Video: ANC kumpigia Julius Malema Magoti kwa ajili ya Serikali ya umoja

Video: ANC kumpigia Julius Malema Magoti kwa ajili ya Serikali ya umoja

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.

ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!

Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.

EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!

Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
 
Tanzania CCM nayo ijipange, ujifunze vyema. Hata diamonds are not forever! Na katiba mpya ndiyo siri kuu. Hiyo ndiyo itazalisha tume huru! Na ndiyo wanaposhikilia kujitoa akili na kusingizia tuanze na maridhiano!
 
View attachment 3006284
View attachment 3006284


With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.

ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!

Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.

EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!

Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
Malema ni muhuni tu hamna mwanasiasa pale anaota Wakitaofisha mashamba ya wazungu wajiandae kuwakuta yaliwakuta Zimbabwe .Mwafrika hawezi kuendesha kilimo Cha mashamba makubwa yawe ya serikali au binafsi.Tanzania tulitaifisha mashamba makubwa ya wazungu Yako wapi hayo mashamba serikali iliyoyataifisha Sasa hivi? Yanaendeleaje ? Yote yalikufa mikononi mea serikali

Soko la mazao liko Kwa wazungu na Wana umoja hatari.Zimbabwe ilipotaifisha walidhani soko la nje lilillokuwepo Ulaya na Marekani watashika wao Ile kutaifisha tu wazungu wakawawekea vikwazo hakuna Zimbabwe kuuza mazao yake ya kilimo nje.Mishamba imekufa Sasa hivi Zimbabwe imewaomba wazungu warudi na itawalipa fidia wote walioporwa mashamba Yao na kuwarudishia sababu ndiko sharti walitoa ili warudi

Migodi ikitaifishwa mwafrika Gani aweza endesha migodi mikubwa Afrika Nzima? Hakuna mfano hata mmoja

Waafrika kusini wabaguzi Kwa Sasa sio wazungu ni waafrika kusini weusi.Jao ndio Hadi wanashambulia waafrika weusi wenzetu Africa ya kusini kuwa hawawataki waondoke sio wazungu

Kama ANC wanaamini kuwa ubaguzi Uliisha waungane na hicho Chama Cha Wazungu hapo Hadi Dunia ndio itasena kweli ubaguzi Africa ya kusini haupo

Wazungu ndio injini ya uchumi Africa kusini .ANC waungane nao wasiongane na Chama kibaguzi Cha Malema Cha EFF chenye sera mbovu za kuendelea kuchukia wazungu Ubaguzi ulishaisha .Wazungu na waafrika Sasa kitu kimoja Afrika kusini
 
CCM wanasarakasi nyingi ebu fikiria wameongoza nchi hii tangu 1961 lakini bado matatizo ya elimu,afya,haki.. ......yamezidi kuongezeka.

Tatizo la ajira limekuwa kubwa kupita kiasi wameuwa viwanda vyote nchi imebaki jalala la kuuza bidhaa za mchina lakini bado wanataka kuongoza
 
Cyril Ramaphosa Akipata chini ya 45% anaweza kushikizwa kujiuzulu na chama

Hilo liko mezani. Na atashitakiwa na kesi ya money laundering kutokana na kesi ya $ 4m or 6m kukutwa nyumbani kwake, chini ya makochi na kitandani chumbani kwake! Naye ataenda jela kama Jacob Zuma.
 
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.

ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!

Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.

EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!

Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285


Siasa kweli zitamtaka Malema.

Markets zinataka coalition ya ANC na DA.

Hapo ndipo mzozo ulipo.
 
Malema ni muhuni tu hamna mwanasiasa pale anaota Wakitaofisha mashamba ya wazungu wajiandae kuwakuta yaliwakuta Zimbabwe .Mwafrika hawezi kuendesha kilimo Cha mashamba makubwa yawe ya serikali au binafsi.Tanzania tulitaifisha mashamba makubwa ya wazungu Yako wapi hayo mashamba serikali iliyoyataifisha Sasa hivi? Yanaendeleaje ? Yote yalikufa mikononi mea serikali

Soko la mazao liko Kwa wazungu na Wana umoja hatari.Zimbabwe ilipotaifisha walidhani soko la nje lilillokuwepo Ulaya na Marekani watashika wao Ile kutaifisha tu wazungu wakawawekea vikwazo hakuna Zimbabwe kuuza mazao yake ya kilimo nje.Mishamba imekufa Sasa hivi Zimbabwe imewaomba wazungu warudi na itawalipa fidia wote walioporwa mashamba Yao na kuwarudishia sababu ndiko sharti walitoa ili warudi

