Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

CCM bila ya nguvu ya Polisi sijui itakuwaje?

IGP hawezi mjibu Amiri Jeshi Mkuu hata siku moja.

Anatoa maoni yake kuwapelekea ujumbe wale waliotoa maoni yao ndani ya kikao cha CCM kuhusu Polisi na yakatangazwa na Mwenezi wa CCM hadharani.

Haikuwa njia nzuri sana ya kuwa adress wadau muhimu kwa CCM kama Polisi.

Na IGP kasema wazi usishambulie Polisi kama Polisi.

Lakini waweza kumshambulia IGP utakavyo maana yeye ni rahisi tu ukiamua unamnyanganya nafasi hiyo unaweka mtu wako mwengine unaye endana naye.

Lakini ukilishambulia jeshi zima kwa sababu tu ya IGP ni hatari kubwa. Na ndio ukweli wenyewe maana philosophy ya vita kwa majeshi yote ni hii, an injury to one is an injury to all.
 
Hujui hao ndio walikua maengineer wa uchafuzi mkuu na mchango wa 100% CCM kurudi madarakani 2020?

Hapo hatofanywa chochote hao ni matawi tu tofauti kwenye mti mmoja.
Mama anambeba sana huyu....
 
Mama anambeba sana huyu....
Umeongea kinyume chake na ni sawa kwa sababu zaidi ya asilimia 99 ya Watanzania wana tatizo la utapiamlo wa akili.Aliebebwa sana ni Mama kwa sababu amewekwa madarakani na jeshi la polisi badala ya wananchi.

Rais aliewekwa madarakani na jeshi la polisi hawezi kuheshimiwa na jeshi hilo na pia hawezi kuliwajibisha jeshi hilo kwa lolote lile na ndiyo maana Samia anabakia tu kulialia bila ya kuchukua hatua yoyote.
 
CCM bila ya nguvu ya Polisi sijui itakuwaje? IGP hawezi mjibu Amiri Jeshi Mkuu hata siku moja. Anatoa maoni yake kuwapelekea ujumbe wale waliotoa maoni yao ndani ya kikao cha CCM kuhusu Polisi na yakatangazwa na Mwenezi wa CCM hadharani. Haikuwa njia nzuri sana ya kuwa adress wadau muhimu kwa CCM kama Polisi.

Na IGP kasema wazi usishambulie Polisi kama Polisi. Lakini waweza kumshambulia IGP utakavyo maana yeye ni rahisi tu ukiamua unamyanganya nafasi hiyo unaweka mtu wako mwengine unaye endana naye. Lakini ukilishambulia jeshi zima kwa sababu tu ya IGP ni hatari kubwa. Na ndio ukweli wenyewe maana philosophy ya vita kwa majeshi yote ni hii, an injury to one is an injury to all.
Dah.. Hiyo aya ya mwisho imebeba ujumbe mzito sana!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hujui hao ndio walikua maengineer wa uchafuzi mkuu na mchango wa 100% CCM kurudi madarakani 2020?

Hapo hatofanywa chochote hao ni matawi tu tofauti kwenye mti mmoja.
Samahani kiongozi kwani kikatiba nani mkubwa kati yao hao? Tuanzie hapo kwanza
 
Samahani kiongozi kwani kikatiba nani mkubwa kati yao hao? Tuanzie hapo kwanza
Katiba ipi unayozungumzia hii hii ya mtu kusema anajua wamejiajiri kwa miaka 9 ya kuendelea kuwepo madarakani?

Lini imewahi kufuatwa kikamilifu ,?

Unaweza kuwatenganisha tanpol na CCM ?
 
Back
Top Bottom