Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa hii kauli haina ukweli wowoteJF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
Huo ndio ukweli halisi, Jana pale Mahakamani kulikuwa na kundi la kimkakati limepewa pesa ili kumzomea Sabaya.Alichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika
Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
enzi za "mwendazake" leo leo "wasio julikana" wanaye.Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827
Sabaya Hana mamlaka ya kubadilisha umiliki wa mashamba.Alichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika
Nipe kifungu cha sheria kinachomruhusu Dc kugawa mashamba.Alichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika
Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
Jf imekua kama CHADEMA ONLINE FORUMSAlichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika
Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
Naam, JF imevamiwa na viwavi kama wewe na upumbavu hauna itikadi...DC anamnyang'anya mwananchi shamba lake kama nani na kwa sheria ipi?Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
Angekuwa Rwanda Kgm angeshamalizana naye zamani sana, taarifa ingetoka tu jamaa kajinyonga seloDaah huyu jamaa anaweza kujinyonga...sio nzuri hii hata kidogo[emoji848][emoji22]
Mapandikizi kamwe hayawezi kumuangamiza Sabaya. Kama aliyafanya kweli kinyume na maagizo Yesu atajiinua katika kweli.Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827
Sabaya kanyang'anya mashamba watu wengi huko Hai Tena kibabe hata ukiwa na hati, watu ndo wanafatilia, wakiamua wote kwenda mahakamani wanaweza fika 100 hiviMama anacholalamika ni shamba la mumewe kuchukuliwa na Serikali enzi za DC Sabaya na kurudishwa kwa wananchi
Sasa kama lilichukuliwa isivyo sawa basi mumewe atarudishiwa, ila kama ilikuwa ni haki kulirudisha kwa wananchi basi imekula kwake maana ni SHERIA na utaratibu wa umiliki na utumiaji shamba ndio vitaamua
Mashamba ya watu ya urithi ufute, nadhani hujui mazingira ya hai yalivo ndio maana una muingiza Hadi lukuvi, hafu kufuta hati si huwa Raisi ana mamlaka hyo, na huko hakujawahi kuwa na migogoro ya ardhi watu hurithi tu enzi na enzi.Alichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika
Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
Hebu muulize na yeye Hilo swali, yeye alimezwa na chuki za Jiwe had akajisahauSabaya yanayomkuta ni uzuzu tu alikuwa matumizi sheria yeye anaropoka tu watu wanatekeleza usipotekeleza anakusemea kwa mwendazake ambaye naye alikuwa uzuzu anaamua hapohapo.Tokalini DC akagawa mashamba bila mabaraza ya ardhi