Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Bwege mtozee kaingia kwenye mfumo 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmmh sikumbuki Kwa kweli...ulinitumia nauli?kama bado naomba unitumie muda huuLabda kama ulinidanganya maana tuliwasiliana kupitia love connect, WhatsApp na kawaida.
Kwanini unafanya shughuli za kibinadamu kwenye maeneo tengefu ya serikali??Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.
Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.
Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
na bado umeng'ang'ana nae tu, na huna maamuzi 🐒
haya endelea,
huenda kuna unabii unataka utimie ili uje kutoa ushuhuda badae 🐒
skiza mwanaume,
wema usizidi uwezo 🐒
Kwanini unapata maumivu senior jobless
Kweli kabisa ni kama nimelima mpunga kwenye bonde la IhefuKwanini unafanya shughuli za kibinadamu kwenye maeneo tengefu ya serikali??
Kwasasa nimekua mwalimu mzuri na soon nitajiunga na UWABATA umoja wa wanaume bahili TanzaniaMmmmmmh sikumbuki Kwa kweli...ulinitumia nauli?kama bado naomba unitumie muda huu
Na bado upo tuu, huna miguu, huwezi kukimbia??Kweli kabisa ni kama nimelima mpunga kwenye bonde la Ihefu
🤣🤣🤣🤣Tuma mkuu Mimi Mtu mwemaKwasasa nimekua mwalimu mzuri na soon nitajiunga na UWABATA umoja wa wanaume bahili Tanzania
Nimekuelewa Sana mkuu na ningejiuliza mapema huenda nisingelia kama sasaWajomba hii ya mwisho nawaambia sirudiii tena....kwa saiv wadada wengi wana watoto either wawili au moja sasa ukimdate usiingize miguu yote kaaa kimachale msapoti mahitaji ya kawaida tu akileta miyeyusho toka nduki ukiwekeza sana akifanya ujinga utaumia wewe na wakati yy kawekeza 🍑
Huna akili..
🤣🤣🤣🤣Tuma mkuu Mimi Mtu mwema
Nimeshajitoa mkuu tangu wiki janaNa bado upo tuu, huna miguu, huwezi kukimbia??
dah pole sana mkuu hata mi yashawah nikuta kwa mwanamke mwenye mtoto n jau sana mkuuMshua wako alinena kweli ni ujinga wangu tu wa kuamini kuwa kwakua amepitia changamoto basi angetulia Kwangu
Lakini kwasasa wengi wa vijananitawashauri kuwa makini na kuchukua tahadharidah pole sana mkuu hata mi yashawah nikuta kwa mwanamke mwenye mtoto n jau sana mkuu
Alisema tuvute subira mtoto akue kule kidogo na tulitumia kalenda vizuri sana. Mtoto alipokua na kuwa na miaka minne amezaa na mwingine sijui naeleweka.Miaka mitatu yote ulishindwa kumpa mimba hadi wenzio wakakusaidia
😮 Pole mno aiseeAlisema tuvute subira mtoto akue kule kidogo na tulitumia kalenda vizuri sana. Mtoto alipokua na kuwa na miaka minne amezaa na mwingine sijui naeleweka.
🥺🥺🥺🥺🥺Sioni alichokosea hapo.
Wewe umejitolea kumsaidia kulea Wanae.
Na yeye ameona aongeze Katoto kengine uendelee kumsaidia kulea.
Shida Iko wapi hapo?