Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I doubt !Mkuu mimi sio mla tende..
Kidding.
Hii inaonyesha ww ni mvaa kibaraghashia!That's a problem..
Israel hii yenye ufirauni wa hatari wakristo sisi tunaliona ni Taifa teule na nyumbani kwa wakristo wote..
Kwani biblia imesema waosrael ni wakristo?Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..
Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..
Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Hai-make sense kabisa..yaani watu baadala ya kuonyesha uzalendo kwa kutumia bendera za nchi zao na asili za mababu zao wako busy kutukuza mataifa mengine, purely brainwashed Africans..
Huu mimi naona ni ushamba, ulimbukeni na ujuha....Mtanzania mzaramo/mnyaki /msukuma/ Mchaga eti analitukuza Taifa la Israeli baadala ya kuitukuza na kuipenda nchi yake Tanzania..
Nyie mnaanza kuchanganya na kuaanza kupalalia ndini nyingine mleta uzi ajagusa dini nyingine kaleta mada ambao sio ya kidini, uislamu jnaingia je hapaJiulize pia waislamu wanaovaa Hijabu na Kanzu wakidhani ni dini kumbe utamaduni wa Mwarabu.
Israel Taifa teule...
Pale kwao wapo Milion Nane ila wamezungukwa na Waarabu zaidi ya Million 200 ila hakuna Mwarabu anae wasogelea[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mada ni ya kidini.Nyie mnaanza kuchanganya na kuaanza kupalalia ndini nyingine mleta uzi ajagusa dini nyingine kaleta mada ambao sio ya kidini, uislamu jnaingia je hapa
HahahahahahahWengi wao ni religious fanatics hususana new born again Christians..........wakati wa Usrael wana pinga ukuristu!!!! Africa is a continent of confused fellows
Ndo maana kumbe unauliza maswali ya kipath finder aka ya akina junior.Ndio ni swali..
Mimi ni RC
Yeah. Umesema vema, wanapinga ukiristu na si ukristo. Kuna tofauti kati ya ukiristu na ukristo.Wengi wao ni religious fanatics hususana new born again Christians..........wakati wa Usrael wana pinga ukuristu!!!! Africa is a continent of confused fellows
Hivi Ukristo na Uyahudi ni dini moja?Yaani kabisa hili ni swali?
Wewe ni dhehebu gani?
Tuanzie hapo
Acha kupotosha ndugu, hujui kama kuna Waarabu wanaoishi Israel na hadi kwenye Knesset wapo.hakuna Mwarabu anae wasogelea
Ni kweli wapo Wayahudi wanaoupinga ukristo lakini hata na Hilo tunalijua kabisa ...Wengi wao ni religious fanatics hususana new born again Christians..........wakati wa Usrael wana pinga ukuristu!!!! Africa is a continent of confused fellows