Viashiria vya uongo kuhusiana na ISIS, Al-Qaeda na wenzao

Viashiria vya uongo kuhusiana na ISIS, Al-Qaeda na wenzao

Hongera sana mkuu kwa kuwa honest...ni waislam wachache sana wenye hii character.
Humu Jf nimeona wewe ni wa pili.

Wengine hata kwenye ukweli watajaribu kuficha na hata mavi watayawekea icing sugar na cake decoration.
Siamini kama Ami hajawahi kukumbana na hayo mafundisho Lakini humu anatuficha.

Anyways Kongole kwako you've earned my respect

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndiye Ami mwenyewe nakuhakikishia sijawahi kukutana na mafundisho hayo. Huyo Sela Son naye aweke wazi wapi katika Tanzania alikutana na mafunzo hayo alipokuwa akisoma.Wakati mwengine uvivu wa kusoma unaweza ukampelekea mwanafuzni kutafsiri vibaya masomo yake.
 
Mimi ndiye Ami mwenyewe nakuhakikishia sijawahi kukutana na mafundisho hayo. Huyo Sela Son naye aweke wazi wapi katika Tanzania alikutana na mafunzo hayo alipokuwa akisoma.Wakati mwengine uvivu wa kusoma unaweza ukampelekea mwanafuzni kutafsiri vibaya masomo yake.
Mimi mwenyewe nlposoma O'level hayo mambo nilisikia sana...Tena kipindi kile tension za Jihad zilikuwa kubwa makanisa yalikuwa yanachomwa huko Zanzibar
ila wewe najua you will say anything...Kama wenzako tu kwahyo wakitokea wakweli wachache inabidi tuwasifu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usidanganywe na propaganda..mimi nimesoma Islamic schools toka primary Hawa waislam sio watu wa amani.

Nakumbuka walikuwa wanadaka watu wanachapa fimbo msikitini
Wale imani kali walikuwa wanajitenga hawataki urafiki na mtu asiye muislam
Walikuwa wakali sana kwa makafiri na wakarimu wao kwa wao

Unataka kusema hizi tabia zimeletwa na mmarekani?
Mzee tusipepese macho if it walks like a duck,quacks like a duck, swims like a duck then it is a duck


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki ulichokisema ni kweli
 
Mzee hii subject ni ndefu sana ngoja tuiweke pembeni.
Lakini tuongelee hapo kwenye kuchukua sheria mkononi...kwamfano mtu akilala na mkeo unaruhusiwa kumuua?
Sheria za nchi inabidi zifuate mzee
Kwahyo kama dini inajichukulia sheria mkononi(regardless wako kwenye ukweli au la) basi ni makosa na vitendo vya kukemewa.

Kuvitukuza vitendo hivo ni kutishia amani na usalama wa nchi husika kwa maneno mengine ndo ugaidi huo bwashee

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
 
Mimi ndiye Ami mwenyewe nakuhakikishia sijawahi kukutana na mafundisho hayo. Huyo Sela Son naye aweke wazi wapi katika Tanzania alikutana na mafunzo hayo alipokuwa akisoma.Wakati mwengine uvivu wa kusoma unaweza ukampelekea mwanafuzni kutafsiri vibaya masomo yake.
Elewa hivyo .. sitaki kukupeleka mpaka yalipofanyika haya.. coz NI mda mrefu na hayafanyiki Tena..
 
Elewa hivyo .. sitaki kukupeleka mpaka yalipofanyika haya.. coz NI mda mrefu na hayafanyiki Tena..
mzee sorry lakini najua hutaki kuongelea haya...Lakini around 2012 mzee wangu alipokea CD na rafiki yake sana ni sheikh fulan.
ile CD ilikuwa inaonesha makambi mbalimbali ya Jihad hapa duniani na mafunzo wanayofanya huko.
ilionesha vijana wanavyoishi kambini na kujifunza kutumia silaha na kuattack watu.Mambo ni mengi


Lakini nakumbuka Mwishoni ilionesha wamedaka watu wengi(kama 30) wamepiga magoti wamevaa mapullover ya orange...wakawa wanasema baadhi ni mapadri wengine wamekana imani.
kila mmoja wao aliyepiga magoti alikuwa na kijana mwenye kisu nyuma yake..(i think you know what follows next)

Lakini mwishoni mwa ile CD ilikuwa inaonesha Vijana mbalimbali from all over the world wanaosapoti hizi kambi
Canada,US,Thailand,Indonesia,Libya,Kenya and yes Hata bongo.
Na kila mtu alikuwa anaongea kwa lugha yake wanaweka subtitle sasa yule mbongo alikuwa anaongea kiswahili anasema anatoka daresalaam halafu alikuwa anawaasa vijana wajiunge na jihad na alikuwa ameshikilia silaha.

