Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Hakuna,, Siro atoke tuuu.Kamanda kaamua liwalo na liwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna,, Siro atoke tuuu.Kamanda kaamua liwalo na liwe
Mangu alifanyajeMimi ni mtoto wa Polisi tena Baba na Mama ni wastaafu. Tatizo sio Polisi bali ni Polisi kujiingiza kwenye siasa . Chuki hii ndiyo inafanya watu waanze kutokuiamini na kuchukia Polisi. Hivyo wenye akili kama Mangu ambaye ali jaribu kufanya hili waliondolewa hawa ndiyo walikuwa wanajali idara ya Polisi.
Wataondolewa...Si jeshi lipo na Wapo Wengi tuuu Tupo tayari kuajiriwa na kutenda Vizuri..Mara Mia..Hawajui askari huyo..hata issue ya mbowe kuachiwa imewaudhi baadhi.wanasema boss wao ni kama amedhalilishwa vile.
Hakuna chakucharuka...Siro hawezi kumjibu Samia kama anamuongelesha muuza bar take huko GongolambotoWapi ulishawahi ona Mwanamme kutoka kanda ya ziwa akiyumbishwa na mwanamke? Hapa ni bora busara itumike mama ajifunze kuwaheshimu wakuuu wa vyombo vya ulinzi na usalama maana ndio wamemuweka hapo.
Sasa tabia ya kuwasema katika speech zake haipendezi hata kidogo, mama ajitathimini hata kama yeye ni namba moja?
Alikuwepo boss wake JPM sasa hivi yu wapi? Aache jazba na ubabe hajiulizi why magufuli alikuwa akiwaweka karibu top three (3) halafu yeye anawapanda kichwani.
Siku hawa wakicharuka hata hapo jengo jeupe hapatakalika, ajifunze kuzungumza nao kwa uweledi.
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa kuna Amri ilitolewa na Mkuu Wa Mkoa Arusha wakati ule Gambo ya kuwakamata watu fulani (nimesahau kwa kosa gani)..Mangu alifanyaje
Zamani polisi walikua Hawaui?Acha kutetea upuuzi mkuu,ukosoaji hauwi vile unavyotaka wewe kiasi kwamba unaota vichambo sijui mioasho nk.
Afu Polisi hawajaanza leo kuzingua na watu kama sio wote hawana Imani na Polisi,hao polisi wamesimamia mauaji awamu iliyopita lazima wabadilishwe.
Kabla ya kubadilisha polisi, CCM walitakiwa waanze kubadilishwa wao.Mfumo wa vyombo vya ulinzi na usalama kujibizana kwa mitandao kumlenga Amiri jeshi mkuu ni hatari sana kwa mkuu wa nchi.
CCM mliangalie kwa undani hilo.
Sio tuu walikuwa hawaui bali walikuwa wanalindwa na kuagizwa kuua na yule Dhalimu aliyeko kuzimu.Zamani polisi walikua Hawaui?
Umesema uongo, aliyekataa alikua RPC Shana. Ila pia kukataa huko hakuwezi kuwafanya polisi kuwa bora. Maana mbona huyohuyo RPC alikamatwa tena vijana wa chadema na lemaKama kumbukumbu zangu ziko sawa kuna Amri ilitolewa na Mkuu Wa Mkoa Arusha wakati ule Gambo ya kuwakamata watu fulani (nimesahau kwa kosa gani)..
Lakini Mangu akawaagiza Vijana wake wapuuzie lile agizo la Mkuu Wa Mkoa na kwamba hayo ni mambo ya Kisiasa... Baada ya hapo haikupita Wiki Hayati akatengua Uteuzi wa Mangu kuwa IGP akamteua Balozi Malawi...
Kumbuka wakati huo Ziro alikuwa Chawa Wa Bashite, nadhani Bashi boy akampigia pande kwa Babake ndipo Ziro akapandishwa kuwa Aijipii
Kabla ya dhalimu walikua Hawaui?Sio tuu walikuwa hawaui bali walikuwa wanalindwa na kuagizwa kuua na yule Dhalimu aliyeko kuzimu.
Walishughulikiwa na kukosolewaKabla ya dhalimu walikua Hawaui?
Acha uongo, said mwema, mangu walishughulikiwa lini?Walishughulikiwa na kukosolewa
Yes tamko la kukataa lilitoka kwa RPC, lakini IGP ndiye alimwagiza RPC Asitekeleze Agizo la RC.. Na uteuzi Wa IGP ukatenguliwa kipindi hicho hicho...Umesema uongo, aliyekataa alikua RPC Shana. Ila pia kukataa huko hakuwezi kuwafanya polisi kuwa bora. Maana mbona huyohuyo RPC alikamatwa tena vijana wa chadema na lema
Walivyomaliza mda wao hawakuongezewa,Siro amestaafu kitambo ni WA kupumzika.Acha uongo, said mwema, mangu walishughulikiwa lini?
Sirro ana miaka 58, muda wa kustaafu bado.Walivyomaliza mda wao hawakuongezewa,Siro amestaafu kitambo ni WA kupumzika.
Maofisa wa chini yao walishughulikiwa wakiwemo Abdallah Zombe nk.