha na Madamme Hero na Tunaendana?!???!?!?!??!
Maudhuii???kwamba kaimba nini sasa!!
Single mazant' you?
 
hahahahaha nakuhakikishia ukiweka hapa thread ya kuwaomba watu wamchangie kati ya Hamorapa na Hamisa mmoja wao arudi studio hakika Hamorapa atarudi,,,,,,

Hamisa hajui kuimba hakuna lolote na nilimsikia mtu anasema kuwa eti ana uwezo mkubwa wa kuimba kwakweli nusu nilie kwa zile dhambi alizo zichuma jamaa kwa kusema uongo.....Hivi mule Hamisa ameimba nini zaidi ya kupanua mdomo tuu,,,,,kwanza mimi nafikiri ule sio wimbo ni hotuba maana alikuwa anaongea tuuu hahahahaha

Mi naona gauni tu la Cinderella linapepea tunaendana tunaendana
 
Kama Hamisa hajafika level za Hamorapa hajui kuimba.....wenzie wakina gigy na Amber wamevuka na wamethibitisha kabisa wanacho kitu,.....
Hamisa hajui kuimba kabisa anacho kifanya ni kama wale watoto kwenye kipindi cha watoto wetu pale ITV kila jumamosi....hahahaha
Amber na gigy wanajua hao hata wakitungiwa watatoa vitu fire, ila hamisa hata atungiwe hiyo sauti yake sio ya kuimba ana kisauti kizuri cha kudangia
 

Attachments

  • IMG_20181120_213059_021.jpg
    IMG_20181120_213059_021.jpg
    61.7 KB · Views: 21
Hamisa anapewa kichwa na kina Mange na team yake kwa kutumia situation yake na Mond ila ukweli ni kwamba hajui kuimba!!Nyimbo mbayaaa sio chuki, na ni kweli afanye vingine ila sio kuimba.


Hapa ndipo alipopotea njia Hamisa kujiunga na Mange, demu aliyeshindikana kila aishipo. Hata huko Marekani watanzania wenzake wanamkimbia kwa sababu analazimisha urafiki ili ajuwe maisha ya watu kisha wakigombana aje kuwaandika mitandaoni. Haka ka Hamisa kasipo angalia kataishia pabaya muda si mrefu.
 
Kama Hamisa hajafika level za Hamorapa hajui kuimba.....wenzie wakina gigy na Amber wamevuka na wamethibitisha kabisa wanacho kitu,.....
Hamisa hajui kuimba kabisa anacho kifanya ni kama wale watoto kwenye kipindi cha watoto wetu pale ITV kila jumamosi....hahahaha
Mkuu Hamisa hajui kuimba na haujui kutunga wimbo
Wimbo wa madame hero alitungiwa na kijana anaitwa foby akamtafutia Hadi Melody still hakuimba vizuri
Kinachombeba kwa Sasa ni hype iliyopo na sympathy yakuonekana ni victim wa diamond na Kama unavyojua mange kawashika mazwazwa wengi wa Bongo, ni suala la muda tu maji na mafuta vitajitenga
Hii kitu ilitokea hata kwa harmorapa alivuma Hadi watu wakaanza kusema atamfunika harmonize wakati Hana talent, ni ile hype na sympathy ya kuonewa huruma na wabongo Tena baada ya Mose iyobo kumfananisha na nyani lakini muda ukaja kuamua.
Suala la hamisa ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom