Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Daah Mkuu Umekosea kuniquote aisee 😁😁Hivi wewe yale maelekezo niliyokupa na kumpanga Mtu akupe ajira ya sh 220,000 kwa mwezi cash,
Ukasema utaenda, mpaka leo hujaenda maana yake ni nini? Nyie ndo mnafanha watu wasisaidie watu.
Sasa ulikuja huku kulalamika nini? Nime ku pm, nimekupa maelekezo, mpaka leo namuuliza HR wa ile office hujafika, maana yake nini?
Funguka mdau nae apate madini ya uwinga! Mbona km unajistukiaKhaa.. mzee maswali yako yanatia uvivu kujibu
Niunge Mimi huko mkuuHivi wewe yale maelekezo niliyokupa na kumpanga Mtu akupe ajira ya sh 220,000 kwa mwezi cash,
Ukasema utaenda, mpaka leo hujaenda maana yake ni nini? Nyie ndo mnafanha watu wasisaidie watu.
Sasa ulikuja huku kulalamika nini? Nime ku pm, nimekupa maelekezo, mpaka leo namuuliza HR wa ile office hujafika, maana yake nini?
Jamaa wanatuumiza kwa shekeli kidogo.Huo anaetakiwa asimamie hayo masuala unakuta yupo kwenye payroll ya hao wahindi koko wanamlipa hela ndefu ili akalie kimya haki za wafanyakazi wao.
Mwafrika bado hawezi kujiongoza na kujitawala.Jamaa wanatuumiza kwa shekeli kidogo.
Kwa kweli kuna wenzetu mnateseka sana, sasa ujira wa elfu 4 per day mbona ni mdogo sana jamani? Hawa matajiri hawana huruma kabisa. Bora hata ingekua 10k kwa siku.
Pole Sana ndugu yangu, hata Mimi niliwahi kaa siku 3 bila kula
Itoshe kusema tu kwamba kupitia huu uzi nimejifunza kwamba nisiidharau kazi yangu ya Bodaboda maana nina degree yangu hapa inanifanya niidharau hii kazi ya Boda naona kama sistahili kuifanya kumbe kuna watu wanapigika kinoma tena kwa malipo madogo sana kwa siku nzima wakati mie kwenye boda naweza pata mara Tano ya wao [emoji119]
Maisha yamenifundisha kuwa ukitaka kuijua thamani ya neema yoyote uliyojaaliwa na M/Mungu basi jilinganishe na walio chini yako usijilinganishe na walio juu yako.
Mtu yeyote bila kujali elimu , umri, na hali yake ya maisha anayekubali kutumikishwa hivyo kwa ujira wa elfu 4 basi hana akili kabisa.
Unyonyaji hatari kwani sheria za kazi zinasemaje wadau au zinaenda na aina ya kazi?Hakuna kazi pale. Pale mnalipwa buku 4. Na ukila chakula buku maji jero inabaki 2500/= toa nauli 1000. Inabaki 1500 ndio unaiacha kwako
Hapo tena msalaKipawa ipo wapi mkuu
Casual labour sheria haziwafikiii. Wale kila siku terminated, na siku ya pili registeredUnyonyaji hatari kwani sheria za kazi zinasemaje wadau au zinaenda na aina ya kazi?
Bila kula chochote broSiku tatu bila kula chochote,au bila kula kitu cha maana!???
msaada mkuu niunge pia nahitaji kaziNjoo nikuunge kazi ya kufanya
Naamini bado Kuna level Fulani ya maisha hajaipitia. Atatamani apate hata 2000 ya sahani ya chakula na hatopata.Wanaume huwa hatuongei maneno hayo mkuu,kuna watu wana hali ngumu kaka usije kudhani tunafanana.Weka akiba ya maneno
Vijana mpo siriasi kweli yaani unafanya Kazi masaa 12 then unalipwa sijui elf 6.
Huu mda vipi ukiutumia kufanya shughuli zako binafsi.
Mfano
1.Kuuza matunda
2.Kutembeza umachinga
3.Kuuza vitafunio
4.Kuuza mboga mboga
5.Kusomba maji
6.Kukusanya taka
Si ndo hapo sasa ushangae nchi yetu hii🤨Sasa mbona Magufuli alivyokuwa ana washughlikia mlikuwa mna watetea?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]viroba 100 kwa buku[emoji780][emoji780][emoji780][emoji780]duuu na kaz naacha bora ukabebe matenga ya nyanya ilala sokoni na mizigo kule ujipatie hat 40k kwa sikuKaka [emoji38]. Mm simshaurii Kwa kazi ya palee. Kiroba cha ngano kimoja kinabwebwa Kwa shing 15 au 10. Ukibeba 100 unapata 1500 au 1000 yani.