Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

Dah.. Hiyo aya ya mwisho imebeba ujumbe mzito sana!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Ukumbuke kwenye kitu kama uchaguzi mkuu polisi ni daraja muhimu sana kuhakikisha ulinzi na usalama wa Raia na kura zenyewe hata kwa majeshi mengine.

Tukumbushane tu yale ya kipindi kile hapo Ubungo ya Mh Nyika.

Polisi walipoamua kuwasaidia Raia kutumia maji ya gari lao la washawasha kunawa nyuso zao wakisubiri Mh Nyika atangazwe kuwa mshindi wa kiti hicho.
 
Dah yaani mauaji yatokee mwezi wa kumi, IGP apate habari mwezi wa kwanza, sio kumlaumu Sirro but this is a joke.

Inaonyesha jinsi gani wananchi wasivyo na imani na jeshi la polisi kwenye kutoa habari mbaya zinazohusu askari wao.

Chances are kuna maovu mengi ya askari wanayofanya haya-ripotiwi bado na Samia yupo sahihi.

Kuna haja ya wizara ya mambo ya ndani kukitoa kitengo cha criminal reporting line nje ya polisi na kuendeshwa independently kuwatoa watu uoga wa kuripoti matukio ya uhalifu hasa yanayofanywa na askari polisi (au kuwe na special number ya kuripoti wizarani).

Kwenye serious crimes kusudi habari ziende wizarani na polisi; walau waziri aweze fuatilia case sensitive mara zinapotokea hasa zile zinazowahusu polisi wenyewe upelelezi umefikia wapi.
 
Dah yaani mauaji yatokee mwezi wa kumi, IGP apate habari mwezi wa kwanza, sio kumlaumu Sirro but this is a joke.

Inaonyesha jinsi gani wananchi wasivyo na imani na jeshi la polisi kutoa habari mbaya zinazohusu askari wao. Chances are kuna maovu mengi ya askari wanayofanya haya-ripotiwi bado na Samia yupo sahihi.

Kuna haja ya wizara ya mambo ya ndani kukitoa criminal reporting line nje ya polisi na kuendeshwa independently kuwatoa watu uoga wa kuripoti matukio ya uhalifu hasa yanayofanywa na askari polisi. Kwenye serious crimes habari ziende wizarani na polisi; walau waziri aweze fuatilia case sensitive mara zinapotokea hasa zile zinazowahusu polisi wenyewe upelelezi umefikia wapi.

Polisi wanashiriki uovu mwingi tu ndani ya nchi hii.

Na hao polisi ndio wamemuwezesha huyo waziri na serikali yake kuwepo madarakani bila ridhaa ya umma.
 
Polisi wanashiriki uovu mwingi tu ndani ya nchi hii. Na hao polisi ndio wamemuwezesha huyo waziri na serikali yake kuwepo madarakani bila ridhaa ya umma.
I agree

Lakini muda mwingine tutenganishe siasa na changamoto za maisha ya kila siku.

Imani na jeshi la polisi ni kitu muhimu sana katika kupambana na uhalifu, ni kukosa imani na polisi ndio kilichopelekea kijana aliechukuliwa mbele ya mashahidi luluki halafu wote waamue kubaki kimya; na ingebaki ivyo kama baba yake mzazi asingepaza sauti.

Ni kitu gani kilichowaogopesha vijana wote aliokuwa nao marehemu bar siku anakuja kubebwa na polisi waogope kupaza sauti baada ya kuto muona siku kadhaa.

Sasa mambo kama haya embu tutenge kidogo siasa nakujiuliza ni namna gani tunaweza toa habari kama hizi bila ya woga huko juu waanze kufuatilia; katika harakati za kuboresha ujirani mwema na hii taasisi maana ni muhimu katika maisha yetu wao wakiwa kama walinzi wa mali na maisha kwenye jamii.
 
Chief Hangaya amepanic sana, uongozi wa nchi hautaki mipasho unataka kazi inayoonekana. Sasa yeye kila siku ni mipasho tu na viongozi wake wa taasisi au ndio ana copy na ku paste uongozi wa msoga????
Rais anataka kuona Vyombo na Taasis zikitenda kazi kwa haki na kumrahisishia kazi Rais ktk kutekeleza majukum yake.
 
Back
Top Bottom