Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Mungu tunayemwabudu sisi ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo (Israel), yaani Mungu wa Israel. hatuabudu alah wala isa bin mariam. tunamtambua Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo kwa njia ya Yesu Kristo (ambaye sio isa bin mariam ambaye wengine humsema). huyu Mungu aliingia agano na Ibrahim, na Mungu akiingia agano huwa hatengui, kipengele mojawapo cha agano ni kwamba watakaombariki yeye na uzao wake, Mungu pia atawabariki, watakaomlaani Mungu pia atawalaani. Uzao unaotambulika na Mungu kuwa ni uzao wa urithi unaokuwa refered hapa ni Uzao wa Isaka baba yake Yakobo (Yakobo alikuja kubadilishwa jina akaitwa Israel). Ishmael sio uzao wa ahadi wala wa urithi na hana baraka yeyote ya kimungu...nje ya ile moja tu aliyobarikiwa na ibrahim kuwa atakuwa na uzao mwingi/atazaa sasa na ndio hao waarabu.Wakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Huwezi pangia watu waishi unavyotaka na mambo ya Imani huyajuiHao wa nabii wapya ndo wana potosha vijana wenye elimu duni na msongo wa mawanzo, eti nchi ya ahadi ni Israel wakati israel hiyo imeundwa 1948.
Kwanini usisapoti Simba Sports Club na Bendera Taifa?kwahiyo ukiona vibendera hivyo jua kuwa tunausapoti uzao wa urithi ndani ya Ibrahim
simba na taifa hawana ahadi ya Mungu (kwa maana ya covenant). kumheshimu Mungu au kufuata kile unachoamini juu yake ni muhimu kuliko hata taifa lao mzee.Kwanini usisapoti Simba Sports Club na Bendera Taifa?
Nauliza tu.
Tuache ujinga wakati mwingine!Israel ni jamii ya watu weusi!hao unao wasema ni damu za waturuki, German, English, russia etc!!jamii ya watu weusi ndio waisrael!!sio hao!!Israel Taifa teule...
Pale kwao wapo Milion Nane ila wamezungukwa na Waarabu zaidi ya Million 200 ila hakuna Mwarabu anae wasogelea[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Judeo Christianity,Wakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Sio Waarabu wote ni Ahlulbayt pekee hawa Warabu waleo Wafi*ji wakubwa hawana lolote.Kwa muislam uarab ni superior race,
Mbona wewe Umeweka Profile Picture yenye Bendera ya Jamaica??..Vile vibendera ni ujinga tu
People mistake ukristu na Israel
Ibrahim hakua Muisrael ni MUARABU wa Iraq..... Na Yakobo mnayemuita Israel wake zake wawili ambao alizaa naye watoto zaidi ni Kutoka Syria.
Judeo Christianity,
Wakristo tunaamini(sio wote)kwamba Israel ni Taifa la Mungu,
Hata kama wanafanya mabaya lakini kwa wakristo,Israel ni Taifa pekee sana,ni Swala la imani,hata tukitaka kuwapa majina watoto tunaangalia majina ya kiyahudi.
Hata kwa waislam Dunia nzima,hujinasibisha na uarabu,Kwa muislam uarab ni superior race,unakuta mtu mweusi kama mie,mmakonde baada ya kuitwa gwakisa,kwa vile tu ni muislama anaona Bora achukue jina lenye Hadhi ya Kiarabu tu,
Ukienda Zenj,vijana wengi weusi hujaribu kujifananisha na waarabu kwa utamaduni,staili za nywele nk.
Ni mitazamo tu.
Israel sio wakristo bali ni wa jewish, na wanaukata/ wanapinga ukristo, ni ushamba wa kiimani tu au kutojua ndio maana wanaweka hivyo vibendera.Wengi wao ni religious fanatics hususani new born again Christians, wakati wa Israel wana upinga ukuristo.
Africa is a continent of confused fellows
Utakua either ni blind au ni idiotMbona wewe Umeweka Profile Picture yenye Bendera ya Jamaica??..
Alafu unawadharau wanaovaa za Israel
Ama kweli nyani haoni .........
Wengi ni pambo tu kama wanavyovaa kacha za kinaijeria,kenya etc