VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

VIDEO: Askari Polisi alalamikia mishahara midogo

@YEHODAYA kaa kimya mzee hakuna ukijuacho,huko polisi kuna mapuuza ambayo yanafikirisha sana.Polisi na Magereza wanabodi moja ya upandishaji vyeo ila kinachofanyika polisi ni ujinga wa kiwango cha lami,constable wa polisi elimu kidato cha 6 au diploma humchukua miaka 14 ili kuwa CPL tofauti na wajelajela ambao huchukua miaka 6-7.

Aya mtu amekaa miaka 14 anakuwa promoted cheo cha CPL ambapo cheo icho huongeza 50k au 60k kwenye mshahara[emoji23][emoji23] vuta picha miaka 14 unasubiri ongezeko kama hilo? Mwl anakuwa ndani ya hio miaka keshapanda madaraja zaidi ya 2 ambapo kila daraja lina 120k hadi 150k.Yani polisi bana wapo nyuma sana hata sioni tija ya elimu walizonazo maafisa wao wa juu(IGP,CP...)

Mimi si askari ila nayajua mengi ya polisi,nimekulia kambini.
Yaani kwa police kilichobaki ni ubahatike uwe traffic mjini, ukusanye rushwa maisha yaende.
 
Unajua serikal ya hawam ya tano imebadili mifumo ming ya idara zake hasa kwenye kupandisha vyeo , kipind cha nyuma kila mwaka Rais alikuwa ana wavisha nishan askar mondoli tokea serikal ya hawam ya 5 kuingia Mambo mengi imefuta ndiyo koz hazi fanyiki kila mwaka na ajira hazitolewi, na kama koz hazi fanyiki ina maana wafanyakaz hawa wez kupanda cheo, kama huyo ndugu yko una ye msemea, lakin ingekuwa kipindi cha jk ndugu yako ange panda cheo fasta tu na ange kuwa mbali
Muongo nina rafiki zangu wawili wana degree ya Computer Science,2016 wamepewa nyota baada ya kumaliza kozi na Magufuli mwenyewe.

Monduli Kozi zinafanyika kila mwaka zilisimama kipindi cha Corona,lockdown ilivyo isha wakarudi Monduli.
 
Elimu ni moja ya vigezo vikubwa .Huyo Askari kafanya kazi miaka 27 bado sergent ni unptoffessional soldier huyo alikuwa hataki shule huyo.Labda alikuwa vitengo vya kula rushwa sana akaona kusoma ujinga. Ndio.maana unaona ni mzee sana lakini ana kacheo kadogo na mshahara mdogo
Tema mate chini poti. Wewe bado kijana mdogo,hujui dunia inavyokwenda.
 
Angeeleza kilichodababisha akae miaka 27 kazini akiwa na cheo kidogo hivyo cha usajenti!!! mawili ana alili ndogo au utendaji wake mdogo mno.Huyo mkewe aweza kuwa na akili kubwa na utendaji wake mkubwa kazini kwake

Polisi vyeo kama hajasoma cheo cha kwanza ni koplo.Anakuwa na Hizo V mbili.U
Yeye miaka 27 ana V Tatu ina maana yuko cheo cha pili tu toka chini .Huyo ana matatizo .Haiwezekani kazi miaka 27 umepanda vyeo viwili.Kuna shida hapo.Yuko cheo cha chini alitarajia alipwe mshahara wa cheo cha juu? Kujiliinganisha na mkewe kisa elimu sawa hayuko sahihi kuna swala la utendaji je utendaji wake kazini na wa mkewe uko sawa?

Lakini pia nimuonye sio vizuri kujiñinganisha na mwanamke kuwa mnalingana elimu nk kuna tofauti akina mama wana mengi maofisini ya kuwafanya wawapite wanaume kivyeo kimishahara nk siyaandiki humu.Ila siku ingine asije hata thubutu kujifananisha na askari wa kike waliyeanza kazi wote siku moja wakiwa na elimu moja nk
@YEHODAYA kaa kimya mzee hakuna ukijuacho,huko polisi kuna mapuuza ambayo yanafikirisha sana.Polisi na Magereza wanabodi moja ya upandishaji vyeo ila kinachofanyika polisi ni ujinga wa kiwango cha lami,constable wa polisi elimu kidato cha 6 au diploma humchukua miaka 14 ili kuwa CPL tofauti na wajelajela ambao huchukua miaka 6-7.

Aya mtu amekaa miaka 14 anakuwa promoted cheo cha CPL ambapo cheo icho huongeza 50k au 60k kwenye mshahara[emoji23][emoji23] vuta picha miaka 14 unasubiri ongezeko kama hilo? Mwl anakuwa ndani ya hio miaka keshapanda madaraja zaidi ya 2 ambapo kila daraja lina 120k hadi 150k.Yani polisi bana wapo nyuma sana hata sioni tija ya elimu walizonazo maafisa wao wa juu(IGP,CP...)

Mimi si askari ila nayajua mengi ya polisi,nimekulia kambini.[/QUOTE]
 
Huyo askari mwanaume wangemstaafisha tu yaani miaka 27 ya kufanya kazi bado hana hata nyota ni sergent tu looo uvivu wa kusoma .Huyu anatakiwa aondolewe cheo hicho ni cha vijana wadogo tu zee zima sergent !!! Haoni aibu?
Mmewatumia kama Pedi sasa mnakuja kuwasanifu huku. CCM mna laana na mtakufa midomo isifumbe.
 
Suala la Equal Pay ni changamoto kubwa sana nchini, na hii inaonyesha mishahara ya watumishi huwa inapangwa bila kuzingatia vigezo vya uchumi🎃
Huyo kataja tu mshahara posho hajataja

Kuna uzi humu walimu wakilalamika kuwa wapewe posho kama polisi wanavyopewa
 
Tundu Lissu aliwashauri mwaka jana,ukawa upande ule ule
Unaweza kushauriwa na tapeli nawe ukakubali?
Uje ujaribu uone, hata kidogo ulichonacho kitaondoka.
Unachezea tapeli wewe?
Tundu ni tapeli saana, alimtukana lowasa na kisha akamsafisha yeye mwenyewe, na mkabaki mmeduwaa,
Bado.mnamwamini tu?

Binadamu kubeba akiri ya wanyama ni shida saana.
 
Waalimu kada inayoonewa sana. Hata boda boda anajilinganisha na mwalimu. Mjasiriamali nae anapambana kila siku ili mwisho wa mwezi nae apate kipato kikubwa au sawa na cha mwalimu. Waalimu wa Tanzagiza wanaonewa sana.
Ualimu siyo kazi ni utumwa. Mwanangu kamwe sitamruhusu akafanye utumwa huu.
 
Back
Top Bottom