Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
nilkua naenda nae serengeti😂Anatembea nae wanaenda wapi 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilkua naenda nae serengeti😂Anatembea nae wanaenda wapi 😂
UuuuwwwiiiiiiiiiiiiiSingle mother hakupendi anataka ushirikiano wako tu kwenye malezi ya mtoto wake. Mtoto atakapokua na kuanza kujitegemea single mother uyo uyo atamwambia mwanae wewe sio baba yake ili aweze kufaidi matunda ya mtoto yeye peke yake.
Single mother hakupendi, ana trauma tu za mahusiano yake ya nyuma na anataka kumuonyesha mzazi mwenzake kwamba ame-move, hii trauma ikiisha na mzazi mwenzake akijirudi, kupasha kiporo ni suala la right time na right place tu.
Nawaonea huruma watakao oa single maza hawa ndugu zangu,narudia nawaonea huruma hawatoboiSingle mother hakupendi anataka ushirikiano wako tu kwenye malezi ya mtoto wake. Mtoto atakapokua na kuanza kujitegemea single mother uyo uyo atamwambia mwanae wewe sio baba yake ili aweze kufaidi matunda ya mtoto yeye peke yake.
Single mother hakupendi, ana trauma tu za mahusiano yake ya nyuma na anataka kumuonyesha mzazi mwenzake kwamba ame-move, hii trauma ikiisha na mzazi mwenzake akijirudi, kupasha kiporo ni suala la right time na right place tu.
Hapa umeongea ukweli mtupu....Single mother hakupendi anataka ushirikiano wako tu kwenye malezi ya mtoto wake. Mtoto atakapokua na kuanza kujitegemea single mother uyo uyo atamwambia mwanae wewe sio baba yake ili aweze kufaidi matunda ya mtoto yeye peke yake.
Single mother hakupendi, ana trauma tu za mahusiano yake ya nyuma na anataka kumuonyesha mzazi mwenzake kwamba ame-move, hii trauma ikiisha na mzazi mwenzake akijirudi, kupasha kiporo ni suala la right time na right place tu.
Huyu atakuwa choko
Sio single maza tu hata watakao oa wanawake waliokwisha tolewa bikraNawaonea huruma watakao oa single maza hawa ndugu zangu,narudia nawaonea huruma hawatoboi
Ingawa anaonekana kuigiza tu, ila ukweli ni kwamba watu wameshazaa na hivyo kuunganishwa kwa damu, yeye alitarajia nini?
Kufenyege?nilkua naenda nae serengeti😂
kutizama black mambaKufenyege?
Ukwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] home kwao.
AaahSio single maza tu hata watakao oa wanawake waliokwisha tolewa bikra
Chizi wewekutizama black mamba