Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Veronika wakunifanyia haya Mimi?

U're not Jobless, tayar umejiajir kwenye Taasis ya ndoa za kujitolea mkuu.
Tena miaka mitatu una uzoefu mkubwa ukijumlisha na changamoto unazopitia....
Usijidharau kabisa umepiga hatua kubwa kuliko Mwanaume yeyote wa kizazi hiki nyeti kabisa cha Wanyamwezi.
 
Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.

Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.

Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
Katafute jukwaa la wehu wenzio, amekaa miezi 3 amepatia mimba huko amrudi kujifungua, mimba miezi 3? Huyo ni binadamu?
 
Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.

Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.

Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
Njoo kwangu nikuliwaze
 
Mkuu Umeona wapi manzi anayependa kuitwa Malaya?Na kigezo Cha umalaya Kwa Africa ni kuzaa na Wanaume tofauti so huyo manzi kaona usimtanie.
 
Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.

Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.

Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
Poko

Pole na koma
 
Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.

Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.

Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
Huu Uzi ni kama hadithi haujabeba uhalisia mtoa mada huna ushirikiano na reply zako
Ahsante kwa kushiriki. 👐
 
😂😂😂yaan namba D zipo kibao huku kitaa unaenda kuangaika na demu ashazaa watoto wawili wewe unafikiri angekupenda kweli...

hapo kaenda kwa jamaa yake katiwa mimba nyingine anakuletea wewe baba huruma ulee.....😂😂hii dunia usipokuwa katili hufanikiwi..ww jitie una huruma utalee watoto wa mwanaume mwenzio tu.
 
Na wanawake wanajua Mwanaume asiye na akili huwa hawakai nao.
Wapo wanawake smart hawataki wanaume mandondocha. Umemkuta ana watoto wawili unaamua uwalee... Anakuona huna akili. Lazima aku cheat na wenye akili. Akazae nao uje ulee
 
Kwenye kikao cha wanaume tulishakubaliana kuwa single mother anayestahili kupewa hifadhi ni yule Mjane (aliyefiwa na mumewe) na hadi ujiridhishe kwa uhalisia uone ndugu zake wa huyo marehemu na kaburi ndyo uanze mahusiano naye.
Je ulikuwepo au ulikwenda kuchimba dawa?
 
Back
Top Bottom