Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Na umri wake je miaka mingapi alipokufa?Akaja kufa Kwa cancer ya mapafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na umri wake je miaka mingapi alipokufa?Akaja kufa Kwa cancer ya mapafu
Jacob Zuma ndiye aliyeharibu Afrika ya kusini kufikia ilipo leo hii, na bado anaendelea kuiharibu zaid kwa kuleta chama kingine cha siasa chenye mlengo wa kikabila. Hawatachelewa kukatana mapangaHata waharibu uchumi mdogo
Ila aliye waathiri sana ANC ni Jacob Zuma. Chama kiliundwa Desemba 2023 ndani ya miezi 5 kina 15% ya kura siyo mchezo
Kwani NELSON MANDELA alifanya nini kabla hajakabidhi madarakaJacob Zuma ndiye aliyeharibu Afrika ya kusini kufikia ilipo leo hii, na bado anaendelea kuiharibu zaid kwa kuleta chama kingine cha siasa chenye mlengo wa kikabila. Hawatachelewa kukatana mapanga
Mandela hakufanya mambo makubwa sana zaidi ya kuanzisha taifa upya. Alikaa amadarakani miaka mitano tu na kisha akamkabidiu Thabo Mbeki. Sasa huyu Zuma na grup lake wakampa misukusuko sana Mbeki na kufanya uendeshaji wa serikali uwe mgumu hadi wakamundoa madarakani. Wao walidhani ni rahisi serikali kunyanganya mali wazungu na kuwagawia waafrika weusi kumbe siyo hivyo.Kwani NELSON MANDELA alifanya nini kabla hajakabidhi madaraka