Migodi ikitaifishwa mwafrika Gani aweza endesha migodi mikubwa Afrika Nzima? Hakuna mfano hata mmoja

Waafrika kusini wabaguzi Kwa Sasa sio wazungu ni waafrika kusini weusi.Jao ndio Hadi wanashambulia waafrika weusi wenzetu Africa ya kusini kuwa hawawataki waondoke sio wazungu

Kama ANC wanaamini kuwa ubaguzi Uliisha waungane na hicho Chama Cha Wazungu hapo Hadi Dunia ndio itasena kweli ubaguzi Africa ya kusini haupo

Wazungu ndio injini ya uchumi Africa kusini .ANC waungane nao wasiongane na Chama kibaguzi Cha Malema Cha EFF chenye sera mbovu za kuendelea kuchukia wazungu Ubaguzi ulishaisha .Wazungu na waafrika Sasa kitu kimoja Afrika kusini
Mwana CCM mbona wa Lia Lia ka mtoto mdogo au umepigwa na kitu kizito?
 
Tanzania CCM nayo ijipange, ujifunze vyema. Hata diamonds are not forever! Na katiba mpya ndiyo siri kuu. Hiyo ndiyo itazalisha tume huru! Na ndiyo wanaposhikilia kujitoa akili na kusingizia tuanze na maridhiano!
BIla wizi hata ccm ingeshanyanduliwa Tanzania ina utajiri wa ajabu lakini haina viongozi kabisa fikiria nchi kama korea ina technolojia kibao Rais anaenda kule badala akutane na Wenye viwanda wapange waje kufungua viwanda anakutana na waandaa filamu😀
 
Malema ni muhuni tu hamna mwanasiasa pale anaota Wakitaofisha mashamba ya wazungu wajiandae kuwakuta yaliwakuta Zimbabwe .Mwafrika hawezi kuendesha kilimo Cha mashamba makubwa yawe ya serikali au binafsi.Tanzania tulitaifisha mashamba makubwa ya wazungu Yako wapi hayo mashamba serikali iliyoyataifisha Sasa hivi? Yanaendeleaje ? Yote yalikufa mikononi mea serikali

Soko la mazao liko Kwa wazungu na Wana umoja hatari.Zimbabwe ilipotaifisha walidhani soko la nje lilillokuwepo Ulaya na Marekani watashika wao Ile kutaifisha tu wazungu wakawawekea vikwazo hakuna Zimbabwe kuuza mazao yake ya kilimo nje.Mishamba imekufa Sasa hivi Zimbabwe imewaomba wazungu warudi na itawalipa fidia wote walioporwa mashamba Yao na kuwarudishia sababu ndiko sharti walitoa ili warudi

Migodi ikitaifishwa mwafrika Gani aweza endesha migodi mikubwa Afrika Nzima? Hakuna mfano hata mmoja

Waafrika kusini wabaguzi Kwa Sasa sio wazungu ni waafrika kusini weusi.Jao ndio Hadi wanashambulia waafrika weusi wenzetu Africa ya kusini kuwa hawawataki waondoke sio wazungu

Kama ANC wanaamini kuwa ubaguzi Uliisha waungane na hicho Chama Cha Wazungu hapo Hadi Dunia ndio itasena kweli ubaguzi Africa ya kusini haupo

Wazungu ndio injini ya uchumi Africa kusini .ANC waungane nao wasiongane na Chama kibaguzi Cha Malema Cha EFF chenye sera mbovu za kuendelea kuchukia wazungu Ubaguzi ulishaisha .Wazungu na waafrika Sasa kitu kimoja Afrika kusini
Nimeukubali mtizamo wako. Mwafrika ukimpa mashamba na migodi ni bure kabisa. Kwanza hata hao ANC walishashindwa kuongoza nchi siku nyingi kwa sababu mambo ni mabaya kabisa kulinganisha na pre-apartheid. Kama wana akili waungane na hao makaburu (japo navyojua watu weusi, hawatafanya hivyo).
 
