Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tuko pamoja mkuuAhsante sana Sniper, Ntaifanyia kazi mkuu.
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja mkuuAhsante sana Sniper, Ntaifanyia kazi mkuu.
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu, lakni kila kiumbe kina impact katika mazingira, kikubwa nikupima faida vs hasara, after that you can decide whether to introduce it or ignore it.Vitu vipya kibayolojia katika mazingira yasiyo yake kiasili ni matatizo
1. Kunguru wa zanzibar waliletwa eti kuzoa takataka sasa kero yake nadhani kila mmoja anaijua
2. Mandege john yale makubwa kabisa yenye dude linaloninginia shingoni kama pulizo yaliletwa kule mwanza eti kusafisha mabaki ya samaki sasa yanameza kuku wazima wazima
3, Tujuhadhari na athari za baadaye za huu mti maana nieuangalia!!!! nimeutizamaaa!!! nikaona huu umekaa kishari shari baadaye waweza kutugeuka
Hapana, sema ukitafuta miche yake utapata. Kwa maana huu mmea watu wengi wanaufananisha na mmea wa mchaichai.Mkuu mbegu za hizi nyasi unazo? Nahitaji
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni kweli Kabisa, Kwa sababu Idodomya inatabia nchi ya Semi-Desert type of climate.Wakazi wa Dodoma huu uzi unawahusu
Hizi nyasi zinapatikana kwa wingi maeneo ya Kimara na Mbezi hata kwangu nimepanda inazuia mmonyoko wa udongo kwa asilimia kubwa sana.Hapana, sema ukitafuta miche yake utapata. Kwa maana huu mmea watu wengi wanaufananisha na mmea wa mchaichai.
Hapana, sema ukitafuta miche yake utapata. Kwa maana huu mmea watu wengi wanaufananisha na mmea wa mchaichai.
Hizi nyasi zinapatikana kwa wingi maeneo ya Kimara na Mbezi hata kwangu nimepanda inazuia mmonyoko wa udongo kwa asilimia kubwa sana.
Asilimia zaidi ya 90 ya majitaka ni maji. Taka ngumu (solids) huwa chini ya asilimia 10. Ili kuchakatua maji taka kuwa masafi kwanza shimo la maji taka (septic tank) linagawanywa kwenye sehemu tatu hadi sita kulingana na aina na wingi wa taka ngumu zinazoingia. Kazi kubwa ya shimo la maji taki ni kutenganisha taka ngumu na maji (solid-liquid separation). Kwenye shimo la maji taka, asilimia 70 - 80 ya taka ngumu huwa zinatuama chini wakati nyingine huwa zinaelea. Katikati yake kunakua ni maji yenye asimia chache sana ya taka ngumu. Haya maji (yenye harufu mbaya na rangi) yanapelekwa kwenye mfumo wa vetiver. Vetiver ina asili ya kuwa na mizizi mirefu (hadi mita 3) na ukuaji wa haraka sana. Vetiver hupandwa kwenye tabaka la kokoto na changarawe (gravel) na chini ya hizo kokoto maji taka yaliyotoka kwenye shimo hapo juu hupita kwenye mizizi ya vetiver. Kadri maji yanavyopita husafishwa. Vetiver hutumia mwanga wa jua kusafisha uchafu ulio kwenye maji taka hayo. Uchafu huo au mbolea hutumika kama chakula cha mmea. Maji yatokayo kwenye tabaka lililopandwa vetiver huwa ni masafi, yasiyo na harufu mbaya, yanakithi vigezo vya mazingira vya kutiririshwa kwenye mitaro au kutumika kumwagilia mimea.huo mfumo wa Vetiver unafanyaje kazi?
Nchi nyingi za Asia wanatumia bamboo kwa kuzuia mmomonyoka na wanatumia kujengea, chakula cha mifugo na binadamu zile bamboo shoots na kutengenezea vitu vingi vya mapambo na vya kutumia. Bamboo inaweza fanya kazi zaidi ya mia.Ahsante sana Sniper, Ntaifanyia kazi mkuu.
We upo Dar,kama upo serious nicheki nitakung'olea.Mkuu Charty habari.
Naomba miche na mimi nipande.
Shukrani.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umesahau miti ya mikaratusiVitu vipya kibayolojia katika mazingira yasiyo yake kiasili ni matatizo
1. Kunguru wa zanzibar waliletwa eti kuzoa takataka sasa kero yake nadhani kila mmoja anaijua
2. Mandege john yale makubwa kabisa yenye dude linaloninginia shingoni kama pulizo yaliletwa kule mwanza eti kusafisha mabaki ya samaki sasa yanameza kuku wazima wazima
3, Tujuhadhari na athari za baadaye za huu mti maana nieuangalia!!!! nimeutizamaaa!!! nikaona huu umekaa kishari shari baadaye waweza kutugeuka
We upo Dar,kama upo serious nicheki nitakung'olea.
We upo Dar,kama upo serious nicheki nitakung'olea.
Achana na hao wagogo jangwa liwameze maana wamekuwa watu wa hovyohovyo kutuletea watu wasioeleweka kushika madaraka makubwa na kutupeleka kichwa chini miguu juu,Hahahaha I see, upo mzima lakini hebu tuachane na wagogoWakazi wa Dodoma huu uzi unawahusu
We upo Dar,kama upo serious nicheki nitakung'olea.
okay.Tuwasiliane mkuu.
Sent from my iPhone using JamiiForums