Vera Sidika na Hamisa Mobetto hamjui kuimba fanyeni kitu kingine!!!

Vera Sidika na Hamisa Mobetto hamjui kuimba fanyeni kitu kingine!!!

Wadogo zangu Vera na Hamisa (wote wana miaka 20 ni wadogo zangu), hongereni kwa kujaribu kuimba, sio kwa ubaya ila hamjui kuimba dears, mziki mnaupenda ila wenyewe hauwapendi. Sauti zenu nyembambaa haziburudishi labda mkaimbe nyimbo za injili.

Kipaji cha kuimba hamna, mashairi mabovu yanayotokana na hisia tu Vera baada ya kuchoka kiben ten chake kaibuka na wimbo, Hamisa nae kuzaa huku na kule bila uelekeo na bado hawamuelewi kaibuka na wimbo. Vi nyimbo havina mbele wala nyuma

Sio lazma kila mtu aimbe wengine tubaki mashabiki, tuburudishwe na wenye vipaji vyao. Ni hayo tu.
Dah pole sana. Nyimbo za Hamisa nzuri sanaaaaaa! mashibiki wake tunazipendaaaaa. Poleni mnaopenda ooh kikaja kikafika kikaondoka. MAudhui ZERO.
 
Sema shabiki unaipenda
Its nit about shabiki. Sikiliza maudhui au ninyi mnapenda nyimbo kama Nyegezi hebu niambie maudhuli ya Nyegezi lkinganisha na Madamme Hero na Tunaendana?!???!?!?!??!
 
Dah pole sana. Nyimbo za Hamisa nzuri sanaaaaaa! mashibiki wake tunazipendaaaaa. Poleni mnaopenda ooh kikaja kikafika kikaondoka. MAudhui ZERO.
hahahahahaha umenichekesha sana eti nyimbo zake nzuri.....hahahaha hiyo hela mgemshauri akaongeze kwenye duka lake lakini kwenye muziki ni kupoteza muda...anaimba taka taka tupu
 
hahahahahaha umenichekesha sana eti nyimbo zake nzuri.....hahahaha hiyo hela mgemshauri akaongeze kwenye duka lake lakini kwenye muziki ni kupoteza muda...anaimba taka taka tupu
Endeleeni kusikiliza Nyegezi wngine tuko kwenye Madamme Hero na Tunaendana ndio habari ya mjini sijui huko mikoani!
 
Its nit about shabiki. Sikiliza maudhui au ninyi mnapenda nyimbo kama Nyegezi hebu niambie maudhuli ya Nyegezi lkinganisha na Madamme Hero na Tunaendana?!???!?!?!??!
Mimi binafsi naangalia maudhui na melody linganisha wimbo aliotoahuu mpya na nyimbo ya nampa papa ya gigy or watakoma ya umber lulu x County boy... Tunachoongelea hawa watu mobeto na vera hawana sauti za kuimba huenda mmoja wapo anaweza kuandika
 
Its nit about shabiki. Sikiliza maudhui au ninyi mnapenda nyimbo kama Nyegezi hebu niambie maudhuli ya Nyegezi lkinganisha na Madamme Hero na Tunaendana?!???!?!?!??!
Hivi hebu twambie ukweli kati ya Harmorapa na Hamisa nani anatakiwa kuendelea kuimba? hebu kuwa mkweli tukutane mbinguni
 
Hamisa anajua kuimba nini mtu mwenyewe mdomo umeingia ndani .......... By the way sio kuimba tu hajui hata Uzuri hana zaidi ya kutegemea Make up na kujibinua kiuno tu .
eti make upo . Hivi unaanzaje kumuonea mtu wivu ambaye wala humjui. Hamisa sio Mzuri. Give me a break!
 
Mimi binafsi naangalia maudhui na melody linganisha wimbo aliotoahuu mpya na nyimbo ya nampa papa ya gigy or watakoma ya umber lulu x County boy... Tunachoongelea hawa watu mobeto na vera hawana sauti za kuimba huenda mmoja wapo anaweza kuandika
Mziki kuna kuimba lakini unaimba kitu gani pia. Ningewaona wa maana mngemshauri Hamisa akapata mwalimu wa muziki akamrekebisha kidogo sauti. Yaani nyiye mnataka tu wakle wnye kukurupuka na kuimba Nyegezi , akifanya practice atazidi kuimprove. Unanikumbusha dada mmoja nilipomwambia mimi naandika kitabu eti dah , BAKITA watakufungia nikasema Whaat! Nikaandika sasa hivi nakula tu royalty yangu. Ukiwafuata watanzania utabaki hapo hapo ulipo. Hamisa is a fighter na atafika mbali!
 
