Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Suala la Waisrael kukana Ujio wa Yesu Kristo miaka zaidi ya 2000 iliyopita iliandikwa wazi kabisa kwenye Biblia na kwa wakati wa hukumu wao watajikomboa kwa nafsi zao wakati wa mateso ya Mpinga Kristo.

Wengi wanawaona Wakristo wa swhwmu zingine duniani kuwa wajinga kisa tu Waisrael wengi hawamwamini Yesu na badala yake wanawaamini Manabii wa kale yaani Ibrahim, Isaiyah, Mosses, Jeremiah n.k

Lakini hakika watakuja kumkiri wakati wa mwisho wa hukumu

Biblia imeelezea vizuri ila inahitaji muda kuelezea hayo maandiko.
Umeeleza kwa usahihi kabisa na kuonesha ni mwanafunzi mzuri wa Biblia
 
Mkuu Yesu alisema hayo maneno kwa Sababu aliogopa Kifo
katika Mathayo 26:39
[39]Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Ila ujue Yesu aliletwa Duniani Ili Ateswe na Afe ili Damu yake ikimwagika sisi tukombolewe...Jwa Maana nyingine Ni Kwamba Bila Damu ya Yesu Kusingekuwa Na Agano Jipya....

Kwa Hiyo ilibidi Wayahudi wamchukie na Wamtese Ili Ammwage Damu ili Sisi Tukombolewe...

Ndyo maana Mtume Paulo anasema "Kama Yesu Hakufufuka Katika Wafu Basi Imani Yetu Ni Bure"
Naam!
 
Ziko baraka za kuliombea Taifa la Israel maana ni taifa teule la Mungu. na sio kwenye magari tu mimi ninayo ndani.
 
Ni Imani ya watu tu. Mbona watu wanaweka bendera ya CCM kwenye magari yao. It's personal choice. Ni Kama mtu anachagua kutumia godoro Fulani.
 
Wakuu heshima kwenu.

Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.

Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.

Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?

Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Pia naona jezi za Man U, Arsenal, PSG, Liverpool, Chelsea n.k zimevaliwa na wabongo pamoja na sticker za hizi timu kwenye vyombo vya usafiri nayo pia sijui ni wazungu weusi wanaoishi Bongo?
 
Waisrael wa zama hizi sio sawa na wa zama zile.

Leo hii kuna Druze & Arabs ndani ya Israel
 
Wengine wanaweka tu kama pambo, wengine ni wafia dini kama gwajima na wengine wanachukulia ile hali ya kuonyesha kuwa na nguvu
 
Back
Top Bottom