witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Within two months[emoji848]Zamu ya wanyonge kuishi kishetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Within two months[emoji848]Zamu ya wanyonge kuishi kishetani
Mambo yatakaa sawa tuwe wavumilivu!Within two months[emoji848]
Kuna jambo nimejufunza kwamba maisha ni leo sio kesho ukiipata nafasi itumie ya kesho uyajui.Leo veronica france kabaki analia lia uchawa umekosa dili.Within two months[emoji848]
Imagine...kila siku itumie ipasavyoKuna jambo nimejufunza kwamba maisha ni leo sio kesho ukiipata nafasi itumie ya kesho uyajui.Leo veronica france kabaki analia lia uchawa umekosa dili.
Wengi wataumia na kulalamika lakini inabidi iwe hivyo ili nchi inyooke tuache tabia za ki barbarian.
Wamachinga rudini Machinga Complex.
Tujifunze ustaarabu sio kila mahali unafanya biashara.
Kandokando ya barabara unamaanisha nini?
Ni makazi holela kama ilivyokuwa waluovunjiwa mbeziGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Bomu la "wanyonge" tuliloachiwa na...Mtu umepaki gari umelipia parking ukirudi huwezi kutoka mtu kashapanga vitu mpaka kwenye bonet ya gari
karibu mikoa yote Arusha je? utalia
Busara ipi !.BUSARA ITUMIKE
CCM haiwezi kuboresha maisha ya Mtanzania labda kwasababu Covid19 imekula Vigogo wengi wabishi huenda Mambo yakabadilika kidogoHapo sasa ccm na maisha ya watanzania yataboreka sana.
Tutamkumbuka kwa mazuri tu na sio kwa mabaya kwasababu aliamua ku sacrifice maisha yakke kwa ajili yetu kama alivyofanya Yesu Kristo pale Msalabani!Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Watakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
“msomi yeyote” Mwambie ajitafakari sana.Hawa wenye vibanda barabarani walidharau wafanyakazi wa serikalini
Kuna mmoja ana banda lake city center huwa naenda kula mahindi ya kuchoma kila jioni ananitambiaga huyo eti " kila siku mi nalaza elfu sitini, sasa msomi yeyote anaweza shindana na mimi kweli?" Kumbe ni dongo kwangu mwanzo sikuelewa
Sasa ndo atajua hajui[emoji848]
Mji Hauna hadhi...hata vijijini kuna UTARATIBU.Wazo zuri Jiji lazima lipangike liwe safi Biashara zitengewe maeneo Maalumu sio kila sehemu ni vibanda Angalia Posta Mpaka wachina Mahindi na viazi utadhani Mbagala Ofisi za Serikali Wamejaa Mama lishe shoe shines uchafu mtu
Duh leo nimeenda kariakoo nimestaajabu kuona vibanda vya machinga katikati ya barabara. Yaani gari haziwezi pita wenye maduka na mashine za risiti za tra wanashindana na machinga wasiyolipa kodi ya majengo na wengi hawana wala kibali cha machinga.Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Tutamkumbuka kwa mazuri tu na sio kwa mabaya kwasababu aliamua ku sacrifice maisha yakke kwa ajili yetu kama alivyofanya Yesu Kristo pale Msalabani!