FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #261
Mutation kwenye vinasaba vya ‘Melanini’
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe elimu inakupa uchizi maana hata kujiuliza swali dogo tu kwamba hiyo origin( mwanzo wa yote) kabla ya kuanza kubadilika ilitokea wapi? Ukivuta bangi ujue kujicontroll utawehuka
Eggs ActlyKwahiyo wamaanisha pia miaka ijayo,tutakuja kuwa viumbe tofauti na tulivyo sasa?...
Kwanza jiulize mwenyewe...Umejuaje ni Fulani mpaka ukauliza ni nani??Haujiulizi ni Nani anayekubadilisha kutoka kwenye shahawa mpaka ukawa BINADAMU?
Na mimi najiuliza hilo swaliDuh, mbona siku hizi evolution haiendelei??
Hebu soma uzi na comments zilizopita, haiwezekani swali hilo hilo lijibiwe mara 100 ndani ya thread moja...Na mimi najiuliza hilo swali
Tanapa watutangazie wamefanikiwa kuwakamata watu sabini ambao walikuwa sokwe na sasa wamebadilika kuwa watu na serikali imewapeleka kwenye vijiji mbalimbali ili wakaanze kuishi kama binadamu wengine.
Bila tailbone sahahau kunya.Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.
Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.
Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.
Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.
Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!
=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================
Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================
'Atavism', ushahidi wa udugu wa damu baina ya binadamu, nyoka na nyani
'Atavists' ni viungo vilivyorudi kwa bahati mbaya kwenye viumbe ambavyo viungo husika vilishaondoka na kupotea, ila zile 'switch' za kiungo husika zinakuwa tu zimezimwa kwenye vinasaba vya kiumbe, na 'switch' hizo zinapowashwa tena kwa bahati mbaya, basi kiungo hicho hurudi. Mfano nyoka mwenye...www.jamiiforums.com
=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.
View attachment 1912340![]()
Scientists Discover Fossil Of A 4-Legged Whale With A Raptor-Like Eating Style
Are you terrified yet? Because we certainly are. Scientists even named their discovery of a 43 million-year-old fossil after Anubis, an Egyptian god associated with death.www.npr.org
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.
Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.
Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.
Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!
=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================
Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================
'Atavism', ushahidi wa udugu wa damu baina ya binadamu, nyoka na nyani
'Atavists' ni viungo vilivyorudi kwa bahati mbaya kwenye viumbe ambavyo viungo husika vilishaondoka na kupotea, ila zile 'switch' za kiungo husika zinakuwa tu zimezimwa kwenye vinasaba vya kiumbe, na 'switch' hizo zinapowashwa tena kwa bahati mbaya, basi kiungo hicho hurudi. Mfano nyoka mwenye...www.jamiiforums.com
=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.
View attachment 1912340![]()
Scientists Discover Fossil Of A 4-Legged Whale With A Raptor-Like Eating Style
Are you terrified yet? Because we certainly are. Scientists even named their discovery of a 43 million-year-old fossil after Anubis, an Egyptian god associated with death.www.npr.org
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira
Ukionyesha sehemu moja tu ambayo nimesema Mungu hayupo au hajausika katika uwepo wetu, najitoa JF.Zote hizi ni njama za kumtoa Mungu kwenye equation.Naomba nikumbushe kwamba the fact that you do not know the use of anything,it does not mean it is useless.Binadamu mpo wajinga sana,jifunzeni kumheshimu muumba wenu.Pia kumbukeni kwamba God has infinite power and knows everything while we as humans have limited power and knowledge.
This shows that you believe in evolution👉Hii inaashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution👈.Ukionyesha sehemu moja tu ambayo nimesema Mungu hayupo au hajausika katika uwepo wetu, najitoa JF.
Ndugu yangu, kwani Mungu hawezi kutumia evolution kama tool mahsusi ya uumbaji? Miaka milioni 1 inaweza kuwa kama siku 1 tu kwake, hivyo akisema kaumba kwa siku 1 (million years of evolving), utabisha?This shows that you believe in evolution👉Hii inaashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution👈.
Ni ukweli uliowazi kwamba anybody who believes in evolution is an atheist.FRANCIS DA DON HUO NDIO UKWELI YOU CAN'T RUN AWAY FROM IT.YOU DON'T HAVE TO SAY HAKUNA MUNGU,UNACHOAMINI TELLS IT ALL,MIMI NI INTELLIGENT,SIO MJINGA!
Hapana DON,Mungu hawezi kutumia evolution as a means of creation na hana haha hiyo.Remember He is omniscient (He is all knowing) and omnipotent(He is all powerful),so he says,and it is done.Ndugu yangu, kwani Mungu hawezi kutumia evolution kama tool mahsusi ya uumbaji? Miaka milioni 1 inaweza kuwa kama siku 1 tu kwake, hivyo akisema kaumba kwa siku 1 (million years of evolving), utabisha?
Unampangia cha kufanya? ameumba, na ameumba kwa mechanism ya evolution, na ushahidi upoHapana DON,Mungu hawezi kutumia evolution as a means of creation na hana haha hiyo.Remember He is omniscient (He is all knowing) and omnipotent(He is all powerful),so he says,and it is done.
Hapana,hakuna ushahidi wa God using evolution in creation,kama upo ulete,ila nikupe angalizo,hicho unachodhania ni God's creation through evolution, kitakukuwa na mkono wa Shetani using his agents.Remember also that Darwin was Satan's agent,and there are many today.Unampangia cha kufanya? ameumba, na ameumba kwa mechanism ya evolution, na ushahidi upo
Huu uzi wote unajadili evidence za evolution, halafu unaniambia nilete evidence?Hapana,hakuna ushahidi wa God using evolution in creation,kama upo ulete,ila nikupe angalizo,hicho unachodhania ni God's creation through evolution, kitakukuwa na mkono wa Shetani using his agents.Remember also that Darwin was Satan's agent,and there are many today.
Uzi ulioandikwa na agents wa Shetani kwa nia ya kupotosha ukweli!?Evolution is fake science which cannot be proved by scientific research and experimentation,so it's rubbish.Huu uzi wote unajadili evidence za evolution, halafu unaniambia nilete evidence?