Ukitaka kujua wabongo ni wanafiki mtu Kama barnnaba ambaye kaso ea kabisa mziki anamsifia kabisa.
Ukisikiliza hamisa ni Kama unamsikiliza mtu yoyote aliimba wakati yupo bafuni anaoga.
Kuanzia maproducer Hadi anaeshoot video wote ni wanafiki
Watanzania ni wanafiki na siyo watu wanaweza kukusaidia....kila mtanzania ana degree ya unafiki hivi barnaba anavyojua kuimba au Bella wameshindwa kusema wazi kuwa Hamisa anapaswa kuendelea kujifunza au wamshauri hela zile apeleke dukani? kwakweli niliwasikia tena wanasema wazi kuwa hilo ni bonge la ngoma....hapo ndio niliamini uchawi upo kabisa hahahahaha
Ule wimbo ni kama umeimbwa na mtu ambaye zimkefyatuka maana nivichekesho
 
Hivi hebu twambie ukweli kati ya Harmorapa na Hamisa nani anatakiwa kuendelea kuimba? hebu kuwa mkweli tukutane mbinguni
Sijui Hamorapa kaingiaje ndio nani! Yaani Tanzania ukiwasikiliza watu utabaki hapoo hapo ulipo. Hamisa Go my dear!
 
Mkuu mbona me sijaongelea wimbo ya mwanza na kwanza siupendi na nyimbo za Diamond za kipindi hiki sizipendi ya mwisho kuipenda ilikuwa i miss you baada ya hapo anatoa nyimbo hazina maana... Okay nimekuelewa ila Hamisa hajui kuimba
Mziki kuna kuimba lakini unaimba kitu gani pia. Ningewaona wa maana mngemshauri Hamisa akapata mwalimu wa muziki akamrekebisha kidogo sauti. Yaani nyiye mnataka tu wakle wnye kukurupuka na kuimba Nyegezi , akifanya practice atazidi kuimprove. Unanikumbusha dada mmoja nilipomwambia mimi naandika kitabu eti dah , BAKITA watakufungia nikasema Whaat! Nikaandika sasa hivi nakula tu royalty yangu. Ukiwafuata watanzania utabaki hapo hapo ulipo. Hamisa is a fighter na atafika mbali!
 
Mkuu mbona me sijaongelea wimbo ya mwanza na kwanza siupendi na nyimbo za Diamond za kipindi hiki sizipendi ya mwisho kuipenda ilikuwa i miss you baada ya hapo anatoa nyimbo hazina maana... Okay nimekuelewa ila Hamisa hajui kuimba
That is your opinion fortunately it is not a fact! Sisis tunaburudika tu na Madamme Hero na Tunaendana!
 
Endeleeni kusikiliza Nyegezi wngine tuko kwenye Madamme Hero na Tunaendana ndio habari ya mjini sijui huko mikoani!
hahahahaha nakuhakikishia ukiweka hapa thread ya kuwaomba watu wamchangie kati ya Hamorapa na Hamisa mmoja wao arudi studio hakika Hamorapa atarudi,,,,,,

Hamisa hajui kuimba hakuna lolote na nilimsikia mtu anasema kuwa eti ana uwezo mkubwa wa kuimba kwakweli nusu nilie kwa zile dhambi alizo zichuma jamaa kwa kusema uongo.....Hivi mule Hamisa ameimba nini zaidi ya kupanua mdomo tuu,,,,,kwanza mimi nafikiri ule sio wimbo ni hotuba maana alikuwa anaongea tuuu hahahahaha
 
hahahahaha nakuhakikishia ukiweka hapa thread ya kuwaomba watu wamchangie kati ya Hamorapa na Hamisa mmoja wao arudi studio hakika Hamorapa atarudi,,,,,,

Hamisa hajui kuimba hakuna lolote na nilimsikia mtu anasema kuwa eti ana uwezo mkubwa wa kuimba kwakweli nusu nilie kwa zile dhambi alizo zichuma jamaa kwa kusema uongo.....Hivi mule Hamisa ameimba nini zaidi ya kupanua mdomo tuu,,,,,kwanza mimi nafikiri ule sio wimbo ni hotuba maana alikuwa anaongea tuuu hahahahaha
This is your opinion, fortunately it is not a fact! Sisis tunaburudika tu na Madamme Hero na Tunaendana!
 
Sijui Hamorapa kaingiaje ndio nani! Yaani Tanzania ukiwasikiliza watu utabaki hapoo hapo ulipo. Hamisa Go my dear!
Kama Hamisa hajafika level za Hamorapa hajui kuimba.....wenzie wakina gigy na Amber wamevuka na wamethibitisha kabisa wanacho kitu,.....
Hamisa hajui kuimba kabisa anacho kifanya ni kama wale watoto kwenye kipindi cha watoto wetu pale ITV kila jumamosi....hahahaha
 
Back
Top Bottom