Viashiria vya uongo kuhusiana na ISIS, Al-Qaeda na wenzao

Viashiria vya uongo kuhusiana na ISIS, Al-Qaeda na wenzao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Imeatangazwa kuwa tawi la Alqaeda la Afrika Magharibi linajulikano kama AQIM limemchagua muAlgeria Abu Obaida Yusuf al-Annabi aliyekuwa mjumbe baraza la watukufu wa tawi hilo kuchukua nafasi ya Abdelmalek Droukdel aliyekuwa kiogozi wake aliyeuliwa na majeshi ya Ufaransa mwezi Juni nchini Mali kutokana na mashambulizi ya majeshi ya Ufaransa nchini humo.

Taarifa hizo ni kwa mujibu wa taasisi ya kimarekani iitwayo SITE monitoring group ambayo ni maalum katika kufuatilia harakati za wanamgambo wa kiislamu maeneo mbali mbali duniani.

Tawi hilo la AQIM lilionesha video ya maiti ya kiongozi wao aliyefariki na mashambulizi hayo muda mfupi kabla ya kumtambulisha kiongozi wao mpya.

Bwana Annabi kabla ya hapo amekuwa akioneshwa kwenye video mara kwa mara akihamasisha mashambulizi kwa askari wa kifaransa.

1606109020253.png



Uchaguzi huu mpya wa tawi la Alqaeda umekuja sambamba na mahojiano aliyofanyiwa hivi karibu mjomba wa kiongozi aliyepinduliwa na kuuliwa wa Libya kanali Gadafi.Akiwa nchini Misri mjomba huyo Ahmed Kadhaf al-Dam ambaye alikuwa mshauri wa Gadafi katika mambo ya kiutawala na balozi wa Libya amesema yako makundi ya kiislamu yaliyotajwa kuwapo nchini humo lakini hakumbuki kuwepo mujahidina wala wenye imani kali mpaka pale habari hizo zilipotajwa na viongozi wa Ufaransa na Marekani wa wakati huo.

Viashiria vya uongo wa taarifa za ISIS,ALSHABAAB,BOKOHARAM na Alqaeda ni hivi :
1.Kwanza kama kweli vikundi hivyo vinaongozwa na waislamu viongozi wake wangekuwa ni wataalamu wa lugha ya kiarabu.Lugha ya kiarabu inajitosheleza kimaana haraka na hivyo matumizi ya vifupisho kama AQIM,ISIS na majina mengi yenye vifupisho vya namna hiyo hayawezi kuwa yametokana na waislamu.

2.Kama ni mkutano wa kuchagua viongozi ulifanyika wapi na ulihudhuriwa na nani.

3.Hizo vidio za matamshi ya viongozi hao mbona hazionekani popote na hata ukiingia kwenye mtandao wa SITE hakuna kitu.Kwa kukosekana kwa picha halisi vyombo vya habari hurudia picha hiyo hiyo iliyopigwa eneo fulani miaka na miaka kama kwamba hao waliokuwemo hawajazeeka.

4.Inapoelezwa wanagambo hao wamesema kwenye mtandao wao.Huo mtandao anuwani yake ni ipi ili na wengine wathibitishe.Kama mtandao upo nani host wake na nani analipia name server ili mtandao uendelee kuwa hewani.Kwa sababu hakuna mtandao unaokwenda hewani bila kujulikana na ICAN . Kama anajulikana anayelipia kwanini asifuatiliwe akaonesha mapango ya walipo wenzake wanaoteka na kuuwa wanadiplomasia wa magharibi na ili waokolewe wale wanaowashikilia.

5. Iwapo kila siku wanamgambo wa kiislamu wanapigwa na kuzingirwa kwanini vita havina mwisho.Wao hawashindi na wala hawashindwi.

Kwa kukosa majibu masuali hayo ni dalili ya kuwepo watu wanaotuchezea akili zetu na wanaoupaka matope uislamu na wanaopata sababu za kuendeleza vita maeneo mbali mbali duniani kwa maslahi yao.

Na kwanini iwapo taarifa hizo haziaminiki na hazina chanzo madhubuti kwa nini wanahabari wanazipa umuhimu na hawasemi kama tulivyowaambia wauza barakoa kwamba wakawatangazie mama na baba zao kwanza.
 
