VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

Nampongeza huyo Askari kajitoa mhanga kueleza fukuduku lake
Angeeleza kilichodababisha akae miaka 27 kazini akiwa na cheo kidogo hivyo cha usajenti!!! mawili ana alili ndogo au utendaji wake mdogo mno.Huyo mkewe aweza kuwa na akili kubwa na utendaji wake mkubwa kazini kwake

Polisi vyeo kama hajasoma cheo cha kwanza ni koplo.Anakuwa na Hizo V mbili.U
Yeye miaka 27 ana V Tatu ina maana yuko cheo cha pili tu toka chini .Huyo ana matatizo .Haiwezekani kazi miaka 27 umepanda vyeo viwili.Kuna shida hapo.Yuko cheo cha chini alitarajia alipwe mshahara wa cheo cha juu? Kujiliinganisha na mkewe kisa elimu sawa hayuko sahihi kuna swala la utendaji je utendaji wake kazini na wa mkewe uko sawa?

Lakini pia nimuonye sio vizuri kujiñinganisha na mwanamke kuwa mnalingana elimu nk kuna tofauti akina mama wana mengi maofisini ya kuwafanya wawapite wanaume kivyeo kimishahara nk siyaandiki humu.Ila siku ingine asije hata thubutu kujifananisha na askari wa kike waliyeanza kazi wote siku moja wakiwa na elimu moja nk
 
zm33.jpg


Zimamoto nako kumenoga. Salute ya kikakamavu kabisa kutoka kwa dada yetu wa zimamoto
 
PGO Inasemaje?

Anatakiwa Kuwekwa Lockup Kwanza, Askari Analia Njaa
Mkuu hata kama ni udikteta sasa huo utakuwa umevuka mipaka,...

Yaani mtu kueleza ukweli kuwa mishahara midogo ndo awekwe lock up?..

anyway...mitano tena
 
Angeeleza kilichodababisha akae miaka 27 kazini akiwa na cheo kidogo hivyo cha usajenti!!! mawili ana alili ndogo au utendaji wake mdogo mno.Huyo mkewe aweza kuwa na akili kubwa na utendaji wake mkubwa kazini kwake

Polisi vyeo kama hajasoma cheo cha kwanza ni koplo.Anakuwa na Hizo V mbili.U
Yeye miaka 27 ana V Tatu ina maana yuko cheo cha pili tu toka chini .Huyo ana matatizo .Haiwezekani kazi miaka 27 umepanda vyeo viwili.Kuna shida hapo.Yuko cheo cha chini alitarajia alipwe mshahara wa cheo cha juu? Kujiliinganisha na mkewe kisa elimu sawa hayuko sahihi kuna swala la utendaji je utendaji wake kazini na wa mkewe uko sawa?

Lakini pia nimuonye sio vizuri kujiñinganisha na mwanamke kuwa mnalingana elimu nk kuna tofauti akina mama wana mengi maofisini ya kuwafanya wawapite wanaume kivyeo kimishahara nk siyaandiki humu.Ila siku ingine asije hata thubutu kujifananisha na askari wa kike waliyeanza kazi wote siku moja wakiwa na elimu moja nk
Cheo kukipata ni lazima uende kozi

Sasa kwa jeshi la Polisi kupata nafasi ya kwenda kozi, sio mchezo. Mtamdharau bure huyo mzee kumbe tatizo ni koneksheni
 
Angeeleza kilichodababisha akae miaka 27 kazini akiwa na cheo kidogo hivyo cha usajenti!!! mawili ana alili ndogo au utendaji wake mdogo mno.Huyo mkewe aweza kuwa na akili kubwa na utendaji wake mkubwa kazini kwake

Polisi vyeo kama hajasoma cheo cha kwanza ni koplo.Anakuwa na Hizo V mbili.U
Yeye miaka 27 ana V Tatu ina maana yuko cheo cha pili tu toka chini .Huyo ana matatizo .Haiwezekani kazi miaka 27 umepanda vyeo viwili.Kuna shida hapo.Yuko cheo cha chini alitarajia alipwe mshahara wa cheo cha juu? Kujiliinganisha na mkewe kisa elimu sawa hayuko sahihi kuna swala la utendaji je utendaji wake kazini na wa mkewe uko sawa?

Lakini pia nimuonye sio vizuri kujiñinganisha na mwanamke kuwa mnalingana elimu nk kuna tofauti akina mama wana mengi maofisini ya kuwafanya wawapite wanaume kivyeo kimishahara nk siyaandiki humu.Ila siku ingine asije hata thubutu kujifananisha na askari wa kike waliyeanza kazi wote siku moja wakiwa na elimu moja nk
USIMSEME VIBAYA ...Mfumo wa kupanda vyeto ndani ya jeshi la polisi una malalamiko makubwa sana sana ...kuna askari wanakaa kwenye cheo kimoja hadi miaka 20 muda ambao kuna wanaowakuta wameshakua hadi ma OCD na mara nyingine hawatafautiani sana elimu
 
JWTZ mfumo ndio mgumu sasa maana kutokea askari kupata nyota lazima uende Chuo cha uafisa wakati Polisi,Magereza,Uhamiaji kutokea uaskari unaweza ukapewa tu nyota na mkuu wa jeshi eg IGP au CGP etc
Sasa mbona askar wa jwtz vijana wadogo wana nyota au V, tofaut na polis kumkuta kija ana nyota 3 au 2 ni nadra sanaa
 
Naisi polis mifumo yao ya kupanda cheo ni migum Sana tofaut na jwtz wao jwtz kwa mfano form six wakisha pata ajira baada ya kipind kifup wanaenda koz ukiitim vzur unapata nyota ndiyo maana Rais ana wavalishaga vyeo vijana, Sasa polis mpaka upate nyota moja umesha kuwa mtu mzima, huwez kimkuta polis mwenye nyota kijana wa miaka 25.
Acha fix. Wewe kama siyo askari huwezi kujua yaliyomo. Hali ni mbaya kote.

