Vera Sidika na Hamisa Mobetto hamjui kuimba fanyeni kitu kingine!!!

Hahahhahahahhahaha mbali mbinguni si kwa king'ora kileee 😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Huu ushauri wakiufanyia kazi utawasaidia sana.
 
Nyie mnawasema hawajui kuimba we zenu wanaingiza pesa kwa youtube. Wanajuwa kutumia umaarufu wao kwa kutengeneza pesa haijali Wanajuwa au hawajuwi. Hao wenye kujuwa hamu show support kwao. Hii Dunia bila ya unafiki haikwendi
Hivi alikiba Na sauti yake Kali wabongo wangapi huwa wananunua kazi zake eti? Bora hamisa analipwa zake Na you tube na kumake headline kutengeneza pesa.
Mimi namkubali tu hamisa.anajua kutumia fursa.wanataka akae kama wema waanze kumcheka.Mimi namshauri hamisa agombee Na ubunge kabisa
 
Ila tafadhali Hamisa, huyo Vera dah ana sauti mbaya, sijui akiwa analalamika kitandani si anakuwa kama dume.
 
Sauti zao utafikiria ya zembwela beberu dadadeki hata kiwango hazina
 
Tangu kuzaliwa kwangu sijawahi kusikia wimbo mbaya zaidi ya wimbo mpya wa Hamisa Mobeto. Uuuuuwiiii ukisikiliza unaweza kuchukia muziki jumla.
Nyimbo ni mbovu balaaa sijui hao maproducers walikubali vipi kuachia ngoma mbovu kama hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…