Watoa taarifa wanamiliki vikundi hivyo. Ndo maana huja na taarifa za mapema za kikundi kimoja na baadaye hutoa taarifa za mpinzani wake. Wazungu ni wanafiki kupita maelezo.
 
Br & sister Ami naomba unipe maudhui halisi ya ujumbe wako huu?
Je Mimi sijaelewa?
1. Je unakataa hakuna vikundi vikivyopewa majina haya.. ISIS, alqaidah.
2 . Je unaunga mkono matendo maovu ya makundi haya?
 
Watoa taarifa wanamiliki vikundi hivyo. Ndo maana huja na taarifa za mapema za kikundi kimoja na baadaye hutoa taarifa za mpinzani wake. Wazungu ni wanafiki kupita maelezo.
Wewe hushangai Afrika Mashariki kwa takribani miaka 50 nyuma haijawahi kua na magaidi hizi siku za karibuni baada ya kupatikana mafuta mara Uganda mara Tanzania mara Msumbiji wamarekani bana
 
Br & sister Ami naomba unipe maudhui halisi ya ujumbe wako huu?
Je Mimi sijaelewa?
1. Je unakataa hakuna vikundi vikivyopewa majina haya.. ISIS, alqaidah.
2 . Je unaunga mkono matendo maovu ya makundi haya?
Vikundi vilivyopewa majina hayo yawezekana vipo. Muhimu nani aliyewapa na jee ni majina tu au ni vikundi halisi.

Kama wewe ni muelewa basi kwa maelezo yangu wala huwezi kuniuliza suala na. 2 badala yake labda ungeniuliza kwanini unapinga matendo ya ISIS na jibu langu tayari unalijua kwamba matendo hayo si ya kibinadamu na wala hayaungwi mkono na Uislamu dini ninayoifuata.
 
Imeatangazwa kuwa tawi la Alqaeda la Afrika Magharibi linajulikano kama AQIM limemchagua muAlgeria Abu Obaida Yusuf al-Annabi aliyekuwa mjumbe baraza la watukufu wa tawi hilo kuchukua nafasi ya Abdelmalek Droukdel aliyekuwa kiogozi wake aliyeuliwa na majeshi ya Ufaransa mwezi Juni nchini Mali kutokana na mashambulizi ya majeshi ya Ufaransa nchini humo.

Taarifa hizo ni kwa mujibu wa taasisi ya kimarekani iitwayo SITE monitoring group ambayo ni maalum katika kufuatilia harakati za wanamgambo wa kiislamu maeneo mbali mbali duniani.

Tawi hilo la AQIM lilionesha video ya maiti ya kiongozi wao aliyefariki na mashambulizi hayo muda mfupi kabla ya kumtambulisha kiongozi wao mpya.

Bwana Annabi kabla ya hapo amekuwa akioneshwa kwenye video mara kwa mara akihamasisha mashambulizi kwa askari wa kifaransa.

View attachment 1632757


Uchaguzi huu mpya wa tawi la Alqaeda umekuja sambamba na mahojiano aliyofanyiwa hivi karibu mjomba wa kiongozi aliyepinduliwa na kuuliwa wa Libya kanali Gadafi.Akiwa nchini Misri mjomba huyo Ahmed Kadhaf al-Dam ambaye alikuwa mshauri wa Gadafi katika mambo ya kiutawala na balozi wa Libya amesema yako makundi ya kiislamu yaliyotajwa kuwapo nchini humo lakini hakumbuki kuwepo mujahidina wala wenye imani kali mpaka pale habari hizo zilipotajwa na viongozi wa Ufaransa na Marekani wa wakati huo.

Viashiria vya uongo wa taarifa za ISIS,ALSHABAAB,BOKOHARAM na Alqaeda ni hivi :
1.Kwanza kama kweli vikundi hivyo vinaongozwa na waislamu viongozi wake wangekuwa ni wataalamu wa lugha ya kiarabu.Lugha ya kiarabu inajitosheleza kimaana haraka na hivyo matumizi ya vifupisho kama AQIM,ISIS na majina mengi yenye vifupisho vya namna hiyo hayawezi kuwa yametokana na waislamu.

