Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Polisi ni kazi ya heshima kuliko wanasiasa, iliyotukuka inayotambuliwa kikatiba kama ukitimiza wajibu wako kwa mujibu wa sheria na kutumia akili. Askari mwenye akili nzuri aweza kuwa mwanasiasa anayeheshimika baada ya kustaafu.
Katiba inamtaka polisi asipendelee chama chochote wala asioneshe mapenzi yake kwa chama fulani kwa uwazi.
Hata hivyo, kwa sababu tu ya ujinga, polisi wetu wanadhihirisha hadharani upendeleo kitu ambacho huwaudhi hata wale wanaopendelewa kama wana akili na mapenzi kwa taifa.
Mbowe alikuwa na Gari la KUB na dereva Kenya na alipoambiwa alirudishe maneno yake uliyasikia kipindi kile.
Hivyo na ieleweke kwa kila mtu Polisi na vyombo vya dola vingine ni Resources available kwa chama kinacho tawala na serikali yake kufanya nchi iongozeke.