Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Kuna mwanadarasa wangu ameanza yupo na upolisi miaka 12 sasa, bado ni PC wakati walimu aliosoma nao darasa moja na wako kazini miaka 10 wote kwa sasa ni walimu wakuu. Elimu zao waote ni diploma, askari n dip ya uongizi na utawala.