Hiyo CD ilikuwa inasambazwa kisirisiri among muslims kipindi hicho na tuliiangalia sebulen familia nzima ila tuliizima mzee alishindwa kuangalia pale kwenye kuchinja tukazima
.
Hii inahusiana na mazingira unayoongelea wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzee sorry lakini najua hutaki kuongelea haya...Lakini around 2012 mzee wangu alipokea CD na rafiki yake sana ni sheikh fulan.
ile CD ilikuwa inaonesha makambi mbalimbali ya Jihad hapa duniani na mafunzo wanayofanya huko.
ilionesha vijana wanavyoishi kambini na kujifunza kutumia silaha na kuattack watu.Mambo ni mengi


Lakini nakumbuka Mwishoni ilionesha wamedaka watu wengi(kama 30) wamepiga magoti wamevaa mapullover ya orange...wakawa wanasema baadhi ni mapadri wengine wamekana imani.
kila mmoja wao aliyepiga magoti alikuwa na kijana mwenye kisu nyuma yake..(i think you know what follows next)

Lakini mwishoni mwa ile CD ilikuwa inaonesha Vijana mbalimbali from all over the world wanaosapoti hizi kambi
Canada,US,Thailand,Indonesia,Libya,Kenya and yes Hata bongo.
Na kila mtu alikuwa anaongea kwa lugha yake wanaweka subtitle sasa yule mbongo alikuwa anaongea kiswahili anasema anatoka daresalaam halafu alikuwa anawaasa vijana wajiunge na jihad na alikuwa ameshikilia silaha.

Hiyo CD ilikuwa inasambazwa kisirisiri among muslims kipindi hicho na tuliiangalia sebulen familia nzima ila tuliizima mzee alishindwa kuangalia pale kwenye kuchinja tukazima
.
Hii inahusiana na mazingira unayoongelea wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo cd mliyoletewa naamini ni nyenzo za propaganda zilizo dhidi ya waislamu na haiwezekani imetayarishwa na waislamu na wala hakukuwa na tukio hilo halisi. Dalili kuwa si halisi na ni dhidi ya uislamu ni hicho kitendo cha kuchinja. Wasiokuwa waislamu wameathirika sana na propaganda hizi na kujitokeza mbele hadharani kuutukana uislamu ukirudia kanda kama hizo.
Mafunzo ya waislamu yanatoka kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe na kupitia ufafanuzi wa utekelezaji kutoka kwa Mtume Muhammad s.a.w. Kwenye Qur'an kila sehemu inakataza kuuwa hata mtu mmoja isipokuwa kwa haki na haki zenyewe zimeainishwa.Kupitia kwa Mtume mwenyewe alikuwa mwenye huruma sana na haatupati historia inayoonesha ukatili wa aina hiyo.Kwanza hakuwa muanzilishi wa vita na mpaka alipochokozwa na katika vita hata alipowashinda maadui zake hakuwahi kuwachinja kama hivyo.Sasa ni nani huyo mwenye mafunzo na ujasiri wa kutekeleza jambo lillo mbali na uislamu halafu aseme ni waislamu waliotekeleza.
Ukiambiwa tumia na zako.Kimantiki hiyo kanda haiwezekani iwe ni ya kutafuta wanachama wa kuendeleza jihadi.Hiyo ilikusudia zaidi kuupakazia uislamu.Mafunzo yoyote huwa yanafuata saikolojia ya kujifunza ambapo unaanza na jambo dogo kuelekea kubwa.Hata uchawi nao twasikia vijana wadogo huanza kubebeshwa mikoba na tunguli za mababu zao na huko mbele huonjeshwa ladha ya baadhi ya nyama na hatimae kijana kujikuta ni mchawi kama babu yake.Hii CD mliyoletewa nyinyi siku hiyo hiyo inachinja watu halafu mswahili mmoja anawahimiza vijana wajiunge nao katika jihadi.Hiyo ni kampeni ya kipuuzi kabisa kwani hawajui kwamba kitendo cha kuuwa ni cha kukirihisha.Hata nyinyi mlizima cd hamkuweza kuendelea kuangalia sinema hiyo.
 
