Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!

Kwamba IGP anatakiwa asijibu kwakua aliyeongea ni SHH? Yuko sawa tu, anapoona kuna namna anataka kupelekewa jumba bovu ni lazima aseme.

Halafu kwanini hamtaki kukubali kuwa mna Rais dhaifu sana, ambaye hajitoshelezi?
Raisi yupo bize kuchambana kuliko Kazi nchi hatuelewik tunaenda wap
 
Polisi kukosolewa sio kukosa Imani na Polisi na hii haijaanza na Samia.

Ni namna gani ya kuwakosoa ndipo tatizo lilipo hapo? CCM ni kama inakosa ueledi flani.

Haiwezekani CCM yenye serikali itumie njia ya CDM kukosoa Polisi au vyombo vingine vya dola. Hata ingekuwa CDM ndio chama tawala kisinge fanya hivyo kamwe.

Wao CCM walitakiwa walishuhulikie tatizo hilo la polisi kimifumo iliyoko sio kutoka hadharani kupayuka, ili umfurahishe nani hasa wakati wananchi walio wengi wanajua the reality.

Unaita press kukosoa Polisi ambao wewe ndiye mwenye serikali iliyo na mamlaka juu ya Polisi.

CCM kama chama tawala wana a symbiotic relationship ya kiungozi na Polisi kwa maana hiyo hiyo na vyombo vingine vya ulinzi na usalama.

Lazima hilo litunzwe pamoja na kuwa kweli Polisi wanayo mapungufu yao.

Sasa huyo anayemjaza Mama upepo kuwa anajibiwa ni nani na kwa faida gani?

Tujifunze kitu kwa Putin wa Urusi na kinachoendelea Ukraine.
 
Ziro is out

Ngoja uvuliwe hicho cheo halaf sasa wajanja tunakusubiri mtaani
 
Ni namna gani ya kuwakosoa ndipo tatizo lilipo hapo? CCM ni kama inakosa ueledi flani. Haiwezekani CCM yenye serikali itumie njia ya CDM kukosoa Polisi au vyombo vingine vya dola. Hata ingekuwa CDM ndio chama tawala kisinge fanya hivyo kamwe. Wao CCM walitakiwa walishuhulikie tatizo hilo la polisi kimifumo iliyoko sio kutoka hadharani kupayuka, ili umfurahishe nani hasa wakati wananchi walio wengi wanajua the reality. Unaita press kukosoa Polisi ambao wewe ndiye mwenye serikali iliyo na mamlaka juu ya Polisi.

CCM kama chama tawala wana a symbiotic relationship ya kioungozi na Polisi kwa maana hiyo hiyo na vyombo vingine vya ulinzi na usalama. Lazima hilo litunzwe pamoja na kuwa kweli Polisi wanayo mapungufu yao.Sasa huyo anayemjaza Mama upepo kuwa anajibiwa ni nami na kwa faida gani? Tujifunze kitu kwa Putin wa Urusi na kinachoendelea Ukraine.
Kukosoa hakuwezi kuwa kule ambako wewe unapenda,so no excuse.
 
Imefika mahala kama hamuheshimiani kazini ni bora kuachana ama sivyo mtaharibu kazi!

Sirro anasema Mama hana imani nao!! Sasa hapo kuna usalama gani?

Rais ajue umuhimu wa kufanya maamuzi timely! Ukichelewa kuna athari zake!
 
CCM bila ya nguvu ya Polisi sijui itakuwaje? IGP hawezi mjibu Amiri Jeshi Mkuu hata siku moja. Anatoa maoni yake kuwapelekea ujumbe wale waliotoa maoni yao ndani ya kikao cha CCM kuhusu Polisi na yakatangazwa na Mwenezi wa CCM hadharani. Haikuwa njia nzuri sana ya kuwa adress wadau muhimu kwa CCM kama Polisi.

Na IGP kasema wazi usishambulie Polisi kama Polisi. Lakini waweza kumshambulia IGP utakavyo maana yeye ni rahisi tu ukiamua unamnyanganya nafasi hiyo unaweka mtu wako mwengine unaye endana naye. Lakini ukilishambulia jeshi zima kwa sababu tu ya IGP ni hatari kubwa. Na ndio ukweli wenyewe maana philosophy ya vita kwa majeshi yote ni hii, an injury to one is an injury to all.
Watanzania ni viumbe wa ajabu kwa uwezo wa kufikiri! Kwani ni institution ipi kati ya Polisi na CCM imemweka mwingine madarakani!?
 
CCM bila ya nguvu ya Polisi sijui itakuwaje? IGP hawezi mjibu Amiri Jeshi Mkuu hata siku moja. Anatoa maoni yake kuwapelekea ujumbe wale waliotoa maoni yao ndani ya kikao cha CCM kuhusu Polisi na yakatangazwa na Mwenezi wa CCM hadharani. Haikuwa njia nzuri sana ya kuwa adress wadau muhimu kwa CCM kama Polisi.

Na IGP kasema wazi usishambulie Polisi kama Polisi. Lakini waweza kumshambulia IGP utakavyo maana yeye ni rahisi tu ukiamua unamnyanganya nafasi hiyo unaweka mtu wako mwengine unaye endana naye. Lakini ukilishambulia jeshi zima kwa sababu tu ya IGP ni hatari kubwa. Na ndio ukweli wenyewe maana philosophy ya vita kwa majeshi yote ni hii, an injury to one is an injury to all.
Ok... Asante kwa ufafanuzi Afande.
 
Anatoa maoni yake kuwapelekea ujumbe wale waliotoa maoni yao ndani ya kikao cha CCM kuhusu Polisi na yakatangazwa na Mwenezi wa CCM hadharani. Haikuwa njia nzuri sana ya kuwa adress wadau muhimu kwa CCM kama Polisi.

May 24, 2020 - SWAHILI NEWS TANZANIA | Facebook

10 Mar 2022 — Hatimaye CCM yatangaza vita na jeshi la polisi. ... Katibu Mwenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka, leo Jumamosi Machi 12, 2022

More info :

12 March 2022
CCM: MWENENDO WA JESHI LA POLISI UCHUNGUZWE

 
Mfumo wa vyombo vya ulinzi na usalama kujibizana kwa mitandao kumlenga Amiri jeshi mkuu ni hatari sana kwa mkuu wa nchi.
CCM mliangalie kwa undani hilo.
 
Back
Top Bottom