Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Umeeleza kwa usahihi kabisa na kuonesha ni mwanafunzi mzuri wa BibliaSuala la Waisrael kukana Ujio wa Yesu Kristo miaka zaidi ya 2000 iliyopita iliandikwa wazi kabisa kwenye Biblia na kwa wakati wa hukumu wao watajikomboa kwa nafsi zao wakati wa mateso ya Mpinga Kristo.
Wengi wanawaona Wakristo wa swhwmu zingine duniani kuwa wajinga kisa tu Waisrael wengi hawamwamini Yesu na badala yake wanawaamini Manabii wa kale yaani Ibrahim, Isaiyah, Mosses, Jeremiah n.k
Lakini hakika watakuja kumkiri wakati wa mwisho wa hukumu
Biblia imeelezea vizuri ila inahitaji muda kuelezea hayo maandiko.
Naam!Mkuu Yesu alisema hayo maneno kwa Sababu aliogopa Kifo
katika Mathayo 26:39
[39]Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
Ila ujue Yesu aliletwa Duniani Ili Ateswe na Afe ili Damu yake ikimwagika sisi tukombolewe...Jwa Maana nyingine Ni Kwamba Bila Damu ya Yesu Kusingekuwa Na Agano Jipya....
Kwa Hiyo ilibidi Wayahudi wamchukie na Wamtese Ili Ammwage Damu ili Sisi Tukombolewe...
Ndyo maana Mtume Paulo anasema "Kama Yesu Hakufufuka Katika Wafu Basi Imani Yetu Ni Bure"
ndioUnajua kwamba Waisrael wote siyo Wayahudi?
Mnapoambiwa kuhusu challenges ndani ya ukristu hamridhiki mpaka mfananishe na Uislam.Jiulize pia waislamu wanaovaa Hijabu na Kanzu wakidhani ni dini kumbe utamaduni wa Mwarabu.
Nyinyi ndio mnaofanya dini zionekane ni ufala.I doubt !
Hii inaonyesha ww ni mvaa kibaraghashia!
Otherwise huwezi kuisema hivyo Israel !
Pia naona jezi za Man U, Arsenal, PSG, Liverpool, Chelsea n.k zimevaliwa na wabongo pamoja na sticker za hizi timu kwenye vyombo vya usafiri nayo pia sijui ni wazungu weusi wanaoishi Bongo?Wakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Nmchek 🤣🤣🤣jmaa kaandk pumb za mwak alafu n yy anajiita msomi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni mjinga tuu anaamini hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]