Video: Alia kama mtoto baada ya kugundua mke wake bado ana mahusiano na mzazi mwenzie

Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii
 
usijali bebi wangu mimi sitakufanyia ivo,usije ukanilima kitofali pm huko,,wachana na maneno ya waja
 
Nawaonea huruma watakao oa single maza hawa ndugu zangu,narudia nawaonea huruma hawatoboi
 
Hapa umeongea ukweli mtupu....
 
Kwani huyo jamaa alikuwa hahudhurii vikao??....Si tulishasema mpaka uone kaburi....Yeye alimchukua vipi bila ya kuona kaburi??
 
Cha mtu huliwa na mtu chuma pekee ndio huliwa na kutu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…