Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

Hivi wewe yale maelekezo niliyokupa na kumpanga Mtu akupe ajira ya sh 220,000 kwa mwezi cash,

Ukasema utaenda, mpaka leo hujaenda maana yake ni nini? Nyie ndo mnafanha watu wasisaidie watu.

Sasa ulikuja huku kulalamika nini? Nime ku pm, nimekupa maelekezo, mpaka leo namuuliza HR wa ile office hujafika, maana yake nini?
Daah Mkuu Umekosea kuniquote aisee 😁😁
 
Hivi wewe yale maelekezo niliyokupa na kumpanga Mtu akupe ajira ya sh 220,000 kwa mwezi cash,

Ukasema utaenda, mpaka leo hujaenda maana yake ni nini? Nyie ndo mnafanha watu wasisaidie watu.

Sasa ulikuja huku kulalamika nini? Nime ku pm, nimekupa maelekezo, mpaka leo namuuliza HR wa ile office hujafika, maana yake nini?
Niunge Mimi huko mkuu
 
Jamaa wanatuumiza kwa shekeli kidogo.
Mwafrika bado hawezi kujiongoza na kujitawala.
Slave trade Wafrika waliuza wenzao kwenda utumwani wakipewa vizawadi na vipesa vya hapa na pale.

Sasa hadi hii leo hawa bweha wako wanauza wenzao wanafanyishwa kazi ngumu sana masaa mengi ujira mdogo sababu hao mbweha wanapewa rushwa yaleyale ya enzi za biashara ya utumwa.

Africa!.
 
Kwa kweli kuna wenzetu mnateseka sana, sasa ujira wa elfu 4 per day mbona ni mdogo sana jamani? Hawa matajiri hawana huruma kabisa. Bora hata ingekua 10k kwa siku.

Kaka hii dunia haiko kama unavyoiona,matajiri wanazidi kuwa matajiri kwa jasho la masikini.
 
Itoshe kusema tu kwamba kupitia huu uzi nimejifunza kwamba nisiidharau kazi yangu ya Bodaboda maana nina degree yangu hapa inanifanya niidharau hii kazi ya Boda naona kama sistahili kuifanya kumbe kuna watu wanapigika kinoma tena kwa malipo madogo sana kwa siku nzima wakati mie kwenye boda naweza pata mara Tano ya wao [emoji119]

Maisha yamenifundisha kuwa ukitaka kuijua thamani ya neema yoyote uliyojaaliwa na M/Mungu basi jilinganishe na walio chini yako usijilinganishe na walio juu yako.

Hiyo paragraph ya mwisho umeongea point sana mkuu!!![emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]
 
Kwani kukusanya taka kiongozi unafuata taratibu zipi?
Vijana mpo siriasi kweli yaani unafanya Kazi masaa 12 then unalipwa sijui elf 6.
Huu mda vipi ukiutumia kufanya shughuli zako binafsi.
Mfano
1.Kuuza matunda
2.Kutembeza umachinga
3.Kuuza vitafunio
4.Kuuza mboga mboga
5.Kusomba maji
6.Kukusanya taka
 
Kaka [emoji38]. Mm simshaurii Kwa kazi ya palee. Kiroba cha ngano kimoja kinabwebwa Kwa shing 15 au 10. Ukibeba 100 unapata 1500 au 1000 yani.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]viroba 100 kwa buku[emoji780][emoji780][emoji780][emoji780]duuu na kaz naacha bora ukabebe matenga ya nyanya ilala sokoni na mizigo kule ujipatie hat 40k kwa siku
 
Back
Top Bottom