Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sw bwana utamuMalengo lazma yafikiwe
Walitaka wanajeshi wafie vyumbani!!!??
Halaf hio sio RUSSIA c mnasema RUSSIA wanabana habari na kuua wapinzani hio ni BELARUS
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadai taifa linazidi kupoteza wanajeshi na watoto wao wamebaki mayatima kwa vita ambavyo havina tija yoyote
Hii mentality ni kwa nchi zisizojali na kuthamini raia wake!Mwanajeshi anapifia vitani anakuwa ametimiza jukumu lake so sioni cha ajabu hapo,
Wadai taifa linazidi kupoteza wanajeshi na watoto wao wamebaki mayatima kwa vita ambavyo havina tija yoyote
kipimo cha uwanajeshi ni uzalendo na kuwa tayali kufa kwa ajili ya taifa lakoHii mentality ni kwa nchi zisizojali na kuthamini raia wake!
Kufa ni hatua ya mwisho kabisa hasa inapofikia point there is no any option than to die. Sasa mpaka Bunge wameanza kupiga kelele, elewa kuwa haina haja ya kupoteza askari kizembe ivokipimo cha uwanajeshi ni uzalendo na kuwa tayali kufa kwa ajili ya taifa lako
Sasa mwanajeshi kufia jeshini ajabu nn!!?Hii mentality ni kwa nchi zisizojali na kuthamini raia wake!
Naona tunatofautiana sana kimtazamo. Nakutakia siku njema.Sasa mwanajeshi kufia jeshini ajabu nn!!?
Tutajie taifa linalojali raia wake ambalo halikupoteza mwanajeshi wakati wamapigano
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini Putin [emoji23]Wadai taifa linazidi kupoteza wanajeshi na watoto wao wamebaki mayatima kwa vita ambavyo havina tija yoyote
kweli kabisa ndiyo maana rais putin kila siku analilia kuomba msaada wa siraha, na kwajinsi moscow na santpetersbag zilivyobaki magofu sio mda mrefu majeshi ya ukrein yataiteka ikulu ya krimelin😁Tatizo wanauawa kama kuku...wengi sana hadi sasa inakua kama sio vita tena bali kichinjio.
kweli kabisa ndiyo maana rais putin kila siku analilia kuomba msaada wa siraha, na kwajinsi moscow na santpetersbag zilivyobaki magofu sio mda mrefu majeshi ya ukrein yataiteka ikulu ya krimelin😁
Kupigana na nchi zaidi ya 30 kwa wakati mmoja sio poa 🇷🇺Huyo Putin amechanganyikiwa, alitegemea atafunika hako ka-Ukraine kwa siku chache, katolewa nduki kule Kyev, leo siku 100 haelewi
Wadai taifa linazidi kupoteza wanajeshi na watoto wao wamebaki mayatima kwa vita ambavyo havina tija yoyote
Kabla ya kuingia kwenye hii OP waliwaza hayo kabla yakoUrusi wanafanya biashara kichaa. mm najiuliza urusi hata kama ikabahatika ikishinda vita Ukraine hiyo ghalama iliyoitumia kupigana vita itarudisha vipi. ikiwa Ukraine tayari atakuwa ameigeuza majivu. Na wakati huo watakuwa bado hawajaondolewa vikwazo .
Akosee njia siku moja aguse kataifa kamoja ka NATO ndio ataelewa nini maana ya kipodo cha mataifa 30, kwanza humo NATO kuna wababe ambao pekee yao bila kushirikiana wanamtia adabu.Kupigana na nchi zaidi ya 30 kwa wakati mmoja sio poa 🇷🇺
Hao hapo sio mtizamo, ila wanalalamika namna wanajeshi wao wanauawa kama kuku, kataifa kadogo kwa Urusi ila kanatesa kishenzi.Ndio maana ya nchi kuwa na kiongozi kama ulikuwa hujui ww kiazi!
Jambo la kuwa na mitazamo tofauti ni la kawaida sio ajabu. Msimamo unaofatwa ni wa kiongozi nadhani nimejitahidi kuielewesha hii akili ndogo