Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Wajomba hii ya mwisho nawaambia sirudiii tena....kwa saiv wadada wengi wana watoto either wawili au moja sasa ukimdate usiingize miguu yote kaaa kimachale msapoti mahitaji ya kawaida tu akileta miyeyusho toka nduki ukiwekeza sana akifanya ujinga utaumia wewe na wakati yy kawekeza ๐Ÿ‘
 
Kwanini unafanya shughuli za kibinadamu kwenye maeneo tengefu ya serikali??
 
Nimekuelewa Sana mkuu na ningejiuliza mapema huenda nisingelia kama sasa
 
Miaka mitatu yote ulishindwa kumpa mimba hadi wenzio wakakusaidia
Alisema tuvute subira mtoto akue kule kidogo na tulitumia kalenda vizuri sana. Mtoto alipokua na kuwa na miaka minne amezaa na mwingine sijui naeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