witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mmmmh mnaitaina eeh[emoji848][emoji848]Bro
Bro imeongea la maana naomba nikucheck
Hii jf bana kaa kwa kutulia
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh mnaitaina eeh[emoji848][emoji848]Bro
Bro imeongea la maana naomba nikucheck
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi we jamaa umepotelea wapi, huwaga una utopoloo mwingi sanaM
Mungu asaidie dunia kwakweli.
Una miaka 17[emoji849] au ni typing error?Mimi ni kijana wa miaka 17 nikiwa na Elimu ya chuo kikuu shahada ya uhandisi wa mitandao na mitambo! Naomba kutumika Kama msaidizi Kwa kutumwa kazi mbalimbali maana najua watu wengi wako bize na Mambo ya kiofisi hata kushindwa kupata muda wa kufanya au kusimamia vitu vingne. Nipo tayari kutumwa popote Kwa mskubaliano maalumu ya malipo.
Nina ujuzi wa udereva pia na leseni na uzoefu wa kuendesha magari Kwa zaidi ya miaka 5 hapa Dar es salaam!
Nitume popote pia nafanya typing Kwa haraka na ishu zoote za stationary hivyo Kwa mahitaji hayo tuwasiliane Kwa namba 0776662470
Atakuwa ameruka vidato hatari, au ndio ile elimu ya Shigongo