Viatu na Kivuli cha Magufuli kwa Tanzania ya Samia - Kuna cha Kuhofia?

Akili kama hizi hazitakaa ziisaidie Africa...mkiturudisha tena huko basi hata vizazi vyenu baadaye vitawahukumu kama kina mangungo wa msowero...History is a best teacher!
 
Ni kweli kabisa maana ulifaidika na utawala wake wa kidhalimu, kwa kuwa member wa lile kundi lake la watu wasiojulikana.
Watanzania wote walinufaika na wataendelea kunufaika pamoja na wewe, wazazi wako na mke na watoto wako ( kama unao lakini).
 
Watanzania wote walinufaika na wataendelea kunufaika pamoja na wewe, wazazi wako na mke na watoto wako ( kama unao lakini).

Kama sisi wote tulivyofaidika na miradi ya wakoloni.
 
"Ubabe wa kijinga"!!
Nani ni mjinga hapo!!??
Anayeagiza,anayeagizwa au anayetekeleza!!??
Kuna mmoja ni .jinga kupindukiaa!!
 
Kama sisi wote tulivyofaidika na miradi ya wakoloni.
Yeah! Lakini hatuwezi kuendelea kuitegemea hiyo kamwe na ndio maana JPM akaanzisha mambo mapya. Mfano SGR. Au wewe unaona bora tubaki na reli ya Mkoloni?
 
Reactions: Ame
Yeah! Lakini hatuwezi kuendelea kuitegemea hiyo kamwe na ndio maana JPM akaanzisha mambo mapya. Mfano SGR. Au wewe unaona bora tubaki na reli ya Mkoloni?

Ule ni wajibu wake wala haikuwa hisani maana sio mshahara wake. Naona alidhani kutekeleza miundombinu kadhaa ni ticket ya kutawala kwa mabavu, dhuluma na mauaji, huku akinajisi chaguzi za nchi. Kama miundombinu ni ticket ya kutawala wananchi utakavyo, mbona akina Mandela walimpinga Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini?
 
Mkuu sio kazi Sana ,ila mama kazi kutokana na Jiwe kuvuruga misingi ya utawala Bora inabidi mama aanze upya.
Yule jamaa alikua akilala akiamka anakuja na yake,hafuati katiba wa sheria Wala kanuni za uongozi.
Anajifanyia Mambo kivyake.
Kiufupi hakuwa na sifa ya kiongozi wala hata "mtawala".
Alikuwa "nyonya damu".
 
Eti tuongozwe kishirikina tena!!?
Hapana.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan,fanya vile ambavyo hekima,werevu,akili na busara zako zinavyokuongoza.
Ongoza Tanzania kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni, miongozo na taratibu tulizojiwekea.
Ongoza Tanzania kwa mujibu wa maono yako.
Ongoza Tanzania kwa mujibu wa ushauri "mwema" unaopewa toka kwa "wateule na wasaidizi" wako.
Ongoza Tanzania kwa mujibu wa muongozo unaopewa na Mungu Muumba.
 
Yani wanataka wote waendeleze uchawa kwa mwendazake na hata Samia akisifiwa wao wataka awe ka mwendazake huko ka si ku mu undermine madame president ni Nini, Mara waje na assumption baadae watu watamsema kwani kumsifia mtu mwanzo mzuri ni kosa.
I asee to me Mheshimiwa Samia ni far better than Mwendazake, na Raisi mzuri hapimwi kwa miundo mbinu inajumuishwa Mambo mengi. Mama kuongelea tu TRA kutumia nguvu na kupoka watu hela zao nimemwona ana maono, huwezi kukusanya na kufungia watu biashara kibabe bila negotiation hayo ni matumizi mabaya ya akili. So to me Mama kaanza vizuri tuache kumkatisha tamaa
 
Sielewi mtu anayeandika "aina" badala ya "haina" kama anapaswa kuwa humu jukwaani.
Jiwe atakumbukwa kama kiongozi "sadist" mwenye uthubutu wa kuangamiza wale wote wanaomkosoa na waliomzidi kiuweledi,kiakili, kiushawishi na kiuchumi.
Atakumbukwa kwa kuwa kiongozi aliyekuwa na wivu na sisi matajiri kwa uongo wa kuwapigania tabaka la chini kwa kutupora sisi matajiri huku akijineemesha yeye na genge lake.
 
Ni binadamu sukule (taahira/aliyetolewa ubongo) anayeweza jiita yeye ni "mtawaliwa".
Dunia ya sasa inahitani viongozi na waongozwaji/wananchi, na si mtawala na watawaliwa.
 
The man is dead. You guys have to learn to live with it!

Hakuna kivuli chochote 'cause the man is now lying 6M deep in the soil while his cronies (Kakoko, Bashiru - to mention just a couple) are being chucked out one after the other!

Mama SSH is a breath of fresh air to Tanzanians.... albeit the lesser of the devils crowd.

Exit brawn, enter brain!
 
The buck stops with you madam President.

You are the dealer for the reminder of the term(and possibly beyond) and obviously you can’t pass it over to anyone else leastways the dead.

My congrats and symphasies but be very selective of the tunes you listen and dance to.
 
Never! Yani ikifikia point naanza kumkumbuka Jiwe SIJUI!
Nitakufuatilia, miaka 10 nitakuja kuona kama bado una haya mawazo...

Lakini uzuri ni kuwa amekufa akiwa hajageuza kauli yake huo ni ushindi ambao Mungu mwenyewe kampa...Naye mtoa hukumu ya haki atatupa muda wa kupima mawazo na matamanio yetu...Yeye kafa hivyo kaumbika sisi je? Time is a good healer, naomba Mungu tusijekusutwa makaburini na vizazi vyetu...
 
Ni binadamu sukule (taahira/aliyetolewa ubongo) anayeweza jiita yeye ni "mtawaliwa".
Dunia ya sasa inahitani viongozi na waongozwaji/wananchi, na si mtawala na watawaliwa.
Umeongea vizuri sana, lakini hiyo ni nadharia kwa Tanzania yetu ya leo. Hali tunayo itaka haijafika kwetu. Tunachokipata ama huwa hatukitaki na ikitokea tumekipata huchukua muda sana kutokea na huwa sio sahihi sana. Decision are always made without our input. Where necessary the decision has to be made informed by our input, the deciders select what? When? Where to implement it.
 
Ndio maana watumishi wanapuuzwa na hakuna anayewajali kwasababu ya ubinafsi wao.
Most are selfish and with high time preferences...Hawataki kuwekeza wanataka kula mbegu badala ya kuipanda izae...Kiuhalisia watumishi wengi output yao ni ndogo compared na salaries....Wamekosa ubunifu na wana dublicate activities ili tu waonekana wanajishughulisha hata kama hiyo shughuli haiongezi tija kwa taifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…