Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

hawa wanaccm ifike mahali wawe wanapeana semina wao wa wao huku namna ya kuishi na watu, wanatia aibu sana na kutia aibu chama chao. manake wengi hasa hao wanawake wanaonekana kama ni wadangaji tu na gold diggers. waacheni watoto washangilie ushindi wa nyumba za baba yao.
nimeisoma hii kesi leo, aisee huyu maza kapoteza sana. alifunga ndoa ya kikristo wakati ndoa ya awali bado ipo hai, kwahiyo ndoa ya pili na likwelile ilikuwa batili na ilichukuliwa kuwa ni uhawara tu, hata presumption of marriage haiwezi kuchukuliwa kwasababu takwa mojawapo la presumption of marriage ni kwamba lazima pasiwepo ndoa inayoendelea nyengine (kwa wakristo), kwahiyo mali zoote zilizopo hata kama alichuma na likwelile, hatapata kitu, kwasababu yeye sio mrithi halali. sijui mnanielewa?

kwenu ninyi mnaorukia ndoa za watu. mrukie ndoa ya awali ikiwa imekufa kwa talaka, kama haijafa, ninyi ni mahawara tu na sio mahawara mnaodondokea kwenye presumption of marriage, kwasababu mojawapo ya sharti la presumption of marriage ili mpate mgao hata kama hamkufunga ndoa, hapatakiwi kuwa na ndoa iliyo hai. mfano wake ni pale vijana ambao wote hawajaoana wanakutana na kuishi kinyumba kwa miaka miwili au zaidi mfululizo, wakiamua kuachana, wanaweza kuwa presumed wanandoa ili kugawanya walichopata au matunzo ya watoto, ila kama mmoja wao alikuwa na ndoa inayoendelea kama likwelile, presumption of marriage haiwezi kumwokoa vicky.
 
Halafu msimpaishe Vicky kiiivyo, mzee wa msoga alishaga muacha way back yaani kama jamaa ana mtu, basi ana mtu mwenye akili zake sio Vicky alishindwa hata kuficha siri mpaka mama mjengo alijua. Vicky alikuwa anapenda ndoa sana matokeo yake hajawahi kuipata. Mnakumbuka yule jamaa hakuonekana kanisani sinza siku ya ndoa yake na Vicky? Yule alipangwa na mama mjengo kumkomoa Vicky. Likewise likwelile alijua ndoa ni Batili lakini kwa kuwa Vicky alikuwa desperate na ndoa akamkubalia tu ili ajifurahishe nafsi. Kuhusu exposure jamaa aliishi nchi nyingi na watoto wake wengine wana Uraia wa UK.
Anapenda ndoa na matajiri.
 
Halafu ni vile tu hajui, hii case kuna wazito behind the scene waliokuwa wanaangalia haki itendeke, Vick kudhani angeweza kumuhonga kila mtu ni kujitafutia kutumika bila sababu.

Vick vita yake ni ngumu cause mama mjengo hata kaa amsamehe abadani asilani na yuko naye sambamba kwenye kila vita.

Kijana alijazwa mihela akapita kushoto.
Mkuu au labda mama mjengo alivyopeleka hoja bungeni kuwa wake za viongozi wapewe mafao ni ili apate mpunga wa kutosha kumshughulikia Vicky?
 
Hata issue ya kukimbiwa na bwanaharusi mama mjengo alikuwa nyuma ya picha. Beef lake na Vick haliishi, sababu Vick alitaka amtoe kabisa maza ye akae… wenzie huwa wanakula na kupita hivi…

Maza kusema we binti usinitanie nimekutangulia mjini…

Hata hivyo Vick ni nunda sana, vigongo anavyokutanaga navyo inabidi ili atoboe atembeze kwa wengine pia kupata backup.

Story ya Vick kuhusu kubaniwa inaweza ikampata Jojo pia unless apate back up nzito mpya, maana yule maza anamuangalia binti kwa jicho la ukaribu sana.
Jojo kazaa na nani?
 
Kuna yule mtoto wa mjini alitangaza ndoa na Vicky michango ikachangwa kisha mwamba akasepa na kijiji kabla ya ndoa kufanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu yule fala alivyokua na akili mingi kitengo cha muweka hazina alijipa yeye, alavyoona hesabu zake zimetimia akaingia mitini na simu akazima mazima hadi leo!!
 
Tatizo watu wengi wana maono kama yako!

Saazingine tunaishi kwa dhiki duniani kwa ajili ya misimamo kama hii!

Hivi mkuu let say umefiwa ukaoa mwanamke mwingine, ni lazima mwanamke huyo akuletee stress?

Tatizo labda hizo ndoa za kuoa majina ndiyo nyingi zinasumbua hivyo!

Lakini uelewe kwamba, hakuna chochote, iwe mali ama pesa ambacho kinaweza kumpatia faraja mwanaume kama mke!

Mke mwenye sifa stahiki zinazopaswa awe nazo mke ni hazina kubwa inayobeba uhai wa mwanaume.

Raha atapata, heshima utapata na maisha marefu utapata.
Una hoja nzito...hasa hapo kwenye kupata mke mwenye sifa stahiki...
 
Likwelile alikuwa mwanaume msomi bwana. Vicky alimwambiaga una watoto wakubwa niandikie ulisi (in mume wa zamas voice hahaha) jamaa akaandika akampa. Afu jamaa akaandika mwingine hakumuhusisha Vicky chochote akaupekeleka kwa mwanasheria ukagongwa muhuri afu akampa dada yake na copy mwanasheria wake. Vicky zero kichwani wosia wake akauweka kwenye visanduku vyake. Mahakamani alipigwa butwaa wosia hauna stamp ya mwanasheria. Familia ya Likwelile haikutaka jamaa azikwe mjini, walitaka apelekwe kwao morogoro ila Vicky akajua hana chake mjini atafukuzwa akakomaa azikwe mjini. Kwa heshima ya baba yao Familia ilikubali ili kusiwe na migogoro ya kumuaibisha baba yao.
 
1. Posho za Ubunge kama hela za madini Mkuu si unaona Zitto anabangaiza pamoja na kuwa Mbunge miaka yote?

2 Demu pamoja na Mzee wa awamu ya 44 kula bado hakufanya maendeleo.

3. Demu bado pisi atatokea boya mwingine nae ale vitu ajenge nyumba kisha atangulizwe kama Dr
Vicky akumtanguliza Dr ni ngwengwe ilimtanguliza.

Awamu ya 4 kwa vicky yeye alikuwa hataki mbele ni kumzibua mtaro tu. Awam ya 4 hadibashite rindakatatua. Pia marehem siksi katatua sana marin ya bashytay
 
Hakupaswa kuandika eti hata swimming pool kaikuta kwake,eti hakuwa na asset kumzidi,jamani aibu nimesikia Mimi....hiki ni kiasi Kikubwa Cha utomvu wa nidhamu
Huyo mzee alikua loaded,kesi ya kitilya wa tra ilimtaka mnufaika wa ule upigaji,huyo ndio alitoa malipo ya escrow halafu malaya wa geita anasema alikua n vijumba...malaya mbwa hanaga akili kuna mwingine yuko arusha ni mbunge viti maalum
 
Back
Top Bottom