Tatizo ANC walijisahau sana - kama kawaida ya ngozi nyeusi - bila ya kufanya mapatano ya kweli na Wazungu, hali ikawa mbaya zaidi wakaanza na kubagua wafrika wenzao.
Kweli mwafrika haelimiki, yaani wapo na Wazungu karne na karne ila kunanuka rushwa kama 'shit hole countries', state capture etc,
Kwa hizo Sera za Malima, na S.A bila ya uwepo wa Wazungu itakuwa duni zaidi ya Zimbabwe. Chuki haijengi.
 
Coalition nzuri hapo ni ANC na DA.

Hakuna sababu ya kuwaogopa DA.

Ni chama kilicho multiracial. Siyo chama cha Wazungu tu.

Huwezi kupata asilimia walizopata DA kwa kupigiwa kura na Wazungu tu ambao ni takriban 7% ya idadi ya watu wote Afrika Kusini.

DA imepata kura zaidi ya 20%.
 
BIla wizi hata ccm ingeshanyanduliwa Tanzania ina utajiri wa ajabu lakini haina viongozi kabisa fikiria nchi kama korea ina technolojia kibao Rais anaenda kule badala akutane na Wenye viwanda wapange waje kufungua viwanda anakutana na waandaa filamu😀
Unless we ni mgeni na Viongozi wa pwani😄😄😄
 
Coalition nzuri hapo ni ANC na DA.

Hakuna sababu ya kuwaogopa DA.

Ni chama kilicho multiracial. Siyo chama cha Wazungu tu.

Huwezi kupata asilimia walizopata DA kwa kupigiwa kura na Wazungu tu ambao ni takriban 7% ya idadi ya watu wote Afrika Kusini.

DA imepata kura zaidi ya 20%.
Mkuu DA pia hawaaminiki, kumbuka walivyomtoa Mmusi Maimane kwa hila
 
Malema ni muhuni tu hamna mwanasiasa pale anaota Wakitaofisha mashamba ya wazungu wajiandae kuwakuta yaliwakuta Zimbabwe .Mwafrika hawezi kuendesha kilimo Cha mashamba makubwa yawe ya serikali au binafsi.Tanzania tulitaifisha mashamba makubwa ya wazungu Yako wapi hayo mashamba serikali iliyoyataifisha Sasa hivi? Yanaendeleaje ? Yote yalikufa mikononi mea serikali

Soko la mazao liko Kwa wazungu na Wana umoja hatari.Zimbabwe ilipotaifisha walidhani soko la nje lilillokuwepo Ulaya na Marekani watashika wao Ile kutaifisha tu wazungu wakawawekea vikwazo hakuna Zimbabwe kuuza mazao yake ya kilimo nje.Mishamba imekufa Sasa hivi Zimbabwe imewaomba wazungu warudi na itawalipa fidia wote walioporwa mashamba Yao na kuwarudishia sababu ndiko sharti walitoa ili warudi

Migodi ikitaifishwa mwafrika Gani aweza endesha migodi mikubwa Afrika Nzima? Hakuna mfano hata mmoja

Waafrika kusini wabaguzi Kwa Sasa sio wazungu ni waafrika kusini weusi.Jao ndio Hadi wanashambulia waafrika weusi wenzetu Africa ya kusini kuwa hawawataki waondoke sio wazungu

Kama ANC wanaamini kuwa ubaguzi Uliisha waungane na hicho Chama Cha Wazungu hapo Hadi Dunia ndio itasena kweli ubaguzi Africa ya kusini haupo

Wazungu ndio injini ya uchumi Africa kusini .ANC waungane nao wasiongane na Chama kibaguzi Cha Malema Cha EFF chenye sera mbovu za kuendelea kuchukia wazungu Ubaguzi ulishaisha .Wazungu na waafrika Sasa kitu kimoja Afrika kusini
Mkuu ni Waafrika wachache wenye fikra kama za kwako. Hata sisi wenyewe (wa TZ tu) tunabaguana na kunyanyasana pia. Ubarikiwe sana.
 
Coalition nzuri hapo ni ANC na DA.

Hakuna sababu ya kuwaogopa DA.

Ni chama kilicho multiracial. Siyo chama cha Wazungu tu.

Huwezi kupata asilimia walizopata DA kwa kupigiwa kura na Wazungu tu ambao ni takriban 7% ya idadi ya watu wote Afrika Kusini.

DA imepata kura zaidi ya 20%.
Kweli kabisa
IMG-20240601-WA0041.jpg
 
Back
Top Bottom