Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

Kuna vita kubwa sana kati ya vyombo vya ulinzi na usalama na namba moja, wote sasa hivi wanajutia kwanini walimbeba maana ya chumbani anaishia kuyaweka sebuleni…

Embu tujipe muda ila kwa ufupi mabadiliko ni muda wowote kwa baadhi ya viongozi hao…
 
Tayari kumenukaaaaaa!

Jamani nahisi mungu anaishi tanzania
 
View attachment 2160498

Najaribu kuwaza, hapa Afande IGP anamjibu nani? Nikifiria zaidi nahisi kama anamjibu mama.

Msikilize mama hapa 👇
View attachment 2160533
Kwani Rais hana mamlaka ya kumfuta Kazi IGP?

It is clear kama Rais haelewani na IGP unamfuta Kazi tuu Ili mambo yaende badala ya kufanya drama tuu.

Moja kwa moja IGP anamjibu Madam na hiyo jeuri anaitoa wapi?

Unfortunately mama nae akiwa kwenye mudi ya hasira hana break si unawajua wanawake walivyo?
 
Hapo Siro ameamua kukomaa, kama noma iwe noma, Siro ni kama anasema hatoki mtu hapa. Siro sio Ndugai, Samia safari hii ajipange haswaa.
Wapi ulishawahi ona Mwanamme kutoka kanda ya ziwa akiyumbishwa na mwanamke? Hapa ni bora busara itumike mama ajifunze kuwaheshimu wakuuu wa vyombo vya ulinzi na usalama maana ndio wamemuweka hapo.

Sasa tabia ya kuwasema katika speech zake haipendezi hata kidogo, mama ajitathimini hata kama yeye ni namba moja?

Alikuwepo boss wake JPM sasa hivi yu wapi? Aache jazba na ubabe hajiulizi why magufuli alikuwa akiwaweka karibu top three (3) halafu yeye anawapanda kichwani.

Siku hawa wakicharuka hata hapo jengo jeupe hapatakalika, ajifunze kuzungumza nao kwa uweledi.
 
Jana chui jike nae alisema akiwalalamikia police wanamjibu tu kuwa mbona hana imani na vyombo vyake vya usalama,Takukuru nao wakisemwa wananuna.
Nchi ngumu sana hii.
Hao Takukuru ndio rubbish kabisa,ila sasa Maza alitaka mambo yawe simple anatakiwa alete mabadiliko ya sheria kuongeza uwajibikaji zaidi wa polisi au la Katiba mpya kabisa.
 
I agree

Lakini muda mwingine tutenganishe siasa na changamoto za maisha ya kila siku.

Imani na jeshi la polisi ni kitu muhimu sana katika kupambana na uhalifu, ni kukosa imani na polisi ndio kilichopelekea kijana aliechukuliwa mbele ya mashahidi luluki halafu wote waamue kubaki kimya; na ingebaki ivyo kama baba yake mzazi asingepaza sauti.

Ni kitu gani kilichowaogopesha vijana wote aliokuwa nao marehemu bar siku anakuja kubebwa na polisi waogope kupaza sauti baada ya kuto muona siku kadhaa.

Sasa mambo kama haya embu tutenge kidogo siasa nakujiuliza ni namna gani tunaweza toa habari kama hizi bila ya woga huko juu waanze kufuatilia; katika harakati za kuboresha ujirani mwema na hii taasisi maana ni muhimu katika maisha yetu wao wakiwa kama walinzi wa mali na maisha kwenye jamii.
Polisi kukosolewa sio kukosa Imani na Polisi na hii haijaanza na Samia.
 
Kwani Rais hana mamlaka ya kumfuta Kazi IGP?

It is clear kama Rais haelewani na IGP unamfuta Kazi tuu Ili mambo yaende badala ya kufanya drama tuu.

Moja kwa moja IGP anamjibu Madam na hiyo jeuri anaitoa wapi?

Unfortunately mama nae akiwa kwenye mudi ya hasira hana break si unawajua wanawake walivyo?
Mkuu ni sawa na wewe ukaombe ushauri kuhusu matatizo ya mkeo kwenye ndoa yenu kwa kijana fulani kisha akujibu simple tu,fukuza mke huyo asikusumbue.