2.Kama ni mkutano wa kuchagua viongozi ulifanyika wapi na ulihudhuriwa na nani.

3.Hizo vidio za matamshi ya viongozi hao mbona hazionekani popote na hata ukiingia kwenye mtandao wa SITE hakuna kitu.Kwa kusokana kwa picha halisi vyombo vya habari hurudia picha hiyo hiyo iliyopigwa eneo fulani miaka na miaka kama kwamba hao waliokuwemo hawajazeeka.

4.Inapoelezwa wanagambo hao wamesema kwenye mtandao wao.Huo mtandao anuwani yake ni ipi ili na wengine wathibitishe.Kama mtandao upo nani host wake na nani analipia name server ili mtandao uendelee kuwa hewani.Kwa sababu hakuna mtandao unaokwenda hewani bila kujulikana na ICAN . Kama anajulikana anayelipia kwanini asifuatiliwe akaonesha mapango ya walipo wenzake wanaoteka na kuuwa wanadiplomasia wa magharibi na ili waokolewe wale wanaowashikilia.

5. Iwapo kila siku wanamgambo wa kiislamu wanapigwa na kuzingirwa kwanini vita havina mwisho.Wao hawashindi na wala hawashindwi.

Kwa kukosa majibu masuali hayo ni dalili ya kuwepo watu wanaotuchezea akili zetu na wanaoupaka matope uislamu na wanaopata sababu za kuendeleza vita maeneo mbali mbali duniani kwa maslahi yao.

Na kwanini iwapo taarifa hizo haziaminiki na hazina chanzo madhubuti kwa nini wanahabari wanazipa umuhimu ha hawasema kama tulivyowaambia wauza barakoa kwamba wakawatangazie mama na baba zao kwanza.
Ami wewe umejiunga lini na hili kundi na nani anayekuletea hizi habari hapa Tanzania? Sikia, tunayo IP address yako, nataka ikifika saa nne asubuhi uwe umeshafika hapa Polisi Oysterbay kitengo cha upelelezi.
 
Kwa nini sasa umma wa kiislamu kote ulimwenguni hauungani kukemea hayo, tatizo kuna wanafik miongoni mwao
Umma wa kiislamu umesambaratiswa na kutishiwa sana.Masheikh wengi hata wenye kupinga na kuwa na elimu ya kinachotendeka wanaogopa kusimama hadharani akataja Alqaeda anajua serikali nyingi ziko upande wa Marekani na washirika wake hivyo atashikwa na kupata matatizo.Kwa madhara yanayoendelea kwa binadamu kwa kusingizia uovu uislamu sasa inabidi wabadili mwelekeo na watoe ufafanuzi kuwa makundi hayo yasihusishwe na uislamu.Yarudi kwao yalikotoka.
 
Ami wewe umejiunga lini na hili kundi na nani anayekuletea hizi habari hapa Tanzania? Sikia, tunayo IP address yako, nataka ikifika saa nne asubuhi uwe umeshafika hapa Polisi Oysterbay kitengo cha upelelezi.
Hizo habari utaona kama nimezisoma kama zinavyosomwa na wengine kwenye mitandao na mimi siziamini na nimegundua zina madhara kwa watu waislamu kwa wakristo. Siku Nikifika hapo ofisini nitakueleza zaidi. Na wewe nitakuuliza kwani una maslahi gani kuwepo kwa vikundi hivyo.
 
Hizo habari utaona kama nimezisoma kama zinavyosomwa na wengine kwenye mitandao na mimi siziamini na nimegundua zina madhara kwa watu waislamu kwa wakristo.Siku Nikifika hapo ofisini nitakueleza zaidi.Na wewe nitakuuliza kwani una maslahi gani kuwepo kwa vikundi hivyo.
Sawa njoo ujisalimishe, ila mimi nipo hapa kuchunguza nani analeta machafuko mitandaoni.
 
Hizo habari utaona kama nimezisoma kama zinavyosomwa na wengine kwenye mitandao na mimi siziamini na nimegundua zina madhara kwa watu waislamu kwa wakristo.Siku Nikifika hapo ofisini nitakueleza zaidi.

Sawa njoo ujisalimishe, ila mimi nipo hapa kuchunguza nani analeta machafuko mitandaoni.
Nimeshakuelewa. Asante mzee.
 
