Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwani wewe ni mmoja ya hao vijana wa Rage!!!Michezo ni furaha, sasa kama wewe inakukera, basi utakereka sana maana serikali inazidi kuweka mipango ya kuendeleza michezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ni mmoja ya hao vijana wa Rage!!!Michezo ni furaha, sasa kama wewe inakukera, basi utakereka sana maana serikali inazidi kuweka mipango ya kuendeleza michezo
Ukitaka kujua uchawi ni nini,njoo kwenye uzi huu.Klabu ya horoya iliyopigwa 7 bila msimu uliopita, tp mazembe iliyopongwa nje ndani na yanga pamoja na Simba iliyoshindwa kuchukua kombe lolote mbele ya YANGA Zitaanzia raundi ya pili katika jitihada ya kuzibeba zifike group stage kirahisi
Zamani ukiskia timu haianzii raundi ya awali ujue timu kweli lakini hivi sasa imekuwa kama division one za siku hizi Sasa huyu pimbi aliyepigwa 4 bila na Kaizer Chiefs akiwa amevaa visit Tanzania ana ukubwa gani?
Namba hazidanganyi!! Wenye point nyingi ndiyo wakali!! Ukali wa timu hautokani na ushindi wa mechi moja tu!! Inabidi tukubali tu kuwa "wananchi" wako karibu na mkia kwenye 20 bora za caf!! Wako namba 18!! Kwa nafasi hiyo inabidi tu waanzie mchangani!! Si ajabu wakayaaga mashindano huko huko mchangani!!Klabu ya horoya iliyopigwa 7 bila msimu uliopita, tp mazembe iliyopongwa nje ndani na yanga pamoja na Simba iliyoshindwa kuchukua kombe lolote mbele ya YANGA Zitaanzia raundi ya pili katika jitihada ya kuzibeba zifike group stage kirahisi
Zamani ukiskia timu haianzii raundi ya awali ujue timu kweli lakini hivi sasa imekuwa kama division one za siku hizi Sasa huyu pimbi aliyepigwa 4 bila na Kaizer Chiefs akiwa amevaa visit Tanzania ana ukubwa gani?
Kunywa sumu ya panyaKlabu ya horoya iliyopigwa 7 bila msimu uliopita, tp mazembe iliyopongwa nje ndani na yanga pamoja na Simba iliyoshindwa kuchukua kombe lolote mbele ya YANGA Zitaanzia raundi ya pili katika jitihada ya kuzibeba zifike group stage kirahisi
Zamani ukiskia timu haianzii raundi ya awali ujue timu kweli lakini hivi sasa imekuwa kama division one za siku hizi Sasa huyu pimbi aliyepigwa 4 bila na Kaizer Chiefs akiwa amevaa visit Tanzania ana ukubwa gani?
Na walioifunga Horoya walivuna pointsUkitaka kujua uchawi ni nini,njoo kwenye uzi huu.
Horoya ilipigwa 7-0 na nani?
Katika michuano gani?
TP Mazembe alifungwa goli 4 kwenye michuano ya watu gani?
Hao wate wana historia nzuri ya club bingwa,utopolo unaweza kutueleza historia yenu katika michezo ya club bingwa
Mbona Yanga kufika fainali ya kombe la loosers mnasema ni mafanikio? Uto mna vichwa vya kuku.Vijana wa Rage wamefurahi mpaka basi. Kila kitu kwao ni ushindi, ni mafanikio, ni kombe!
Kwa comment hii, inathibitisha ni kweli wenye akili ni wawili tu!Babaako na mamaako
Ukweli ni kwamba ROBO FAINALI CAFCL ina hadhi kubwa kuliko kufika FAINALI CAFCC (tena bila kubeba kombe).Vijana wa Rage wamefurahi mpaka basi. Kila kitu kwao ni ushindi, ni mafanikio, ni kombe!
Kijana mwingine wa Rage huyu hapa.Mbona Yanga kufika fainali ya kombe la loosers mnasema ni mafanikio? Uto mna vichwa vya kuku.
Si ndo hao babaako na mamaakoKwa comment hii, inathibitisha ni kweli wenye akili ni wawili tu!
Horoya ni kubwa kuliko yanga mkuu.Mazembe na Simba sina tatizo nao lakini Horoya hapana, naungana na wewe Horoya si timu ya kuweka kwenye top 10.
Juzi mkawalipizia kwa sakho, mkamuuza kabisa ulaya.Babaaa mi nataka bwanaaaa...daah huu utani wa ngumi
Mimi ni mmoja wa wanaofurahia michezoKwani wewe ni mmoja ya hao vijana wa Rage!!!