Waache bana usiwastue bana, wanadai wao wanaweza kupambana na majirani kwenye professionalism! Wabongo hawa hawa ambao wanaenda lunch saa 7 na kurudi ofisini saa 9 huku wengine wakibebishana na kusinidikizana kwa story.Wenye nguvu ya fedha washafanya Yao tena,
Ndiyo tunajua, kila kitu lazima kiende Kwa utaratibu, Labda niulize Kwa Mleta uzi, Je Hilo gari linalotangaza halisemi mbadala wa hao wenye vibanda wanapaswa wapelekwe wapi?
Kama ndivyo, tayari hili ni kosa lingine kubwa baada ya lile la Kwanza la makampuni ya kigeni yanayokuja kuwekeza nchini hayatakiwi kuwekewa limiti ya wafanyakazi wanaotakiwa kuja nao kutoka makwao ili kufanya kazi kwenye kampuni hizo za kigeni!!
Hilo ndilo kosa kubwa kuliko mengine yote ambayo yameendelea kuwepo Wakati huu,
Watanzania mtegemee kukosa ajira kwenye makampuni yote ya kigeni na hata ysliyowekeza tayari mtaanza kutimuliwa mdogomdogo na wageni kuletwa kufanya kazi hizo
Yetu macho
Mnaoishi keko mjiandae😂😂😂 tunaanza upyaaaaaah!!!safi sana, usafi muhimu
Kuna wanangu wako Mlimani City pale dah!Yajayo yanafurahisha
"Hamtanikumbuka kwa kwa mabaya bali kwa mazuri" JPM
Machinga wataweka wapi sura zao jamani
Haya ni mawazo ya kijinga kuanza kufikiria kwamba watahamia wapi...Huwa hakuna bargaining na mtu anayevunja sheria...Hao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Yah ngoja tuone tofauti sasa ya kukumbatia matajiri 600 au maskini 6,000,000 effect yake kiuchumi na kimaisha kwa ujumla 😂😂😂 mimi sitii neno maana katika uwiano tu wale 600 waliweza kuishi hata baada ya hawa 6,000,000 kupewa support! Ila je hawa 6,000,000 watatoboa kweli! Ndio kwanza kumekucha back to square 1Lakini yalipeleka ugali kwenye nyumba za masikini wengi sana nchini
Uzuri mmepewa muda nina hakika tarehe 19 hamtakuta hivo vibanda maana umeme utazimwa pote afu hamvikuti, Asubuhi polisi kila mahaliSisi tumelipia na kitambulisho cha machinga sasa mtuguse tunuke[emoji205]
wanaingiza kipato cha kula na familia zao na kusogeza siku, Maisha magumu sana ila itabidi wkubaliane na hali halisi
Hayana ujinga wowote hayo mawazo! Ubinafsi kama huu ndio haufai sababu hao walioweka vibanda wakija kuiba taa za gari nyumbani kwako hutalifurahia mzee!Haya ni mawazo ya kijinga kuanza kufikiria kwamba watahamia wapi...Huwa hakuna bargaining na mtu anayevunja sheria...
Hao watu waliojenga mabanda, ukitazama wengi wamejenga juu ya hifadhi ya barabara ambapo ingelikuwa umejenga nyumba ingebomolewa haraka mno
Kuna maeneo mtu anayetoka pembeni kuingia barabara kuu anapata shida kuona magari kwa sababu mabanda yamezuia kabisa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yalikuwa magumu ila kulikuwa na wepesi baada ya kupata biashara mjini!Kabla ya hapo walikuwa wapi, Je maisha hayakuwa magumu?
Yah ngoja tuone tofauti sasa ya kukumbatia matajiri 600 au maskini 6,000,000 effect yake kiuchumi na kimaisha kwa ujumla [emoji23][emoji23][emoji23] mimi sitii neno maana katika uwiano tu wale 600 waliweza kuishi hata baada ya hawa 6,000,000 kupewa support! Ila je hawa 6,000,000 watatoboa kweli! Ndio kwanza kumekucha back to square 1
Barabara si zipo tunaziona kule KimaraKufuata sheria ni kuwachukia maskini. Umaskini wako ni wako na sio kigezo cha kuvunja sheria. Kimara watu hawakuvunjiwa nyumba ili nyie mjenge mabanda. Sheria ifuatwe hakuna kulia lua hapa.
Kutesa kwa zamuEnzi za mwendazake walitamba[emoji14]
Barabara si zipo tunaziona kule Kimara
hahahahaha, matairi na petrol tunazoMnaoishi keko mjiandae😂😂😂 tunaanza upyaaaaaah!!!
Mwalimu alianzisha Gezaulole, Kibugumo, Tegeta n.k. Watu waliona kama wanaonewa wakati huo, lakini waliokubali kwenda huko leo je? Walijipatia maeneo burebure leo wanayauza kwa bei mbaya!! Serikali ianzishe Gezaulole mpya machinga wapelekwe huko. Maisha ya mjini hawayawezi!Zamu ya wanyonge kuishi kishetani
Masoko yapo kila wilaya na tarafa huwa hawataki kwendaWenye nguvu ya fedha washafanya Yao tena,
Ndiyo tunajua, kila kitu lazima kiende Kwa utaratibu, Labda niulize Kwa Mleta uzi, Je Hilo gari linalotangaza halisemi mbadala wa hao wenye vibanda wanapaswa wapelekwe wapi?
Kama ndivyo, tayari hili ni kosa lingine kubwa baada ya lile la Kwanza la makampuni ya kigeni yanayokuja kuwekeza nchini hayatakiwi kuwekewa limiti ya wafanyakazi wanaotakiwa kuja nao kutoka makwao ili kufanya kazi kwenye kampuni hizo za kigeni!!
Hilo ndilo kosa kubwa kuliko mengine yote ambayo yameendelea kuwepo Wakati huu,
Watanzania mtegemee kukosa ajira kwenye makampuni yote ya kigeni na hata ysliyowekeza tayari mtaanza kutimuliwa mdogomdogo na wageni kuletwa kufanya kazi hizo
Yetu macho