.Hii CD mliyoletewa nyinyi siku hiyo hiyo inachinja watu halafu mswahili mmoja anawahimiza vijana wajiunge nao katika jihadi.Hiyo ni kampeni ya kipuuzi kabisa kwani hawajui kwamba kitendo cha kuuwa ni cha kukirihisha.Hata nyinyi mlizima cd hamkuweza kuendelea kuangalia sinema hiyo.
Mzee Hii CD ukiitazama kusema ukweli kama una uchungu na dini lazima uende kupigana mzee...Yaani major theme ya ile CD ilikuwa kwamba Marekani ya Bush na Obama na Israel wanaua waislam na wanaupinga uislam na kutuleteab demokrasia na ushoga(mfano wa iraq)...Hivyo Mmarekani na Muisraili ni Adui wa kwanza wa uislam na Quran inasema "Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii." (Quran 9:29)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo cd mliyoletewa naamini ni nyenzo za propaganda zilizo dhidi ya waislamu na haiwezekani imetayarishwa na waislamu na wala hakukuwa na tukio hilo halisi. Dalili kuwa si halisi na ni dhidi ya uislamu ni hicho kitendo cha kuchinja. Wasiokuwa waislamu wameathirika sana na propaganda hizi na kujitokeza mbele hadharani kuutukana uislamu ukirudia kanda kama hizo.
Mafunzo ya waislamu yanatoka kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe na kupitia ufafanuzi wa utekelezaji kutoka kwa Mtume Muhammad s.a.w. Kwenye Qur'an kila sehemu inakataza kuuwa hata mtu mmoja isipokuwa kwa haki na haki zenyewe zimeainishwa.Kupitia kwa Mtume mwenyewe alikuwa mwenye huruma sana na haatupati historia inayoonesha ukatili wa aina hiyo.Kwanza hakuwa muanzilishi wa vita na mpaka alipochokozwa na katika vita hata alipowashinda maadui zake hakuwahi kuwachinja kama hivyo.Sasa ni nani huyo mwenye mafunzo na ujasiri wa kutekeleza jambo lillo mbali na uislamu halafu aseme ni waislamu waliotekeleza.
Ukiambiwa tumia na zako.Kimantiki hiyo kanda haiwezekani iwe ni ya kutafuta wanachama wa kuendeleza jihadi.Hiyo ilikusudia zaidi kuupakazia uislamu.Mafunzo yoyote huwa yanafuata saikolojia ya kujifunza ambapo unaanza na jambo dogo kuelekea kubwa.Hata uchawi nao twasikia vijana wadogo huanza kubebeshwa mikoba na tunguli za mababu zao na huko mbele huonjeshwa ladha ya baadhi ya nyama na hatimae kijana kujikuta ni mchawi kama babu yake.Hii CD mliyoletewa nyinyi siku hiyo hiyo inachinja watu halafu mswahili mmoja anawahimiza vijana wajiunge nao katika jihadi.Hiyo ni kampeni ya kipuuzi kabisa kwani hawajui kwamba kitendo cha kuuwa ni cha kukirihisha.Hata nyinyi mlizima cd hamkuweza kuendelea kuangalia sinema hiyo.
Unafanya Dawahganda...na haisaidii
Maana kufumba macho hakuzuii ngumi ya usoni
kusema hakuna Tatizo na hakuna waislam wanaojiunga ISiS ni kufumba macho tu.


Nikuulize swali:Kwamfano nikiingia kuvamia katika mji wa muislam nikaiba na kumuua mwenye mji..Je hapo nitakuwa nimempiga vita Allah na mtume wake au nimefanya uchafuzi katika nchi??

in respect to quran 5:33
"Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa. "

Hilo fungu litatumika kwangu au halihusiki?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi Kama Syria ama Iran hayo magari hayaruhusiwi kuuzwa hata kwa serikali.. ISIS wanatekaje gari hizi?
Hizo gari wanazipataje.Nani anayewapelekea. Zinapelekwa kwa meli au ndege za mizigo.Hata silaha nazo zinazowafikia wanaoitwa ISIS zinawafikia vipi?
 