Imeatangazwa kuwa tawi la Alqaeda la Afrika Magharibi linajulikano kama AQIM limemchagua muAlgeria Abu Obaida Yusuf al-Annabi aliyekuwa mjumbe baraza la watukufu wa tawi hilo kuchukua nafasi ya Abdelmalek Droukdel aliyekuwa kiogozi wake aliyeuliwa na majeshi ya Ufaransa mwezi Juni nchini Mali kutokana na mashambulizi ya majeshi ya Ufaransa nchini humo.

Taarifa hizo ni kwa mujibu wa taasisi ya kimarekani iitwayo SITE monitoring group ambayo ni maalum katika kufuatilia harakati za wanamgambo wa kiislamu maeneo mbali mbali duniani.

Tawi hilo la AQIM lilionesha video ya maiti ya kiongozi wao aliyefariki na mashambulizi hayo muda mfupi kabla ya kumtambulisha kiongozi wao mpya.

Bwana Annabi kabla ya hapo amekuwa akioneshwa kwenye video mara kwa mara akihamasisha mashambulizi kwa askari wa kifaransa.

View attachment 1632757


Uchaguzi huu mpya wa tawi la Alqaeda umekuja sambamba na mahojiano aliyofanyiwa hivi karibu mjomba wa kiongozi aliyepinduliwa na kuuliwa wa Libya kanali Gadafi.Akiwa nchini Misri mjomba huyo Ahmed Kadhaf al-Dam ambaye alikuwa mshauri wa Gadafi katika mambo ya kiutawala na balozi wa Libya amesema yako makundi ya kiislamu yaliyotajwa kuwapo nchini humo lakini hakumbuki kuwepo mujahidina wala wenye imani kali mpaka pale habari hizo zilipotajwa na viongozi wa Ufaransa na Marekani wa wakati huo.

Viashiria vya uongo wa taarifa za ISIS,ALSHABAAB,BOKOHARAM na Alqaeda ni hivi :
1.Kwanza kama kweli vikundi hivyo vinaongozwa na waislamu viongozi wake wangekuwa ni wataalamu wa lugha ya kiarabu.Lugha ya kiarabu inajitosheleza kimaana haraka na hivyo matumizi ya vifupisho kama AQIM,ISIS na majina mengi yenye vifupisho vya namna hiyo hayawezi kuwa yametokana na waislamu.

2.Kama ni mkutano wa kuchagua viongozi ulifanyika wapi na ulihudhuriwa na nani.

3.Hizo vidio za matamshi ya viongozi hao mbona hazionekani popote na hata ukiingia kwenye mtandao wa SITE hakuna kitu.Kwa kusokana kwa picha halisi vyombo vya habari hurudia picha hiyo hiyo iliyopigwa eneo fulani miaka na miaka kama kwamba hao waliokuwemo hawajazeeka.

4.Inapoelezwa wanagambo hao wamesema kwenye mtandao wao.Huo mtandao anuwani yake ni ipi ili na wengine wathibitishe.Kama mtandao upo nani host wake na nani analipia name server ili mtandao uendelee kuwa hewani.Kwa sababu hakuna mtandao unaokwenda hewani bila kujulikana na ICAN . Kama anajulikana anayelipia kwanini asifuatiliwe akaonesha mapango ya walipo wenzake wanaoteka na kuuwa wanadiplomasia wa magharibi na ili waokolewe wale wanaowashikilia.

5. Iwapo kila siku wanamgambo wa kiislamu wanapigwa na kuzingirwa kwanini vita havina mwisho.Wao hawashindi na wala hawashindwi.

Kwa kukosa majibu masuali hayo ni dalili ya kuwepo watu wanaotuchezea akili zetu na wanaoupaka matope uislamu na wanaopata sababu za kuendeleza vita maeneo mbali mbali duniani kwa maslahi yao.

Na kwanini iwapo taarifa hizo haziaminiki na hazina chanzo madhubuti kwa nini wanahabari wanazipa umuhimu ha hawasema kama tulivyowaambia wauza barakoa kwamba wakawatangazie mama na baba zao kwanza.
Duh kweli kabisa
 
Back
Top Bottom