Nina brother alimaliza form six tena Division 2, akaingia JWTZ, alipofika huko baada ya muda akaenda kozi ya MP ( hiki ni kitengo tu ambacho mshahara wake hauzidi 35,000 ). Na sasa hivi kamaliza bachelor lakini hakuna maajabu.

Kwasababu askari siyo watu wa kulalamika, jamii huwa inadhani wao wana maisha mazuri mnoo.
 
Wew kijamaa kiongo kweli yaani upewe nyota bila kozi?Tofautisha nyota na V

Ukiwa haujui jishushe ili ufundishwe ,JWTZ bila kuwa na degree/ACSEE na ukahitimu kozi ya chuo cha uafisa utaishia cheo cha mwisho WOI Wakati huo huo nimeshuhudia kwenye jeshi ka magereza kuna kamishna aliishia form four na pia askari wanatoka cheo cha Staff Sergeant mpaka moja kwa moja nyota moja na wanaambiwa chagua kuwa Sajini meja au kuwa Afisa

Magereza au polisi wapo wanaovaa nyota wakiwa na zaidi ya miaka 45+ ,kaulizie JWTZ kama unaweza vaa nyota una miaka kuanzia 36
 
Ukiwa haujui jishushe ili ufundishwe ,JWTZ bila kuwa na degree/ACSEE na ukahitimu kozi ya chuo cha uafisa utaishia cheo cha mwisho WOI Wakati huo huo nimeshuhudia kwenye jeshi ka magereza kuna kamishna aliishia form four na pia askari wanatoka cheo cha Staff Sergeant mpaka moja kwa moja nyota moja na wanaambiwa chagua kuwa Sajini meja au kuwa Afisa

Magereza au polisi wapo wanaovaa nyota wakiwa na zaidi ya miaka 45+ ,kaulizie JWTZ kama unaweza vaa nyota una miaka kuanzia 36
Acha uzushi we kijamaa na story za mtaani
 
Acha fix. Wewe kama siyo askari huwezi kujua yaliyomo. Hali ni mbaya kote.

Nina brother alimaliza form six tena Division 2, akaingia JWTZ, alipofika huko baada ya muda akaenda kozi ya MP ( hiki ni kitengo tu ambacho mshahara wake hauzidi 35,000 ). Na sasa hivi kamaliza bachelor lakini hakuna maajabu.

Kwasababu askari siyo watu wa kulalamika, jamii huwa inadhani wao wana maisha mazuri mnoo.
Unajua serikal ya hawam ya tano imebadili mifumo ming ya idara zake hasa kwenye kupandisha vyeo , kipind cha nyuma kila mwaka Rais alikuwa ana wavisha nishan askar mondoli tokea serikal ya hawam ya 5 kuingia Mambo mengi imefuta ndiyo koz hazi fanyiki kila mwaka na ajira hazitolewi, na kama koz hazi fanyiki ina maana wafanyakaz hawa wez kupanda cheo, kama huyo ndugu yko una ye msemea, lakin ingekuwa kipindi cha jk ndugu yako ange panda cheo fasta tu na ange kuwa mbali
 
Unajua serikal ya hawam ya tano imebadili mifumo ming ya idara zake hasa kwenye kupandisha vyeo , kipind cha nyuma kila mwaka Rais alikuwa ana wavisha nishan askar mondoli tokea serikal ya hawam ya 5 kuingia Mambo mengi imefuta ndiyo koz hazi fanyiki kila mwaka na ajira hazitolewi, na kama koz hazi fanyiki ina maana wafanyakaz hawa wez kupanda cheo, kama huyo ndugu yko una ye msemea, lakin ingekuwa kipindi cha jk ndugu yako ange panda cheo fasta tu na ange kuwa mbali
Juzi tu hapa nilienda kikosini ( ghetto kwao ), askari wanalalamika mnooo. Mishahara midogo, rushwa, vyeo, unyanyasaji, CORONA etc ). Tena kuna brother mkubwa yeye ana miaka 30 kazini, yeye anasema kabisa, bro hii siyo kazi.

Hadi nikawa nawaambia mbona mtaani watu wanaamini ninyi mko vizuri 🤣. Akasema aliye nje anaona hivyo na kutamani kuingia, ila ingia ujionee!
Nikawagusia, huyo kubwa lao hata hivyo ninyi ndio mnamlinda: wakadai sisi tunamtii CDF akisema chochote yule kubwa hatumsikilizi🤣

Na kibaya zaidi, wale maofisa ofisa wamekuwa wanawajengea jengea mazingira ya rushwa askari wa chini na kuwasababishia maumivu zaidi.
 
Safi sana ! Mitano zaidi!

Tumetekeleza kwa kishindo na tunasonga mbele, au nasema uongo ndugu zangu?
 
Sasa mbona askar wa jwtz vijana wadogo wana nyota au V, tofaut na polis kumkuta kija ana nyota 3 au 2 ni nadra sanaa
Jwtz kule ukiwa na form six au diploma unapata cheo cha juu ila polisi mambo ya hovyo tu mtu wa form six au diploma anaonekana elimu yake ndogo,anapewa cheo cha koplo au sajenti amezidi sana atakomea stafu sajenti.
 
Back
Top Bottom