Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Shabiki wa wekundu wa msimbazi huyo. Ulimkuta kwenye vijiwe ni habari za nguvu moja tu.Sikio la kufa .......
Umefikiwa hakika Mungu hamtupi mja wakeTatizo unaharaka mno mkuu..
Comments utapata tu nenda taratibu
Ubay Ubwela na mbaya zaidi Baba watoto anaembandua mkewe single mother ni shabiki wa Yanga inaumaje?Na badoooo....
MlemleUmefikiwa hakika Mungu hamtupi mja wake
Daaah hii inauma kuliko pilipili machoniπ€£π€£π€£Ubay Ubwela na mbaya zaidi Baba watoto anaembandua mkewe single mother ni shabiki wa Yanga inaumaje?
Kwenye single mother buku1 unapata mmoja au hamna kabisa.Umalaya wa single mother mmoja si picha halisi kwa single mothers wote. Kuna wanawake walipoamua kuwa single walimaanisha na hawataki ujinga.
Na mwanamke naye asikubali kuolewa na mume aliyekwisha zaa na mke mwingine.Wanawake walivyo wengi kwanini ukamuoe mwanamke mwenye mtoto!?
MTOTO KAUTAKA MTOTO KAUTAKA
Ndio! Ni sawa! Both ways zinafanya kazi!Na mwanamke naye asikubali kuolewa na mume aliyekwisha zaa na mke mwingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] home kwao.Anatembea nae wanaenda wapi [emoji23]
ππππShabiki wa wekundu wa msimbazi huyo. Ulimkuta kwenye vijiwe ni habari za nguvu moja tu.
OKW BOBAN SUNZU ,Scars ba dada tetu Kalpana msaidieni mwenzenu
Tatizo tukisema ukweli kwamba single mother hawafahi watu hawatuelewi.Natafuta Ajira uyu unamsaidiaje?