Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

Nimebahatika kutembelea viwanda na stoo kadhaa hapa dar kutokana na shughuli zangu za cctv camera ,networking, biometrics na computer issues , nikili wazi watu wanastruggle kwa ujila mdogo sana mtu analipwa 3000 unajiuliza anaibudget vipi asee hawa matajiri wa kihindi hawafai wanendelea kutengeneza taifa lenye maskini wengi na wakutupwa asee.
 
Emu elezea hii kidogo mkuu kuna kijana yupo pale daah anarudi amechoka balaa,
Ni mwendo wa kurusha creti za soda na kuzidaka usiku kucha na day shift Sana mbili asubuhi mpaka saa mbili usiku , shift za masaa kumi na mbili ,unaziweza ? ,Uliza malipo sasa ,utalia.
Unakuta bonge la lorry semi trela mbili limejaa creti za chupa za soda au bia zinapakuliwa na watu wawili ,mama£ kama mtoto wa mama lazima unye
 
Ni sahihi kabisa yaani pale nyakato ni kama jehanamu.[emoji706]
 
[emoji1787][emoji1787]
Ni shida
 
Wanalipa elfu nne hadi tatu then Kazi ni kubeba viroba vya ngano kilo 50 na 25 Kuanzia asubuhi Hadi jioni na pia night shift hipo it about fucking job huyo Bakhressa Ni mpuuzi mmoja. Including Mo dewij and so called matajiri uchwara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuuuh maskiniiii, hatareeee sanaaa.
 

Hao wasaidizi wa kazi za ndani ,hiyo elfu 50 inawatosha kabisa.

Kumbuka wanakula bure, wanalala bure,hawalipii umeme wala maji, wakiumwa maradhi ya kawaida matibabu wanagharamiwa na mabosi zao nk.
 
C
Chai imezidi sukari.
 
Archana na bakhresa,huku pwani kuna kiwanda cha sabuni kinaitwa ked's kinazalishasabuni za doffi na kleesoft vibarua wanalipwa na wakala aliyeingia ubia na kampuni hii ....sasa utakuta wakala analipwa sh 12,000 kwa Kila kibarua Ila yeye analipa sh 8000 kwa Kila kibarua ...
Wanateswa Sana vijana...huyo wakala anaitwa EVAH MANPOWER SUPPLIES..kiongozi wao anaitwa kipara...
 
Kipara si ndo alikua kipindi flani kama mkalimani wa wachina?
 
Jamaa yangu mmoja aliambiwa atoe 50k apate kazi mpaka leo hajapata ameamua kusamehe. Kuna rushwa sana Keds na ukiritimba wa hali ya juu.
2017 nilihangaika sana kuomba kazi pale lakini wapi mpaka nikakata tamaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…