Video: Bibi atoa ya moyoni kuhusu unyanyasaji wa Ole Sabaya Arusha

Video: Bibi atoa ya moyoni kuhusu unyanyasaji wa Ole Sabaya Arusha

Umesoma vizuri na kuelewa,labda nikupatie ufafanuzi kidooogo.

Aliyedhulumiwa shamba ni kijana wake na Bibi na bahati mbaya kijana alishafariki na kumwachia watoto Bibi...
Umeandika kwa uchungu sana kamanda.
 
Mama mwenyewe anaonekana analala kwenye vibanda vya mbege hata kiwanja hajawai kumiliki. Acheni siasa chafu kwa Sabaya.
Acha kuzarau wamama wa wenzio kiruuu!! Kama mama yako analala kwenye nyumba nzuri, shukuru Mungu!! na wenye mama watamani mamayao awe na maisha mazuri pia! acha ushamba!
 
Nje ya mahakama alisikika Huyu mama akilia huku akimwaga tuhuma hizi.

Kama kuna yeyote amemwelewa anisaidie tafadhali.

 
Mama anacholalamika ni shamba la mumewe kuchukuliwa na Serikali enzi za DC Sabaya na kurudishwa kwa wananchi

Sasa kama lilichukuliwa isivyo sawa basi mumewe atarudishiwa, ila kama ilikuwa ni haki kulirudisha kwa wananchi basi imekula kwake maana ni SHERIA na utaratibu wa umiliki na utumiaji shamba ndio vitaamua
 
Mama anacholalamika ni shamba la mumewe kuchukuliwa na Serikali enzi za DC Sabaya na kurudishwa kwa wananchi

Sasa kama lilichukuliwa isivyo sawa basi mumewe atarudishiwa, ila kama ilikuwa ni haki kulirudisha kwa wananchi basi imekula kwake maana ni SHERIA na utaratibu wa umiliki na utumiaji shamba ndio vitaamua
Kama iko hivi basi unafiki na fitina umejaa humu jf
 
Kama iko hivi basi unafiki na fitina umejaa humu jf
Alichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika

Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
 
Mama anacholalamika ni shamba la mumewe kuchukuliwa na Serikali enzi za DC Sabaya na kurudishwa kwa wananchi

Sasa kama lilichukuliwa isivyo sawa basi mumewe atarudishiwa, ila kama ilikuwa ni haki kulirudisha kwa wananchi basi imekula kwake maana ni SHERIA na utaratibu wa umiliki na utumiaji shamba ndio vitaamua
Sabaya yanayomkuta ni uzuzu tu alikuwa matumizi sheria yeye anaropoka tu watu wanatekeleza usipotekeleza anakusemea kwa mwendazake ambaye naye alikuwa uzuzu anaamua hapohapo.Tokalini DC akagawa mashamba bila mabaraza ya ardhi
 
Alichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika

Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
Unaijua hii story vizuri
 
Mkuu wa wilaya hana hayo mamlaka
Alichokifanya Sabaya hakina tofauti na aliyoyafanya Waziri Lukuvi kufuta umiliki wa mashamba kadhaa ya watu walioshindwa kuyaendeleza na kuyarudisha kwa Serikali ya kijiji ya eneo husika

Ila JF humu imejaa watu wenye itikadi za upande mmoja wa kisiasa huku wakipewa sapoti kubwa na Mods
 
Back
Top Bottom