Naiona ccm yetu nayo haiko mbali sanaUkosefu wa ajira,kwa vijana ndio majibu ya anguko la ANC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naiona ccm yetu nayo haiko mbali sanaUkosefu wa ajira,kwa vijana ndio majibu ya anguko la ANC
IndeedBado Ngoma mbichi, if we go by the current results, the ANC-EFF coalition would not be quite enough to clinch a majority without including another party, based on the latest count.
ANC- 40.19%
DA- 21.80%
MK- 14.58%
EFF- 9.50%
Jana 01/06/24 MK Spokesperson Nhlamulo Ndhlela ametoa tamko rasmi "We want a total revote,” akiwa kwenye results centre, minutes before an electoral commission news conference was due to start.
Ifahamike kwamba, mpaka sasa kuna biwi la hofu limejengeka likihusisha fujo, zitakazo tokana na wafuasi wa MK-Party. Previously these supporters rioted and looted for days when Musholozi was arrested for contempt of court in 2021 – reject the results.
Let's wait for today's final and conclusive official announcement by the SA Electoral Commission.
Tatizo sio CCM ila ni wananchiCCM wanasarakasi nyingi ebu fikiria wameongoza nchi hii tangu 1961 lakini bado matatizo ya elimu,afya,haki.. ......yamezidi kuongezeka.
Tatizo la ajira limekuwa kubwa kupita kiasi wameuwa viwanda vyote nchi imebaki jalala la kuuza bidhaa za mchina lakini bado wanataka kuongoza
Baada ya hapa, upinzani uungane umwondoe Ramaphosa.With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.
ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!
Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.
EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!
Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285
bado chama chako cha ccmKila nchi na taratibu zake
Hapo asiyefaa katik coalition ni Malema na EFF yake tu. Wengine wote kama wanafika 50 % wangeungana ili kuiondoa ANC najua DA, MK na IFP na vyama vingine vidogo wanaweza kufikisha 50% .With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.
ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!
Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.
EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!
Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285
But EFF wana 9% ,,,so hawawezi unda nao serikali ,mana akidi ni 50%...With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.
ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!
Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.
EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!
Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285
Mwenye Kuwa wa kwanza kwa % ya kula ndiyo huchagua Chama cha kuunda nacho serikali.Hapo asiyefaa katika coa
Hapo asiyefaa katik coalition ni Malema na EFF yake tu. Wengine wote kama wanafika 50 % wangeungana ili kuiondoa ANC najua DA, MK na IFP na vyama vingine vidogo wanaweza kufikisha 50% .
Sina hakika kwa huko SA akini mwenye % kubwa hupewa fursa kwanza akishindwa kuunda hupewa anayefuatia kwa kura hivyo ANC hata akipewa fursa vyana vingine vinaweza kumkwamisha hivyo akalazimika kukaa pembeniMwenye Kuwa wa kwanza kwa % ya kula ndiyo huchagua Chama cha kuunda nacho serikali.
Wapi ANC waliaminika? Sikuwahi kuwaamini bora hata Mugabe alikuwa na msimamo na alichoaminiHayo ni mambo ya kisiasa tu.
Hata ANC hufanyiana hivyo. Kimsingi na wao walimtoa Zuma.
Kwa kutumia mantiki yako, basi na wao ANC hawaaminiki, siyo?
Huu Ndio utaratibu wao...Cyril Ramaphosa Akipata chini ya 45% anaweza kushikizwa kujiuzulu na chama
Hilo liko mezani. Na atashitakiwa na kesi ya money laundering kutokana na kesi ya $ 4m or 6m kukutwa nyumbani kwake, chini ya makochi na kitandani chumbani kwake! Naye ataenda jela kama Jacob Zuma.
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.
ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!
Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.
EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!
Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285
Hata waharibu uchumi mdogoHichi ndicho alichokisema aliyekuwa rais wa Afrika Kusini wakati wa utawala wa makaburu. 👇
*****************************************
The gravest mistake that cannot be pardoned is to allow a black man to rule a country." P.W. Bother (Rip)
****************************************
Leo hii sote ni mashahidi wa kinachofanyika Afrika Kusini. Wakati hao akina Bother wakitawala, Afrika Kusini ilikuwa na uchumi uliokuwa ukizidi wa nchi nyingi za Ulaya hadi watu wa Ulaya walikuwa wanaenda huko kuomba ajira.
Wakati makaburu wanaondoka madarakani mwaka 1994 dola moja ya Marekani ilikuwa sawa na Randi 3 za Afrika Kusini na watu walikuwa wakimudu maisha kwa mishahara mikubwa waliokuwa wakilipwa lakini leo ni majanga.
Hata sisi endapo Nyerere asingeleta ujinga wa kutaifisha mali za wawekezaji mwaka 1967 leo hii mchele bora kabisa tungekuwa tunanunua kilo moja kwa buku moja tu.
Waafrika sisi ni watu wa hovyo kabisa, tunaharibu nchi zetu wenyewe halafu tunasingizia wazungu na ndio maana na wenyewe wanatupuuza tu na kutuona mapunguani.
Ila aliye waathiri sana ANC ni Jacob Zuma. Chama kiliundwa Desemba 2023 ndani ya miezi 5 kina 15% ya kura siyo mchezoJ. Malema the Great man 💪
YAMETIMIA :-Hii imekaa vibaya! Bora wamuangukie mtu mzima mwenzao JZ.
Malema ni kichomi.
"Wakati tulipokubali mfumo wa vyama vingi CCM tulihakikisha kwamba hatushindwi."Unaijua ccm au unaisikia tu? Ccm haiwezi kufika huku kote ina wataalam wa kutosha
Akaja kufa Kwa cancer ya mapafu"Wakati tulipokubali mfumo wa vyama vingi CCM tulihakikisha kwamba hatushindwi."
Ali Hassan Mwingi, Rais wa Pili wa Tanzania.