Kuna vitu unaweza epuka,kimoja bodaboda. Mfano hapa mjini mtu anapanda bodaboda ili awahi tu au hataki daladala au Bajaj sio kwamba hana option.Kumbe!!! Haya maisha,yaache.
Muda mwingine ni wa kuwaombea tu Mungu aweke mkono wakeRafiki yangu kampoteza mtoto wake katoka kumaliza masters degree tu, ni binti kapanda bodaboda kaingizwa uvunguni kwa lori. Wanawake ndio wanapenda sana bodaboda hawaelewi kabisa ukiwaambia.
Ngoja ufumaniweKatika kitu nimefanikiwa ni kuacha kbs kupanda boda boda
Mimi nilichopinga,ni hiyo kusema eti haitakaa itokee. Wakati mwingine,ndo ile kujiona umefika. Mbona wenye pesa myingi,kuna wakati wanalazimika!!! Mazingira yanaweza yakawa chanzo cha kupanda. Angeongelea uzembe wao. Binafsi nikipanda,nakuelekeza uendesheje. Hutaki,unaniacha. Au namtafta ninaye muona umri umesogea.Kuna vitu unaweza epuka,kimoja bodaboda. Mfano hapa mjini mtu anapanda bodaboda ili awahi tu au hataki daladala au Bajaj sio kwamba hana option.
Asubuhi njia ya kilwa road bodaboda kama nzige zinaelekea town wakati hio ruti ina daladala.
Bodaboda panda ukitoka main road kuingia kwako huko nje ya mji.
Classmate wangu wote wana mavieite n mmoja tu mwenye bajaji πClassmate wa Half american
Maisha yatamfumaniaNgoja ufumaniwe
Speed nayotoka hata boda haina ππ, siku tunapeleka neutral ground wote wageni ukinifumania uje na cheti cha ndoaNgoja ufumaniwe
Mimi nilishawaambia wasipande bodaboda. Mtu akipata ajali ya bodaboda asinisumbue( nitamsaidia damu nzito ila nitamwambia I TOLD YOU)Wewe umeacha, ila Nina uhakika familia Yako haijaacha!! Akina mama,dada zetu, na watoto wetu wanaopandishwa bodaboda na mama zao ni hatarishi Zaidi!! Akina mama huwambii kitu na bodaboda!! Unakuta mijimama mwili mkubwa akili zero wamajipakiza bodaboda wakiwa majimishikaki!! Wawili na mtoto mdogo katikati, my Goodness!! Ila ndio mwanasiasa mkubwa alisema kama ni mtu na mpenzi wake wacha wafe Pamoja!! Sijui tunakwenda wapi
Nikipanda wanajua ninamuendesha yeye mpaka napofika nakabidhi funguo yake arudi na vurugu zake .... Bodaboda aniendeshi labda wale watu wazima au namfahamu kabisaaaa uendeshaji wake...noma sana ... Tulibananishwa kati huku basi huku Lori la matunda ...noma sanaKatika kitu nimefanikiwa ni kuacha kbs kupanda boda boda
Sio suala la kuwa na pesa nyingi. Ni maamuzi ya mtu. Rafiki yangu mmoja anaacha V8 anadandia bodaboda na ashaanguka lakini haachi.Mimi nilichopinga,ni hiyo kusema eti haitakaa itokee. Wakati mwingine,ndo ile kujiona umefika. Mbona wenye pesa myingi,kuna wakati wanalazimika!!! Mazingira yanaweza yakawa chanzo cha kupanda. Angeongelea uzembe wao. Binafsi nikipanda,nakuelekeza uendesheje. Hutaki,unaniacha. Au namtafta ninaye muona umri umesogea.
Na huyu sasa,asijikute ana ka IST,af anawaona wapanda pikipiki kama masikini
Sasa ushawaona wana akili?Rafiki yangu kampoteza mtoto wake katoka kumaliza masters degree tu, ni binti kapanda bodaboda kaingizwa uvunguni kwa lori. Wanawake ndio wanapenda sana bodaboda hawaelewi kabisa ukiwaambia.
Nakumbuka mara ya mwisho kupanda nliachwa na gari nkawa naliwahi aiseeee! Nlisali njia nzima πππMkuu lugha ya roho mtakatifu ni kwelπNikipanda wanajua ninamuendesha yeye mpaka napofika nakabidhi funguo yake arudi na vurugu zake .... Bodaboda aniendeshi labda wale watu wazima au namfahamu kabisaaaa uendeshaji wake...noma sana ... Tulibananishwa kati huku basi huku Lori la matunda ...noma sana
π boda ndio mkombozi ukishachomoka kwenye chumba cha fumanizi.Speed nayotoka hata boda haina ππ, siku tunapeleka neutral ground wote wageni ukinifumania uje na cheti cha ndoa
Boda atapanda tu labda kama hayupo bongo na asipopanda atailipa imuongoze kufika ugenini.Maisha yatamfumania
πFomu inatoka Moja tuSasa ushawaona wana akili?
Hujaona mwingine anakula urojo tu
Kwanza saiv nshavuka hz level za kufumaniwa π sihangaikii na wake za watu ila mademu tunashare na hamna kitu utafanyaπ boda ndio mkombozi ukishachomoka kwenye chumba cha fumanizi.
Nyie ndio mnaokula mashemejiKwanza saiv nshavuka hz level za kufumaniwa π sihangaikii na wake za watu ila mademu tunashare na hamna kitu utafanya
wee huoni huyo aliekuwa anakatizaa katikatii ndo falaa??Naomba Mwendelezo wa hii video
Hivi Nani anakosa hapo?