Me naona mnawalaum matajir bure, matajir wanalipa vzr t. Mnawatukana bakhrrs na Mo wkt hela zinapita njia ndef mpk zinawafikia nyiny, au wkt mwingin unakuta hela mnazolipw hata hazimo ktk mfuko wa tajir ni mzunguko mdg wa huku huku chini. Acheni kutukan matajir. Hela akipew msimamiz wako anakata pande lake kidg kimachobak nd anakupa wwKwa kweli kuna wenzetu mnateseka sana, sasa ujira wa elfu 4 per day mbona ni mdogo sana jamani? Hawa matajiri hawana huruma kabisa. Bora hata ingekua 10k kwa siku.