Video: ANC kumpigia Julius Malema Magoti kwa ajili ya Serikali ya umoja

Video: ANC kumpigia Julius Malema Magoti kwa ajili ya Serikali ya umoja

Cyril Ramaphosa Akipata chini ya 45% anaweza kushikizwa kujiuzulu na chama

Hilo liko mezani. Na atashitakiwa na kesi ya money laundering kutokana na kesi ya $ 4m or 6m kukutwa nyumbani kwake, chini ya makochi na kitandani chumbani kwake! Naye ataenda jela kama Jacob Zuma.
Dollar milion zote hizo kukutwa nyumbani inawezekanaje mkuu?
 
Coalition nzuri hapo ni ANC na DA.

Hakuna sababu ya kuwaogopa DA.

Ni chama kilicho multiracial. Siyo chama cha Wazungu tu.

Huwezi kupata asilimia walizopata DA kwa kupigiwa kura na Wazungu tu ambao ni takriban 7% ya idadi ya watu wote Afrika Kusini.

DA imepata kura zaidi ya 20%.
Na wengi wenye uelewa hata watu wazima wameikataa ANC iliyo ya kihunihuni. ANC imekata pumzi, hata wakati wa kampeni walionekana usoni waziwazi kuwa wamekata moto, yamepaki majivu.
 
Tanzania CCM nayo ijipange, ujifunze vyema. Hata diamonds are not forever! Na katiba mpya ndiyo siri kuu. Hiyo ndiyo itazalisha tume huru! Na ndiyo wanaposhikilia kujitoa akili na kusingizia tuanze na maridhiano!
Kwa Katiba ipi na Tume ipi?
 
Tanzania CCM nayo ijipange, ujifunze vyema. Hata diamonds are not forever! Na katiba mpya ndiyo siri kuu. Hiyo ndiyo itazalisha tume huru! Na ndiyo wanaposhikilia kujitoa akili na kusingizia tuanze na maridhiano!
Unaijua ccm au unaisikia tu? Ccm haiwezi kufika huku kote ina wataalam wa kutosha
 
Kwetu sisi tutakuja kuishia kwenye civil war kama hali hii itaendelea. Tunahitaji kiongozi jasiri wa kuleta mageuzi ya kweli kisiasa,kiuchumi na kijamii.
 
Cyril Ramaphosa Akipata chini ya 45% anaweza kushikizwa kujiuzulu na chama

Hilo liko mezani. Na atashitakiwa na kesi ya money laundering kutokana na kesi ya $ 4m or 6m kukutwa nyumbani kwake, chini ya makochi na kitandani chumbani kwake! Naye ataenda jela kama Jacob Zuma.

Never relax around blacks.
 
Siasa kweli zitamtaka Malema.

Markets zinataka coalition ya ANC na DA.

Hapo ndipo mzozo ulipo.
ANC + DA => 60%. Mwenye akili timamu hawezi kataa kuunda serikali yenye kukubalika zaidi ya 60%.
Pia si rahisi kuongeza kwa kuwaacha 20+% ya DA wenye akili, ang'ang'anie umbumbumbu wa Malema.
Je ANC walijiandaa kwa Hilo? Japo dalili zilionekana tangu kitambo.
 
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.

ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!

Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.

EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!

Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285
Ukosefu wa ajira,kwa vijana ndio majibu ya anguko la ANC
 
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.

ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!

Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.

EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!

Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285
Kituo kinachofata ni Lumumba
 
Malema ni muhuni tu hamna mwanasiasa pale anaota Wakitaofisha mashamba ya wazungu wajiandae kuwakuta yaliwakuta Zimbabwe .Mwafrika hawezi kuendesha kilimo Cha mashamba makubwa yawe ya serikali au binafsi.Tanzania tulitaifisha mashamba makubwa ya wazungu Yako wapi hayo mashamba serikali iliyoyataifisha Sasa hivi? Yanaendeleaje ? Yote yalikufa mikononi mea serikali

Soko la mazao liko Kwa wazungu na Wana umoja hatari.Zimbabwe ilipotaifisha walidhani soko la nje lilillokuwepo Ulaya na Marekani watashika wao Ile kutaifisha tu wazungu wakawawekea vikwazo hakuna Zimbabwe kuuza mazao yake ya kilimo nje.Mishamba imekufa Sasa hivi Zimbabwe imewaomba wazungu warudi na itawalipa fidia wote walioporwa mashamba Yao na kuwarudishia sababu ndiko sharti walitoa ili warudi

