Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Ungeandika kiarabu , hiyo lugha unayosifia kuwa ya kiislam ningekuelewaViashiria vya uongo wa taarifa za ISIS,ALSHABAAB,BOKOHARAM na Alqaeda ni hivi :
1.Kwanza kama kweli vikundi hivyo vinaongozwa na waislamu viongozi wake wangekuwa ni wataalamu wa lugha ya kiarabu.Lugha ya kiarabu inajitosheleza kimaana haraka na hivyo matumizi ya vifupisho kama AQIM,ISIS na majina mengi yenye vifupisho vya namna hiyo hayawez