Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

Mimi ni kijana wa miaka 17 nikiwa na Elimu ya chuo kikuu shahada ya uhandisi wa mitandao na mitambo! Naomba kutumika Kama msaidizi Kwa kutumwa kazi mbalimbali maana najua watu wengi wako bize na Mambo ya kiofisi hata kushindwa kupata muda wa kufanya au kusimamia vitu vingne. Nipo tayari kutumwa popote Kwa mskubaliano maalumu ya malipo.
Nina ujuzi wa udereva pia na leseni na uzoefu wa kuendesha magari Kwa zaidi ya miaka 5 hapa Dar es salaam!
Nitume popote pia nafanya typing Kwa haraka na ishu zoote za stationary hivyo Kwa mahitaji hayo tuwasiliane Kwa namba 0776662470
Una miaka 17[emoji849] au ni typing error?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom