Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Wengi huwa ni Wakristo, na huamini kupeperusha bendera ya Israel ni sawa na kuonesha wanakubaliana na Mungu wa Ibrahimu/Isaka na Yakobo(Isreal)...
Wanajiona wao ni duni na kuwalamba miguu wa israel huu ni zaidi ya utumwa wa fikra