Utagundua hajui vingi kuhusu ndoa.
IGP sio beki tatu kwamba humtaki unampa nauli,unaweza fukuza 7 ndani ya wiki,ukija shtuka ni mgomo baridi,tayari polisi wote hawakutaki.

Utasimamiwa na baba yako wa ubatizo ushinde uchaguzi😄😄
 
View attachment 2160498

Najaribu kuwaza, hapa Afande IGP anamjibu nani? Nikifiria zaidi nahisi kama anamjibu mama.

Msikilize mama hapa 👇
View attachment 2160533


Mimi ni mtoto wa Polisi tena Baba na Mama ni wastaafu.

Tatizo sio Polisi bali ni Polisi kujiingiza kwenye siasa .

Chuki hii ndiyo inafanya watu waanze kutokuiamini na kuchukia Polisi.

Hivyo wenye akili kama Mangu ambaye ali jaribu kufanya hili waliondolewa hawa ndiyo walikuwa wanajali idara ya Polisi.
 
Kwamba IGP anatakiwa asijibu kwakua aliyeongea ni SHH? Yuko sawa tu, anapoona kuna namna anataka kupelekewa jumba bovu ni lazima aseme.

Halafu kwanini hamtaki kukubali kuwa mna Rais dhaifu sana, ambaye hajitoshelezi?
Sure,sirro anatakisa apumzike ila sio kwa mipasho.
 
Umeongea kinyume chake na ni sawa kwa sababu zaidi ya asilimia 99 ya Watanzania wana tatizo la utapiamlo wa akili.Aliebebwa sana ni Mama kwa sababu amewekwa madarakani na jeshi la polisi badala ya wananchi.

Rais aliewekwa madarakani na jeshi la polisi hawezi kuheshimiwa na jeshi hilo na pia hawezi kuliwajibisha jeshi hilo kwa lolote lile na ndiyo maana Samia anabakia tu kulialia bila ya kuchukua hatua yoyote.
View attachment 2160574View attachment 2160575View attachment 2160576
Watu bado hawaelewi hili, Samia yupo hapo kwa roho nzuri walizoonyesha wakuu wa ulinzi wakati ule wa msiba.

Bila wao tayari alikuwa kapigwa bao.
 
Polisi kukosolewa sio kukosa Imani na Polisi na hii haijaanza na Samia.
Soma post yote taratibu mimi sijajikita sana kwenye siasa bali alichoongea Sirro mwenyewe.

Imechukua miezi mitatu IGP kupata habari askari polisi wametenda uhalifu, tena kupitia mitandao ya kijamii inavyoonekana.

Sakata lenyewe analoliongelea IGP marehemu alichukuliwa mbele ya mashahidi, sasa jiulize ni kitu gani kilichowafanya watu kuogopa kutoa habari mapema ndio maana raisi akasema watu wanakosa imani na jeshi la polisi.
 
Mkuu ni sawa na wewe ukaombe ushauri kuhusu matatizo ya mkeo kwenye ndoa yenu kwa kijana fulani kisha akujibu simple tu,fukuza mke huyo asikusumbue.
Utagundua hajui vingi kuhusu ndoa.
IGP sio beki tatu kwamba humtaki unampa nauli,unaweza fukuza 7 ndani ya wiki,ukija shtuka ni mgomo baridi,tayari polisi wote hawakutaki.
Utasimamiwa na baba yako wa ubatizo ushinde uchaguzi😄😄
Mkuu una maslahi na Siro.Kwa hiyo anachofa Siro ni sahihi?

Kwa Maoni yangu anachofanya sasa Siro ndio kuhamasisha mgomo baridi,anatakiwa kuondolewa right now kwa sababu kuzidi kuchelewa ndio kutaeneza zaidi hii Hali.

Wako maofisa Wana weledi na wanaaminiwa na askari wa chini.Rais mfute Kazi IGP Ili nae apangue baadhi ya ma RPC na wakuu wa upelelezi.

Mwisho awaongezee posho maaskari kupunguza vishawishi kwa sababu hata huko TRA watu wanalipwa vizuri zaidi Ili kupunguza ushawishi.
 
Back
Top Bottom