Hizo gari wanazipataje.Nani anayewapelekea. Zinapelekwa kwa meli au ndege za mizigo.Hata silaha nazo zinazowafikia wanaoitwa ISIS zinawafikia vipi?
ISIS ni zao la wababe wa ulaya na Marekani..
 
Kwahiyo na yaliyofanywa kule Zanzibar, na Tarime wakati wa uchaguzi mkuu yalidhaminiwa na wazungu ?
Huo Ulikuwa uchaguz shekhe,kwingne watu wanafarik hata kukiwa hakuna uchaguz
 
Unafanya Dawahganda...na haisaidii
Maana kufumba macho hakuzuii ngumi ya usoni
kusema hakuna Tatizo na hakuna waislam wanaojiunga ISiS ni kufumba macho tu.


Nikuulize swali:Kwamfano nikiingia kuvamia katika mji wa muislam nikaiba na kumuua mwenye mji..Je hapo nitakuwa nimempiga vita Allah na mtume wake au nimefanya uchafuzi katika nchi??

in respect to quran 5:33
"Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa. "

Hilo fungu litatumika kwangu au halihusiki?




Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo huoni kuwa wewe ni mchokozi na hiyo ndiyo vita yenyewe ya kumpig vita Mungu kwani hapendi viumbe wake dini yoyote iwayo wafanyiwe hivyo ulivyofanya wewe.Yeye Mungu ameweka kila ishara hapa duniani kuwa uislamu ndiyo dini anayoikubali lakini anayefuata dini nyengine hajasema afanyiwe hivyo na huyo mkaidi anamsubiri huko akhera amuingize Jahanamu .
Tuseme huo uchokozi wako ukaufanya kwenye mpaka au mji wa Tanzania kwa vigezo vya uchokozi vilivyotimia ukishikwa na kuadhibiwa nani atakutetea na nani atailaumu Tanzania.Inakuwaje unafanya kuwa ni mada ukiingia mji wa kiislamu.
 
Hapo huoni kuwa wewe ni mchokozi na hiyo ndiyo vita yenyewe ya kumpig vita Mungu kwani hapendi viumbe wake dini yoyote iwayo wafanyiwe hivyo ulivyofanya wewe.
Ah-ah Slow down mufti

Kwahyo nikimchokoza kiumbe wa Allah nimempiga vita Allah na adhabu yangu ni kusulubiwa na kukatwa mikono na miguu?
Yeye Mungu ameweka kila ishara hapa duniani kuwa uislamu ndiyo dini anayoikubali lakini anayefuata dini nyengine hajasema afanyiwe hivyo na huyo mkaidi anamsubiri huko akhera amuingize Jahanamu .
Ah -Ah hapa ndo dawahgandist mnapokoroga..yani mnachanganya uongo na ukweli.
Haya: wapi huyo Mungu(Allah) amesema hayo mambo wafanyiwe waislam tu??
Yeye kasema (yeyote) kwa wale wanaompinga, adhabu yao ni kifo na kusulubiwa
Wewe Manjumbuli unasema lazima awe muislam Astaghfirullah!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja za msingi

(1) Wanaofanya hayo mauaji ni Waislamu au Wakiristo?
(2) Kwanini hao magaidi fake wanaungwa mkono sana na Ndugu zetu wengi wa upande wa pili? Kwa mfano Osama Bin Laden pamoja na kuongoza kundi feki la kigaidi bado aliungwa mkono tena sana tu na nduguze?!

(3) Kama ni kudanganywa kwanini Wakiristo wasidanganywe waanze kufanya mauaji?

Ukweli ni kuwa unaweza mdanganya mtu KIRAHISI kama ITIKADI yake inafanana kwa ukaribu na Uongo unaokusudia kumpatia!



Wanafanya mauaji hayo ya kinyama kwa furaha kubwa wakiamini kuwa wanatenda yaliyo Haki Mbele za Mungu Wao.

Wazungu hawahusiki kwa namna yeyote na ukatili huo uliopitiliza

Namshukuru Mungu Kuwa mfuasi wa Kristo
 
Back
Top Bottom