Nilishalipa 2,000tsh kisa nilikanyaga machenza... Walitandika barabara nzima,hakuna sehemu ya kuweka mguu,ikabidi niruke juu ya matunda..ikawa kosa. Wale jamaa wana umoja,acha tu kuanzia bodaboda wao....ikabidi ninunue machenza bila kupenda....hata sikubeba..nikalipa,nikaendelea...
Waondoke,wapelekwe sehemu husika....iwe endelevu. Paul Makonda angeweza hiyo kazi,ila huyu RC kunenge...sijui
Waondoke,wapelekwe sehemu husika....iwe endelevu. Paul Makonda angeweza hiyo kazi,ila huyu RC kunenge...sijui