Migodi ikitaifishwa mwafrika Gani aweza endesha migodi mikubwa Afrika Nzima? Hakuna mfano hata mmoja

Waafrika kusini wabaguzi Kwa Sasa sio wazungu ni waafrika kusini weusi.Jao ndio Hadi wanashambulia waafrika weusi wenzetu Africa ya kusini kuwa hawawataki waondoke sio wazungu

Kama ANC wanaamini kuwa ubaguzi Uliisha waungane na hicho Chama Cha Wazungu hapo Hadi Dunia ndio itasena kweli ubaguzi Africa ya kusini haupo

Wazungu ndio injini ya uchumi Africa kusini .ANC waungane nao wasiongane na Chama kibaguzi Cha Malema Cha EFF chenye sera mbovu za kuendelea kuchukia wazungu Ubaguzi ulishaisha .Wazungu na waafrika Sasa kitu kimoja Afrika kusini
Siku zote unawaza huwezi;Na kweli hutokaa uweze. Na kama huwezi,kwa nini wengine wasiweze?
 
Siasa kweli zitamtaka Malema.

Markets zinataka coalition ya ANC na DA.

Hapo ndipo mzozo ulipo.

Bado Ngoma mbichi, if we go by the current results, the ANC-EFF coalition would not be quite enough to clinch a majority without including another party, based on the latest count.

ANC- 40.19%
DA- 21.80%
MK- 14.58%
EFF- 9.50%

Jana 01/06/24 MK Spokesperson Nhlamulo Ndhlela ametoa tamko rasmi "We want a total revote,” akiwa kwenye results centre, minutes before an electoral commission news conference was due to start.
Ifahamike kwamba, mpaka sasa kuna biwi la hofu limejengeka likihusisha fujo, zitakazo tokana na wafuasi wa MK-Party. Previously these supporters rioted and looted for days when Musholozi was arrested for contempt of court in 2021 – reject the results.

Let's wait for today's final and conclusive official announcement by the SA Electoral Commission.
 
Bado Ngoma mbichi, if we go by the current results, the ANC-EFF coalition would not be quite enough to clinch a majority without including another party, based on the latest count.

ANC- 40.19%
DA- 21.80%
MK- 14.58%
EFF- 9.50%

Jana 01/06/24 MK Spokesperson Nhlamulo Ndhlela ametoa tamko rasmi "We want a total revote,” akiwa kwenye results centre, minutes before an electoral commission news conference was due to start.
Ifahamike kwamba, mpaka sasa kuna biwi la hofu limejengeka likihusisha fujo, zitakazo tokana na wafuasi wa MK-Party. Previously these supporters rioted and looted for days when Musholozi was arrested for contempt of court in 2021 – reject the results.

Let's wait for today's final and conclusive official announcement by the SA Electoral Commission.
Kule kwao hakuna UDP wala ADC vyama vya Lumumba😂😂😂
 
Dollar milion zote hizo kukutwa nyumbani inawezekanaje mkuu?
Soma hapa:

Screenshot_20240602_093240_Chrome.jpg
 
Hiyo nchi imeoza chini ya utawala wa ANC.

Bora wangewarudisha Makaburu
 
Cyril Ramaphosa Akipata chini ya 45% anaweza kushikizwa kujiuzulu na chama

Hilo liko mezani. Na atashitakiwa na kesi ya money laundering kutokana na kesi ya $ 4m or 6m kukutwa nyumbani kwake, chini ya makochi na kitandani chumbani kwake! Naye ataenda jela kama Jacob Zuma.
Mbona ni pesa ndogo!
 
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.

ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!

Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu hawezi kuingia bungeni.

EFF inadai kutaifisha migodi mikubwa yote, kuchukua ardhi na kuwapa watu weusi bure. Vilevile Julius Malema anataka post ya Minister of Finance ishikwe na EFF. Pagumu sana!

Hawa wengine wadogo wadogo mno. Inabidi wawe wengi. Na kila mmoja apate keki!
View attachment 3006285
Malema akikataa au akawawekea masharti magumu ambayo hawatayaweza itakuwaje? Itabidi tu uchaguzi urudiwe.

Na huyo mzungu wa DA unayembagua shida yake ni rangi ya ngozi tu lakini ana roho nzuri kuliko wakoloni weusi wa ANC. Anyway, let us wait and see what will happen.
 
Back
Top Bottom