Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Hata kama Sirro hataki, naamini kuna watu wana busara watamshauri tu apumzike.Maza anafokewa....😎
Na Siro amesema nanukuu: "kama hauwezi kuamini chombo chako...." mwisho wa kunukuu...teh😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama Sirro hataki, naamini kuna watu wana busara watamshauri tu apumzike.Maza anafokewa....😎
Na Siro amesema nanukuu: "kama hauwezi kuamini chombo chako...." mwisho wa kunukuu...teh😂
Sio MurotoKwaheri Sirro , Msalimie Tibaigana
mchagulieni nchi ya ubalozi la sivyo atapewa mkoaKwaheri Sirro , Msalimie Tibaigana
TPDF naona hakuna m utano mkuuKuna vita kubwa sana kati ya vyombo vya ulinzi na usalama na namba moja, wote sasa hivi wanajutia kwanini walimbeba maana ya chumbani anaishia kuyaweka sebuleni…
Embu tujipe muda ila kwa ufupi mabadiliko ni muda wowote kwa baadhi ya viongozi hao…
View attachment 2160498
Najaribu kuwaza, hapa Afande IGP anamjibu nani? Nikifiria zaidi nahisi kama anamjibu mama.
Msikilize mama hapa 👇
View attachment 2160533
Nikisema Jeshi la Polisi halifanyi kazi vizuri, najibiwa...
Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico. Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa...www.jamiiforums.com
anasema nini huku bhooo bhoo bhoo,Anajibu hapa.....
View attachment 2160529
Unapata nini ukipotosha?Sijui ni kwa nini hadi sasa hivi huu uzi upo? Hivi IGP Sirro ni wapi hapa amemjibu Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu? Huu si uhuru wa maoni ni kosa kubwa sana kisheria hili. Wakuu wetu wa vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii ni watiifu na wazalendo mno. Tuache hii tabia mbaya kabisa kuchonganisha viongozi wetu.🙏🙏🙏
Askari aliyemtolea nape bastola sio mmoja ya hao wa mtwara. Sijui nani kawamesesha hili,Sirro amekosa self awareness.
Swala sio polisi kuwakamata polisi wenzao.
Swala kubwa ni kwanini maofisa tena kwa kushirikiana kupanga na kutekeleza uhalifu.
Walifikaje kupewa vyeo vya kuongoza polisi kwenye wilaya ikiwa wana mienendo ya namna hivyo?
Je ni matukio mangapi ambayo hayakufika huku juu?
Mmoja wao ndio aliyemtolea silaha Waziri Nape hadharani, ilikuwaje akapewa kuongoza upelelezi wa Wilaya? Askari asiye na nidhamu kiasi kile, alipitaje mchujo?
Inakuwaje maofisa hawaoni shida kukamata mtu na kumuua akiwa mikononi mwa jeshi la polisi? Afadhali hata kina Zombe walitengeneza filamu ingawa iliwalipukia.
Anayechukiwa sio Sirro, jeshi zima linahitaji mabadiliko. Haliaminiki kabisa na wananchi. Tumesikia vituko vingi kwenye kesi ya Mbowe, leo ukiwauliza wananchi kama stori za kina Adamoo zina ukweli ndani yake, nina uhakika majority watasema ni za kweli.
aliyesema ...unakwenda kujibiwa bhooo bhoo ni sisi? 🤣🤣🤣🤣🤣Sijui ni kwa nini hadi sasa hivi huu uzi upo? Hivi IGP Sirro ni wapi hapa amemjibu Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu? Huu si uhuru wa maoni ni kosa kubwa sana kisheria hili. Wakuu wetu wa vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii ni watiifu na wazalendo mno. Tuache hii tabia mbaya kabisa kuchonganisha viongozi wetu.🙏🙏🙏
Askari aliyemtolea nape bastola sio mmoja ya hao wa mtwara. Sijui nani kawamesesha hili,
Rwandamchagulieni nchi ya ubalozi la sivyo atapewa mkoa
[emoji38][emoji38][emoji38]Sio Muroto
Mwananchi walipotosha, na baada ya kugundua waliacha upotoshaji huu.
Polisi ni kazi ya heshima kuliko wanasiasa, iliyotukuka inayotambuliwa kikatiba kama ukitimiza wajibu wako kwa mujibu wa sheria na kutumia akili.CCM bila ya nguvu ya Polisi sijui itakuwaje? IGP hawezi mjibu Amiri Jeshi Mkuu hata siku moja. Anatoa maoni yake kuwapelekea ujumbe wale waliotoa maoni yao ndani ya kikao cha CCM kuhusu Polisi na yakatangazwa na Mwenezi wa CCM hadharani. Haikuwa njia nzuri sana ya kuwa adress wadau muhimu kwa CCM kama Polisi.
Na IGP kasema wazi usishambulie Polisi kama Polisi. Lakini waweza kumshambulia IGP utakavyo maana yeye ni rahisi tu ukiamua unamnyanganya nafasi hiyo unaweka mtu wako mwengine unaye endana naye. Lakini ukilishambulia jeshi zima kwa sababu tu ya IGP ni hatari kubwa. Na ndio ukweli wenyewe maana philosophy ya vita kwa majeshi yote ni hii, an injury to one is an injury to all.
Waliwahi kuomba radhi? Maana sio mara moja wameandika?Mwananchi walipotosha, na baada ya kugundua waliacha upotoshaji huu.