Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Tatizo ni miundo mbinu ya pale! Aliekwambia machinga wanatakiwa wajengewe ghorofa nani?Ipo Machinga Complex, Ilala.
Ilijengwa na Kikwete, hadi leo haijajaa.
Unawaelewa Machinga wewe?
Nani anataka tabu ya kupanda floor ya 5 kununua nguo ya mtumba wakati karume anapata nguo chini tu! Ina maana watakaofaidika zaidi pale complex ni walioko floor za chini zile na floor ya kwanza labda! Kuanzia floor ya pili na kuendelea ni kupiga mihayo tu huuzi!
Soko lijengwe la chini ili kila mtu awe na access na wateja! Kama ilivyo Boma au Pale Mawasiliano hapo watu watakaa! Sio kujenga ligorofa watanzania hatuna utamaduni wa kununulia bidhaa magorofani!
Kariakoo pale magorofa yamejaa ila wanaouza ni ground floor na floor ya kwanza sababu watu ndio watu wana access napo zaidi! Wanaouza floor ya pili wachache sana!