Wakuu heshima kwenu..
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni wabongo wenzetu..Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this?..wanakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?...au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Wengi wao ni religious fanatics hususani new born again Christians, wakati wa Israel wana upinga ukuristo.Wakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? Kanakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel? Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..Wengi wao ni religious fanatics hususana new born again Christians..........wakati wa Usrael wana pinga ukuristu!!!! Africa is a continent of confused fellows
Hao wa nabii wapya ndo wana potosha vijana wenye elimu duni na msongo wa mawanzo, eti nchi ya ahadi ni Israel wakati israel hiyo imeundwa 1948.Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..
Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..
Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Nothing but mental slaveryWakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? Kanakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel? Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
That's a problem.Hao wa nabii wapya ndo wana potosha vijana wenye elimu duni na msongo wa mawanzo, eti nchi ya ahadi ni Israel......wakati israel hiyo imeundwa 1948.
Mambo ya imani mkuu,Wakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? Kanakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel? Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?